< Nombres 7 >

1 Or, il arriva qu’au jour où Moïse acheva le tabernacle, il le dressa, l’oignit et le sanctifia avec tous ses vases ainsi que l’autel et tous ses vases.
Siku ambayo Musa alikamilsha masikani, alitia mafuta na kuiweka wakfu kwa BWANA, pamoja na mapambo yake. Aliifanyia hivyo madhabahu na vyombo vyake. Aliitia mafuta na kuiweka wakfu kwa BWANA.
2 Les princes d’Israël et les chefs de familles, qui étaient dans chaque tribu et qui commandaient à ceux qui avaient été dénombrés, offrirent
Siku hiyo, viongozi wa Israeli na wale vichwa vya familia za mababu walitoa sadaka. Hawa wanaume walikuwa viongozi wa makabila. Walisaidia kuhesabu watu kwenye ile sensa.
3 Leurs présents devant le Seigneur: six chariots couverts avec douze bœufs. Deux chefs offrirent un chariot, et chacun d’eux un bœuf, et ils les offrirent en présence du tabernacle.
Walileta sadaka zao kwa BWANA. Walileta magari sita yaliyofunikwa na mafahari kumi na mbili. Walileta gari moja kwa kila viongozi wawili, kila kiongozi alileta fahari moja. Walileta vitu hivi mbele ya masikani.
4 Or, le Seigneur dit à Moïse:
Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia,
5 Reçois-les d’eux, pour qu’ils soient employés au service du tabernacle, et tu les donneras aux Lévites, selon le rang de leur ministère.
“Uzipokee hizo sadaka kutoka kwao na uzitumie kwa matumizi ya kazi ya hema ya kukutania. Uwape hizo sadaka Walawi, kwa kila mmoja kadri ya uhitaji wa kazi yake.”
6 C’est pourquoi, lorsque Moïse eut reçu les chariots et les bœufs, il les donna aux Lévites.
Musa akayatwaa yale magari na mafahari. na kuwapatia Walawi.
7 Il donna aux fils de Gerson deux chariots et quatre bœufs, selon ce qui leur est nécessaire.
Aliwapa magari mawili na mafahari wanne wale wa uzao wa Gerishoni, kwa sababu ndivyo kazi yao ilivyohitaji.
8 Il donna aux fils de Mérari les quatre autres chariots et les huit bœufs, selon leurs fonctions et leur service, sous la main d’Ithamar, fils d’Aaron, le prêtre.
Aliwapatia uzao wa Merari magari manne na mafahari nane, chini ya uangalizi wa Ithamari mwana wa Haruni kuhani. Alifanya hivi kwa sababu ya uhitaji wa kazi yao.
9 Mais aux fils de Caath, il ne donna point de chariots et de bœufs, parce que c’est dans le sanctuaire qu’ils servent et qu’ils portent les fardeaux sur leurs propres épaules.
Lakini wale wa uzao wa Kohathi hakuwapa chochote kwa sababu wao waliangalia vitu vtakatifu amabvyo vilipaswa vibebwe mabagani mwao, siyo kwa magari.
10 Les chefs donc offrirent leur oblation devant l’autel pour la dédicace de l’autel, au jour qu’il fut oint.
Viongozi walitoa bidhaa zo zingine kwa ajili ya kuwekwa wakfu kwa madhabahu katika siku ile ambayo Musa aliitia mafuta madhabahu. Viongozi walitoa sadaka zao mbele ya madhabahu hiyo.
11 Et le Seigneur dit à Moïse: Que chaque chef offre chaque jour ses présents pour la dédicace de l’autel.
BWANA akasema na Musa, “kila kiongozi atatoa sadaka kwa siku yake kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabahu.”
12 Au premier jour Nahasson, fils d’Aminadab, de la tribu de Juda, offrit son oblation:
Katika siku ya kwanza, Nashoni mwana wa Aminadabu, wa kabila ya Yuda, alitoa sadaka yake.
