< Psaumes 106 >
1 Louez le Seigneur, parce qu’il est bon, parce que pour jamais est sa miséricorde.
Msifuni Yahwe. Mshukuruni Yahwe, kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
2 Qui dira les puissances du Seigneur, et fera entendre toutes ses louanges?
Ni nani awezaye kuyahesabu mataendo makuu ya yahwe au kutangaza katika ukamilifu sifa zote za matendo yake ya kuaminika.
3 Bienheureux ceux qui gardent l’équité, et qui pratiquent la justice en tout temps.
Wamebarikiwa wale watendao yaliyo mema na matendo yao yaliyo haki siku zote.
4 Souvenez-vous de nous, Seigneur, dans votre bienveillance pour votre peuple; visitez-nous pour nous sauver;
Ukumbuke, Ee Yahwe, unapowaonesha watu wako neema; unisaidie unapowaokoa.
5 Pour que nous voyions avec joie les biens de vos élus, que nous nous réjouissions dans la joie de votre nation, afin que vous soyez loué avec votre héritage.
Ndipo nitaona mafanikio ya wateule wako, wakifurahia katika furaha ya taifa lako, na utukufu pamoja na urithi wako.
6 Nous avons péché avec nos pères; nous avons injustement agi, nous avons commis l’iniquité.
Tumefanya dhambi kama babu zetu, tumekosea, na kufanya uovu.
7 Nos pères en Égypte ne comprirent point vos merveilles, ils ne se souvinrent pas de la grandeur de votre miséricorde. Et ils vous irritèrent, lorsqu’ils montaient vers la mer, la mer Rouge.
Baba zetu hawakuyatambua matendo yako ya ajabu katika Misri; walipuuzia matendo yako mengi ya uaminifu wa agano; waliasi penye bahari, bahari ya Shamu.
8 Mais il les sauva à cause de son nom, afin de faire connaître sa puissance.
Hata hivyo, yeye aliwaokoa kwa ajili ya jina lake ili kwamba aweze kuzifunua nguvu zake.
9 Il réprimanda la mer Rouge, et elle fut desséchée, et il les conduisit dans des abîmes, comme dans un désert.
Aliikemea Bahari ya Shamu, nayo ikakauka. Kisha akawaongoza vilindini, kana kwamba ni jangwani.
10 Il les sauva de la main de ceux qui les haïssaient, et il les racheta de la main d’un ennemi.
Aliwaokoa kutoka mkononi mwa wale waliowachukia, na aliwaokoa kutoka mkononi mwa adui.
11 Et l’eau couvrit ceux qui les tourmentaient, et il ne resta pas un seul d’entre eux.
Lakini maji yaliwafunika washindani wao; hakuna hata mmoja aliye okolewa.
12 Alors ils crurent à ses paroles, et chantèrent ses louanges.
Ndipo waliyaamini maneno yake, nao waliimba sifa zake.
13 Bientôt ils oublièrent ses œuvres, et n’attendirent pas l’accomplissement de ses desseins.
Lakini walisahau haraka kile alichofanya; hawakuyasubiri maelekezo yake.
14 Mais ils conçurent un désir violent dans le désert, et ils tentèrent Dieu dans un lieu sans eau.
Walikuwa na tamaa isiyotoshelezwa jangwani, wakamjaribu Mungu nyikani.
15 Il leur accorda leur demande, il leur envoya le rassasiement de leurs âmes.
Aliwapa ombi lao, lakini alituma gonjwa ambalo lilishambulia miili yao.
16 Et ils irritèrent, dans le camp, Moïse et Aaron, le saint du Seigneur.
Katika kambi wakawa na wivu juu Musa na Haruni, kuhani mtakatifu wa Yahwe.
17 La terre s’ouvrit et engloutit Dathan; et elle couvrit la troupe d’Abiron.
Nchi ilifunguka na ilimmeza Dathani na iliwafunika wafuasi wa Abiramu.
18 Un feu s’alluma au milieu de leur assemblée: une flamme brûla entièrement ces pécheurs.
Moto uliwaka kati yao; moto uliwaangamiza waovu.
19 Et ils firent un veau à Horeb, et adorèrent une image taillée au ciseau.
Walitengeneza ndama huko Horebu na kuabudu sanamu ya kuyeyuka.
20 Ils changèrent ainsi leur gloire contre la ressemblance d’un veau qui mange de l’herbe.
Wakaubadili utukufu wa Mungu kuwa mfano wa ng'ombe alaye majani.
21 Ils oublièrent le Dieu qui les avait sauvés, qui avait fait de grandes choses en Égypte,
Walimsahau Mungu wokozi wao, aliyefanya mambo makuu katika Misri.
22 Des choses merveilleuses dans la terre de Cham; des choses terribles dans la mer Rouge.
Alifanya matendo ya ajabu katika nchi ya Hamu na matendo makuu penye Bahari ya Shamu.
23 Et il avait dit qu’il les perdrait entièrement, si Moïse son élu ne se fût tenu sur la brèche en sa présence. Afin de détourner sa colère, pour qu’il ne les perdît pas entièrement;
Mungu angetangaza uharibifu wao, kama sio Musa, mteule wake, aliingilia kati kugeuza hasira yake dhidi ya kuwaangamiza.
