< Proverbes 29 >
1 À l’homme qui avec un cou roide méprise celui qui le reprend, surviendra une mort soudaine; et la guérison ne le suivra pas.
Mtu anayeendelea kuwa na shingo ngumu baada ya maonyo mengi, ataangamia ghafula, wala hapati dawa.
2 À la multiplication des justes tout le monde se réjouira; lorsque les impies prendront le gouvernement, le peuple gémira.
Wenye haki wanapostawi, watu hufurahi; waovu watawalapo, watu hulia kwa huzuni.
3 L’homme qui aime la sagesse réjouit son père; mais celui qui nourrit des prostituées perdra son bien.
Mtu apendaye hekima huleta furaha kwa baba yake, bali aambatanaye na makahaba hutapanya mali yake.
4 Un roi juste élève un pays; un homme avare le détruira.
Kwa haki mfalme huipa nchi uthabiti, bali mfalme aliye na tamaa ya rushwa huiangamiza.
5 L’homme qui parle à son ami en des termes flatteurs et déguisés tend un filet à ses pieds.
Yeyote amsifuye jirani yake isivyostahili, anautandaza wavu kuitega miguu yake.
6 L’homme inique qui pèche, un lacs l’enveloppera; et le juste louera le Seigneur et se réjouira.
Mtu mbaya hutegwa na dhambi yake mwenyewe bali mwenye haki huweza kuimba na kufurahi.
7 Le juste connaît la cause des pauvres; l’impie ignore la science.
Mwenye haki hujali haki kwa ajili ya maskini, bali mwovu hajishughulishi na hilo.
8 Les hommes pernicieux détruisent une cité; mais les sages détournent la fureur.
Wenye mzaha huuchochea mji, bali watu wenye hekima hugeuzia mbali hasira.
9 Un homme sage, s’il dispute avec un insensé, soit qu’il s’irrite, soit qu’il rie, ne trouvera pas de repos.
Kama mwenye hekima akienda mahakamani na mpumbavu, mpumbavu hukasirika na kudhihaki, wala hakuna amani.
10 Les hommes de sang haïssent le simple; mais les justes cherchent son âme.
Watu wamwagao damu humchukia mtu mwadilifu na hutafuta kumuua mtu mnyofu.
11 L’insensé met tout de suite en avant son esprit; mais le sage diffère et réserve pour l’avenir.
Mpumbavu huonyesha hasira yake yote, bali mwenye hekima hujizuia.
12 Le prince qui écoute volontiers des paroles de mensonge a tous ses ministres impies.
Kama mtawala akisikiliza uongo, maafisa wake wote huwa waovu.
13 Le pauvre et le créancier se sont rencontrés; celui qui éclaire l’un et l’autre, c’est le Seigneur.
Mtu maskini na mtu anayeonea wanafanana kwa jambo hili: Bwana hutia nuru macho yao wote wawili.
14 Le roi qui juge selon la vérité les pauvres, son trône sera à jamais affermi.
Kama mfalme akiwaamua maskini kwa haki, kiti chake cha enzi kitakuwa thabiti siku zote.
15 La verge et la correction donnent la sagesse; mais l’enfant, abandonné à sa volonté, couvre de confusion sa mère.
Fimbo ya maonyo hutia hekima, bali mtoto aliyeachiwa bila maonyo humwaibisha mama yake.
16 Par la multiplication des impies se multiplieront les crimes; et les justes verront leur ruine.
Wakati waovu wanapostawi, pia dhambi vivyo hivyo, lakini wenye haki wataliona anguko lao.
17 Forme ton fils, et il te consolera, et il fera les délices de ton âme.
Mrudi mwanao, naye atakupa amani, atakufurahisha nafsi yako.
18 Lorsque la prophétie cessera, le peuple sera dissipé; mais celui qui garde la loi est bienheureux.
Mahali pasipo na ufunuo, watu kujizuia, bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.
19 L’esclave, par des paroles, ne peut être formé; parce qu’il comprend ce que tu dis, et il dédaigne de répondre.
Mtumishi hawezi kuonywa kwa maneno matupu, ajapoelewa, hataitikia.
20 As-tu vu un homme prompt à parler? Il faut en attendre de la folie plutôt que son amendement.
Je, unamwona mtu azungumzaye kwa haraka? Kuna matumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko yeye.
21 Celui qui, dès l’enfance, nourrit délicatement son esclave le trouvera dans la suite rebelle.
Kama mtu akimdekeza mtumishi wake tangu ujanani, atamletea sikitiko mwishoni.
22 L’homme colère provoque des rixes; et celui qui est facile à s’indigner sera plus enclin à pécher.
Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi, naye mtu mwenye hasira ya haraka hutenda dhambi nyingi.
23 L’humiliation suit le superbe; et la gloire accueillera l’humble d’esprit.
Kiburi cha mtu humshusha, bali mtu mwenye roho ya unyenyekevu hupata heshima.
24 Celui qui avec un voleur s’associe hait sa propre âme; il entend celui qui l’adjure, et il ne décèle pas le voleur.
Anayekubaliana na mwizi ni adui wa nafsi yake mwenyewe; huapishwa lakini hathubutu kushuhudia.
25 Celui qui craint l’homme tombera promptement; celui qui espère dans le Seigneur sera élevé.
Kuwaogopa watu huwa ni mtego, bali yeyote amtumainiaye Bwana atakuwa salama.
26 Beaucoup recherchent la face du prince; mais c’est du Seigneur que procède le jugement de chacun.
Wengi hutafuta kusikilizwa na mtawala, bali mtu hupata haki kutoka kwa Bwana.
27 Les justes abominent l’homme impie; et les impies abominent ceux qui sont dans la droite voie. Le fils qui garde la parole sera hors de perdition.
Mwenye haki huwachukia sana wasio waaminifu; waovu huwachukia sana wenye haki.