13 Il y avait un plat d’argent du poids de cent trente sicles, une patère d’argent de soixante dix sicles, selon le poids du sanctuaire, l’un et l’autre pleins de fleur de farine arrosée d’huile pour un sacrifice;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja ya fedha ambayo uzito wake ni shekeli sabini, kwa kipimo cha mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
14 Un petit mortier de dix sicles d’or, plein d’encens;
Pia alimpa unga wa dhahabu kiasi cha bakuli moja chenye uzani wa shekeli kumi kilichojaa ubani
15 Un bœuf pris d’un troupeau, et un bélier, et un agneau d’un an pour un holocauste;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, kondoo dume mmoja na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
16 Un bouc pour le péché;
Alitoa beberu kama kama sadaka ya hatia.
17 Et pour le sacrifice des pacifiques, deux bœufs, cinq béliers, cinq boucs, cinq agneaux d’un an. Telle est l’oblation de Nahasson, fils d’Aminadab.
Alitoa makisai mbili, kondoo waume watano, beberu watano na wanakondoo dume watano wenye umri wa mwaka mmoja mmoja, kama sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Nashoni mwana wa Aminadabu.
18 Au second jour, Nathanaël, fils de Suar, chef de la tribu d’Issachar, offrit
Siku ya pili, Nethanel mwana wa Zuari, kiongozi wa Isakari, alitoa sadaka yake.
19 Un plat d’argent pesant cent trente sicles, une patère d’argent de soixante-dix sicles, selon le poids du sanctuaire, l’un et l’autre pleins de fleur de farine arrosée d’huile pour un sacrifice;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha ya uzito wa shekeli130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa sheli sabini, kwa kipimo cha mahali patakatifu. Viyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa sadaka ya unga.
20 Un petit mortier d’or de dix sicles, plein d’encens;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzito wa shekeli kumi, iliyojaa ubani.
21 Un bœuf pris d’un troupeau, un bélier, et un agneau d’un an, pour un holocauste;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo mmoja dume.
22 Et un bouc pour le péché;
Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
23 Et pour le sacrifice des pacifiques, deux bœufs, cinq béliers, cinq boucs, cinq agneaux d’un an. Telle fut l’oblation de Nathanaël, fils de Suar.
Alitoa makisai wawili, Kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hiii likuwa sadaka ya Nethaneli mwana wa Zuari.
24 Au troisième jour, le prince des enfants de Zabulon, Eliab, fils d’Hélon,
Siku ya tatu, Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa uzao wa Zabuloni alitoa sadaka yake.
25 Offrit un plat d’argent, pesant cent trente sicles, une patère d’argent de soixante-dix sicles, au poids du sanctuaire, l’un et l’autre pleins de fleur de farine arrosée d’huile pour un sacrifice;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha lenye uzito wa shekeli sabini kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. vyombo vyote hivi vilikuwa vimeja unga mwembemba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
26 Un petit mortier d’or, pesant dix sicles, plein d’encens;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
27 Un bœuf pris d’un troupeau, un bélier, et un agneau d’un an, pour un holocauste;
Alitoa sadaka ya fahari mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja.
28 Un bouc pour le péché;
Alitoa beberu mmoja kama sadaka ya dhambi.
29 Et pour le sacrifice des pacifiques, deux bœufs, cinq béliers, cinq boucs, cinq agneaux d’un an. Telle est l’oblation d’Eliab, fils d’Hélon.
Alitoa makisai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja. kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Eliabu mwana Heloni.
30 Au quatrième jour, le prince des enfants de Ruben, Elisur, fils de Sédéur,
Siku ya nne, Elizuri mwana wa shedeuri, kiongozi wa uzao wa Reubeni, alitoa sadaka yake.
31 Offrit un plat d’argent, pesant cent trente sicles, une patère de soixante-dix sicles, au poids du sanctuaire, l’un et l’autre pleins de fleur de farine arrosée d’huile pour un sacrifice;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
32 Un petit mortier d’or, pesant dix sicles, plein d’encens;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichoo jaa ubani.
33 Un bœuf pris d’un troupeau, un bélier et un agneau d’un an pour un holocauste;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, mwanakondoo dume mmoja mchanga wa mwaka mmoja.