24 Et ils comptèrent pour rien une terre si désirable; Ils ne crurent point à sa parole,
Kisha waliidharau nchi yenye matunda; hawakuiamini ahadi yake,
25 Mais ils murmurèrent dans leurs tabernacles; ils n’écoutèrent point la voix du Seigneur.
bali walilalamiaka katika mahema yao, na hawakumtii Yahwe.
26 Alors il leva sa main sur eux, afin de les terrasser dans le désert,
Kwa hiyo aliinua mkono wake na kuapa kwao kuwa atawaacha wafe jangwani,
27 Et afin d’abaisser leur race au milieu des nations, pour les disperser dans diverses contrées.
akitawanya uzao wao kati ya mataifa, na kuwatawanya katika nchi za kigeni.
28 Ils se consacrèrent à Béelphégor, et ils mangèrent des sacrifices des morts.
Waliabudu Baal ya Poeri na walizila dhabihu zilizotolewa kwa wafu.
29 Ils irritèrent le Seigneur par leurs inventions, et la ruine se multiplia parmi eux.
Walimkasirisha kwa matendo yao, na pigo la gonjwa baya liliwashambulia kati yao.
30 Mais Phinéès se présenta et apaisa le Seigneur, et le désastre cessa.
Ndipo Finehasi aliinuka kuingilia kati, na pigo likakoma.
31 Et ce lui fut imputé à justice, dans toutes les générations à jamais.
Ilihesabika kwake kama tendo la haki kwa vizazi vyote hata milele.
32 Ils irritèrent encore le Seigneur aux eaux de contradiction, et Moïse fut puni à cause d’eux,
Pia walimkasirisha Yahwe penye maji ya Meriba, na Musa aliteseka kwa ajili yao.
33 Parce qu’ils contristèrent son esprit. Et que la défiance fut sur ses lèvres;
Walimghadhabisha Musa naye akaongea haraka.
34 Ils ne détruisirent point les nations que Dieu leur avait désignées.
Hawakuyaharibu mataifa kama Yahwe alivyowaamuru,
35 Mais ils se mêlèrent parmi les nations, ils apprirent leurs œuvres;
bali walichangamana na mataifa na walijifunza njia zao
36 Et ils servirent leurs images taillées au ciseau, et ce devint pour eux une occasion de scandale.
nao waliabudu sanamu, nazo zikawa mtego kwao.
37 Ils immolèrent leurs fils et leurs filles au démon.
Waliwatoa wana wao na binti zao kwa mapepo.
38 Ils répandirent un sang innocent, le sang de leurs fils et de leurs filles qu’ils sacrifièrent aux images taillées au ciseau de Chanaan.
Walimwaga damu isiyo na hatia, damu ya wana na binti zao, ambao waliwatoa kama dhabihu kwa sanamu za Kanaani, waliinajisi nchi kwa damu.
39 Et elle fut souillée par leurs œuvres: et ils forniquèrent avec leurs inventions.
Walinajisiwa kwa matendo yao; katika matendo yao walikuwa kama malaya.
40 Aussi le Seigneur fut irrité de fureur contre son peuple, et il eut en abomination son héritage.
Hivyo Yahwe aliwakasilikia watu wake, akawadharau watu wake mwenyewe.
41 Et il les livra entre les mains des nations, et ceux qui les haïssaient les dominèrent.
Akawaruhusu mataifa, na wale walio wachukia wakawatawala.
42 Et leurs ennemis les tourmentèrent, et ils furent humiliés sous leurs mains;
Maadui zao wakawaonea, wakatiishwa chini ya mamlaka yao.
43 Souvent il les délivra. Mais eux l’aigrirent par leurs sentiments, et ils furent humiliés à cause de leurs iniquités.
Mara nyingi alienda kuwasaidia, lakini waliendelea kuasi nao walishushwa chini kwa dhambi zao wenyewe.
44 Et il vit qu’ils étaient tourmentés, et il écouta leur prière.
Hata hivyo, aliiangalia dhiki yao aliposikia kilio chao kwa ajili ya msaada.
45 Il se souvint de son alliance, et il se repentit selon la grandeur de sa miséricorde.
Alikumbuka agano lake pamoja nao na alijirudi kwa sababu ya upendo wake thabiti.
46 Il les livra donc à ses miséricordes, en présence de tous ceux qui les avaient menés en captivité.
Aliwafanya wote waliowateka wawahurumie.
47 Sauvez-nous, Seigneur notre Dieu, et rassemblez-nous, et délivrez-nous des nations,
Utuokoe, Ee Yahwe, Mungu wetu. Utukusanye kutoka kati ya mataifa ili kwamba tuweze kulishukuru jina lako takatifu na utukufu katika sifa zako. Yahwe,
48 Béni le Seigneur Dieu d’Israël d’un siècle jusqu’à un autre siècle! et tout le peuple dira: Ainsi soit, ainsi soit.
Mungu wa Israeli, na asifiwe toka milele na milele. watu wote walisema, “Amen.” Msifuni Yahwe. Kitabu cha tano.