< Psaumes 108 >

1 Cantique de psaume, de David lui-même. Mon cœur est prêt, ô Dieu, mon cœur est prêt, je chanterai, je jouerai du psaltérion au milieu de ma gloire.
Ee Mungu, moyo wangu u thabiti; nitaimba, naam, nitaimba sifa pia kwa moyo mkuu.
2 Lève-toi, ô ma gloire, lève-toi, psaltérion, et toi, harpe: je me lèverai au point du jour.
Amka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
3 Je vous louerai parmi les peuples. Seigneur, et je dirai un psaume en votre honneur parmi les nations.
Nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya watu; nitakuimbia sifa kati ya mataifa.
4 Parce que votre miséricorde est grande au-dessus des cieux, et que votre vérité s’élève jusqu’aux nues.
Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu juu ya mbingu; na uaminifu wako wafika mawinguni.
5 Soyez exalté au-dessus des cieux, ô Dieu, et que sur toute la terre éclate votre gloire,
Ee Mungu, uinuliwe, juu ya mbingu, na utukufu wako utukuke juu ya nchi.
6 Afin que vos bien-aimés soient délivrés. Sauvez-moi par votre droite, et exaucez-moi;
Ili kwamba wale uwapendao waokolewe, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
7 Dieu a parlé dans son sanctuaire:
Mungu ameongea katika utakatifu wake; “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na nitalipima bonde la Sukothi.
8 À moi est Galaad, et à moi est Manassé; Ephraïm est l’appui de ma tête.
Gileadi ni yangu, na manase ni yangu; Ephraimu ni nguvu ya kichwa changu; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
9 Moab est le vase de mon espérance.
Moabu ni bakuli langu la kunawia; nitatupa kiatu changu juu ya Edomu; nitapaza sauti katika ushindi kwa ajili ya Filisti.
10 Qui me conduira dans une ville fortifiée? qui me conduira jusque dans l’Idumée?
Ni nani atakaye nipeleka kwenye mji imara? Ni nani atakayeniongoza mpaka Edomu?”
11 Ne sera-ce pas vous, ô Dieu, qui nous avez rejetés? et ne sortirez-vous point, ô Dieu, à la tête de nos armées?
Ee Mungu, sio wewe uliyetukataa? Hauendi vitani na jeshi letu.
12 Donnez-nous du secours, pour nous tirer de la tribulation, parce que vain est le salut de l’homme.
Utupe msaada dhidi ya adui yetu, maana msaada wa wanadamu ni bure.
13 En Dieu nous ferons preuve de valeur, et lui-même réduira au néant nos ennemis.
Tutashinda kwa msaada wa Mungu; atawakanyaga kwa adui zetu.

< Psaumes 108 >