34 Un bouc pour le péché;
Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
35 Et pour les hosties des pacifiques, deux bœufs, cinq béliers, cinq boucs, cinq agneaux d’un an. Telle fut l’oblation d’Elisur, fils de Sédéur.
Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Elizuri mwana wa Shedeuri.
36 Au cinquième jour, le prince des enfants de Siméon, Salamiel, fils de Surisaddaï,
Siku ya tano, Shelumieli mwana wa Zurishadai, kiongozi wa uzao wa Simeoni, alitoa sadaka yake.
37 Offrit un plat d’argent, pesant cent trente sicles, une patère d’argent de soixante-dix sicles, au poids du sanctuaire, l’un et l’autre pleins de fleur de farine arrosée d’huile pour un sacrifice;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekali 130 na bakuli mojala fedha lenye uzani wa shekeli sabini kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
38 Un petit mortier d’or, pesant dix sicles, plein d’encens;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, uliojaa ubani.
39 Un bœuf pris d’un troupeau, un bélier, et un agneau d’un an pour un holocauste;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, dume la kondoo, na dume la mwanakondoo la mwaka mmoja.
40 Un bouc pour le péché;
Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
41 Et pour les hosties des pacifiques, deux bœufs, cinq béliers, cinq boucs, cinq agneaux d’un an. Telle fut l’oblation de Salamiel, fils de Surisaddaï.
Alitao maksai wawili, dume wawili wa kondoo, beberu watano, na dume watano wa wanakondoo wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka y amani. Hiindiyo iliyokuwa sadka ya Shelumei mwana wa Zurishadai.
42 Au sixième jour, le prince des enfants de Gad, Eliasaph, fils de Duel,
Siku ya sita, Eliasafu mwana wa Deuli, kiongozi wa uzao wa Gadi, alitoa sadaka yake.
43 Offrit un plat d’argent, pesant cent trente sicles, une patère d’argent de soixante-dix sicles, au poids du sanctuaire, l’un et l’autre pleins de fleur de farine arrosée d’huile pour un sacrifice;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli la shaba lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote vilikuwa vimejaa unga mwembemba uliochanganywa na mafuta kwa ajili ya sadaka ya unga.
44 Un petit mortier d’or, pesant dix sicles, plein d’encens:
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
45 Un bœuf pris d’un troupeau, un bélier et un agneau d’un an pour un holocauste;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa ya fahari changa, kondoo dume mmoja, na dume la mwanakondoo mmoja wa mwaka mmoja.
46 Un bouc pour le péché;
Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
47 Et pour les hosties des pacifiques, deux bœufs, cinq béliers, cinq boucs, cinq agneaux d’un an. Telle fut l’oblation d’Eliasaph, fils de Duel.
Alitoa maksai wawili, dume watano wa kondoo, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Eliasafu mwana wa Deuli.
48 Au septième jour, le prince des enfants d’Ephraïm, Elisama, fils d’Ammiud,
Siku ya saba, Elishama mwana wa Amihudi, kiongozi wa uzao wa Efraimu, alitoa sadaka yake.
49 Offrit un plat d’argent, pesant cent trente sicles, une patère d’argent de soixante-dix sicles, au poids du sanctuaire, l’un et l’autre pleins de fleur de farine arrosée d’huile pour un sacrifice;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote ilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
50 Un petit mortier d’or pesant dix sicles, plein d’encens;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu, kilichojaa ubani
51 Un bœuf pris d’un troupeau, un bélier et un agneau d’un an pour un holocauste;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa, fahari mmoja, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
52 Un bouc pour le péché;
Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
53 Et pour les hosties des pacifiques, deux bœufs, cinq béliers, cinq boucs, cinq agneaux d’un an. Telle fut l’oblation d’Elisama, fils d’Ammiud.
Alitoa maksai wawili, kondo dume watano, beberu watano, na na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sdaka ya Elishama mwana wa Amidu.
54 Au huitième jour, le prince des enfants de Manassé, Gamaliel, fils de Phadassur,
Siku y a nane, Gamaliel mwana wa Pedazuri, kiongozi wa uzao wa Manase, alitoa sadaka yake.
55 Offrit un plat d’argent pesant cent trente sicles, une patère d’argent de soixante-dix sicles, au poids du sanctuaire, l’un et l’autre pleins de fleur de farine arrosée d’huile pour un sacrifice;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
56 Un petit mortier d’or pesant dix sicles, plein d’encens;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
57 Un bœuf, pris d’un troupeau, un bélier et un agneau d’un an pour un holocauste;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa ya fahari mmoja, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
58 Un bouc pour le péché;
Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
59 Et pour les hosties des pacifiques, deux bœufs, cinq béliers, cinq boucs, cinq agneaux d’un an. Telle fut l’oblation de Gamaliel, fils de Phadassur.
Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Gamaliel mwana wa Pedazuri.
60 Au neuvième jour, le prince des enfants de Benjamin, Abidan, fils de Gédéon,
Siku ya tisa, Abidani mwana wa Gidioni, kiongozi wa uzao wa Benjamini, alitoa sadaka yake.
61 Offrit un plat d’argent pesant cent trente sicles, une patère d’argent de soixante-dix sicles, au poids du sanctuaire, l’un et l’autre pleins de fleur de farine arrosée d’huile pour un sacrifice;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja yafedha yenye uzani wa sheli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzito wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
62 Un petit mortier d’or pesant dix sicles, plein d’encens;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
63 Un bœuf, pris d’un troupeau, un bélier et un agneau d’un an pour un holocauste;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
64 Un bouc pour le péché;
Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
65 Et pour les hosties des pacifiques, deux bœufs, cinq béliers, cinq boucs, cinq agneaux d’un an. Telle fut l’oblation d’Abidan, fils de Gédéon.
Alitoa makisai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Abidani mwana wa Gidioni.
66 Au dixième jour, le prince des enfants de Dan, Ahiézer, fils d’Ammisaddaï,
Siku ya kumi, Ahizeri mwana wa Amishadai kiongozi wa Dani alitoa sadaka yake.
67 Offrit un plat d’argent, pesant cent trente sicles, une patère d’argent de soixante-dix sicles, au poids du sanctuaire, l’un et l’autre pleins de fleur de farine arrosée d’huile pour un sacrifice;
Alitoa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekeli 130 na bakuli moja lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
68 Un petit mortier d’or pesant dix sicles, plein d’encens;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzito wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
69 Un bœuf pris d’un troupeau, un bélier et un agneau d’un an pour un holocauste;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, dume moja la kondoo, na dume moja la mwanakondoo wa mwaka mmoja.
70 Un bouc pour le péché;
Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
71 Et pour les hosties des pacifiques, deux bœufs, cinq béliers, cinq boucs, cinq agneaux d’un an. Telle fut l’oblation d’Ahiézer, fils d’Ammisaddaï:
Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja, kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Ahizeri mwana wa Amishadai.
72 Au onzième jour, le prince des enfants d’Aser, Phégiel, fils d’Ochran,
Siku ya kumi na moja. Pagieli mwana wa Okrani kiongozi wa uzao wa Asheri alaitoa sadaka yake.
73 Offrit un plat d’argent pesant cent trente sicles, une patère d’argent de soixante-dix sicles, au poids du sanctuaire, l’un et l’autre pleins de fleur de farine arrosée d’huile pour un sacrifice;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabani, kwa kipimo cha shekeli ya mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi ilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
74 Un petit mortier d’or pesant dix sicles, plein d’encens;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
75 Un bœuf, pris d’un troupeau, un bélier et un agneau d’un an pour un holocauste;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga. dume la kondoo moja, dume moja la mwanakondoo wa mwaka mmoja.
76 Un bouc pour le péché;
Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
77 Et pour les hosties des pacifiques, deux bœufs, cinq béliers, cinq boucs, cinq agneaux d’un an. Telle fut l’oblation de Phégiel, fils d’Ochran.
Alitoa maksai wawili, dume watano wa kondoo, na wanakondoo dume watano kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Pagieli mwana wa Okrani.
78 Au douzième jour, le prince des enfants de Nephtali, Ahira, fils d’Énan,
Siku ya kumi na mbili., Ahira mwana wa Enani, kiongozi wa uzao wa Naftali, alitoa sadaka yake.
79 Offrit un plat d’argent pesant cent trente sicles, une patère d’argent de soixante-dix sicles, au poids du sanctuaire, l’un et l’autre pleins de fleur de farine arrosée d’huile pour un sacrifice;
Sadaka yake ailikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba ulichanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
80 Un petit mortier d’or pesant dix sicles, plein d’encens;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
81 Un bœuf pris d’un troupeau, un bélier, et un agneau d’un an, pour un holocauste;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, dume moja la kondoo, na mwanakondoo dume moja wa mwaka mmoja.
82 Un bouc pour le péché;
Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
83 Et pour les hosties des pacifiques, deux bœufs, cinq béliers, cinq boucs, cinq agneaux d’un an. Telle fut l’oblation d’Ahira, fils d’Énan.
Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Ahra mwana wa Enani.
84 Ces choses furent offertes par les princes d’Israël à la dédicace de l’autel, au jour qu’il fut consacré: douze plats d’argent, douze patères d’argent, douze petits mortiers d’or;
Viongozi wa Israeli waliviweka wakfu hivi vitu vyote siku ambayo Musa alimimina mafuta kwenye madhabahu. Waliziweka wakfu zile sahani kumi na mbili za fedha, Bakuli kumi na mbili za fedha, na vijiko kumi na vili vya dhahabu.
85 De telle sorte qu’un plat était de cent trente sicles d’argent et une patère de soixante dix sicles; c’est pour tous les vases d’argent ensemble deux mille quatre cents sicles, au poids du sanctuaire;
Zile sahani za fedha kila moja ilikuwa na uzani wa shaekeli 130 na kila bakuli ye fedha ilikuwa na uzani wa shekeli sabini. Vyombo vyote vya fedh vilikuwa na ujumla ya uzani wa shekeli 2, 400, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu.
86 Douze petits mortiers d’or pleins d’encens, pesant chacun dix sicles, au poids du sanctuaire; c’est pour tout l’or cent vingt sicles;
Vile vijiko vya dhahabu vilivyokuwa vimejaa ubani, vilikuwa na uzani wa shekeli kumi kila kimoja. Vijiko vyote vya dhahabu vilikuwa na uzani wa shekeli 120.
87 Douze bœufs, pris d’un troupeau, pour un holocauste, douze béliers, douze agneaux d’un an et leurs libations; douze boucs pour le péché.
Waliwatenga wanyama wote kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, fahari kumi na wawili, kondoo dume kumi na wawili, na wanakondoo dume kumi na wawili wa mwaka mmoja mmoja. Walitoa sadaka yao ya unga. Walitoa beberu kumi na wawili kuwa sadaka ya dhambi.
88 Pour les hosties des pacifiques, vingt-quatre bœufs, soixante béliers, soixante boucs, soixante agneaux d’un an. Ces choses furent offertes à la dédicace de l’autel, quand il fut oint.
Kutokana na ng'ombe zao, walitoa fahari ishirini na nne, kondoo dume sitini beberu sitini, na wanakondoo dume sitini wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa kwa ajiliya kuiweka wafu ile madhabahu baada ya kumiminiwa mafuta.
89 Or, lorsque Moïse entrait dans le tabernacle d’alliance pour consulter l’oracle, il entendait la voix de celui qui lui parlait du propitiatoire, qui était sur l’arche du témoignage entre deux chérubins d’où aussi il lui parlait.
Musa alipoingia kwenye hema ya kukutania kusema na BWANA, ndipo alipoisikia sauti yake ikisema naye. BWANA alinena naye kutoka juu ya kiti cha rehema kilichokuwa juu ya sanduku la ushahidi, kutoka katikati ya makerubi. Alinena naye.

< Nombres 7 >