< Nombres 26 >
1 Après que le sang des coupables eut été répandu, le Seigneur dit à Moïse et à Eléazar, le prêtre, fils d’Aaron:
Ilitokea baada ya tauni ambayo BWANA alimwambia Musa na Eliazari mwana wa Haruni kuhani, Alisema,
2 Faites le dénombrement complet des enfants d’Israël depuis vingt ans et au-dessus, selon leurs maisons et leur parenté, de tous ceux qui peuvent aller aux combats.
Wahesabu watu wote wa Israeli, kuanzia miaka ishirini na zaidi, kwa jamaa ya familia zao wote ambao wanaweza kwenda kwenye vita kwa ajili ya Israeli.”
3 C’est pourquoi Moïse et Eléazar, le prêtre, parlèrent, dans les plaines de Moab, sur le Jourdain, contre Jéricho, à ceux qui avaient
Kwa hiyo Musa na Eliazari kuhani wakawaambia katika uwanda wa Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko na kusema,
4 Vingt ans et au-dessus, comme le Seigneur avait commandé, et dont voici le nombre:
Wahesabuni watu, kuanzi umri wa miaka ishirini na zaidi kama BWANA alivyomwamuru Musa na watu wa Israeli walitoka katika nchi ya Misri.”
5 Ruben, premier-né d’Israël; son fils Hénoch, de qui vient la famille des Hénochites; Phallu, de qui vient la famille des Phalluites;
Reubeni ndiye aliyekuwa wa kwanza, Kutoka kwa mwana wake Hanoki ulitokea ukoo wa Wahanoki. Kutoka kwa Palu ulitokea ukoo wa Wapalu.
6 Hesron, de qui vient la famille des Hesronites; et Charmi, de qui vient la famille des Charmites.
Kutoka Hezroni. ulitokea ukoo wa Wahezroni. Kutoka kwa Kami ulitokea ukoo wa Wakami.
7 Telles sont les familles de la race de Ruben, dont le nombre trouvé fut de quarante-trois mille et sept cent trente.
Hizi ndizo zilikuwa koo za uzao wa Reubeni, ambzo idadi yao ilikuwa wanaume 43, 730.
8 Le fils de Phallu, fut Eliab;
Eliabu alikuwa mwana wa Palu.
9 Les fils de celui-ci, Namuel, Dathan et Abiron. Ce sont Dathan et Abiron, les princes du peuple, qui s’élevèrent contre Moïse et Aaron, dans la sédition de Coré, quand ils se révoltèrent contre le Seigneur,
Wana wa Eliabu walikuwa ni Nemueli, Dathani. na Abiramu. Hawa ni walewale Dathani na Abiramu waliomfuata Kora waliompinga Musa na Haruni na kumpinga BWANA.
10 Et que la terre, ouvrant sa bouche, dévora Coré, un grand nombre, étant morts; quand le feu brûla deux cent cinquante hommes. Alors il se fit un grand miracle,
Pale ambapo dunia ilifungua kinywa na kuwameza pamoja na Kora wakati ambapo wafuasi wa Kora walikufa. Wakati ule, moto uliteketeza wanaume 250, amboa wlikuwa ishara ya onyo.
11 Tel que, Coré périssant, ses fils ne périrent pas.
Lakini uzao wa Kora haukufa.
12 Les fils de Siméon selon leurs familles: Namuel; de lui vient la famille des Namuélites: Jamin; de lui vient la famille des Jaminites: Jachin; de lui vient la famille des Jachinites:
Ukoo wa uzao wa Simeoni walikuwa hawa wafuatao: Kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli, kwa Jamini, ukoo wa Wajamini, kwa Jakini, ukoo wa Wajakini,
13 Zaré; de lui vient la famille des Zaréites: Saül; de lui vient la famille des Saülites.
kwa Zera, ukoo wa Wazera, kwa Shauli, ukoo wa Washauli.
14 Ce sont là les familles de la race de Siméon, dont le nombre total fut de vingt-deux mille deux cents.
Hizi ndizo koo za uzao wa Simeoni, idadi yao ilikuwa wanaume 22, 200.
15 Les fils de Gad, selon leur parenté: Séphon; de lui vient la famille des Séphonites: Aggi; de lui vient la famille des Aggites: Suni; de lui vient la famille des Sunites:
Koo za uzao wa Gadi zilikuwa hizi: Kwa Zefoni, Ukoo wa Wazefoni, kwa Hagi, ukoo wa Wahagi, kwa Shuni, ukoo wa Washuni,
16 Ozni; de lui vient la famille des Oznites: Her; de lui vient la famille des Hérites:
kwa Ozini, ukoo wa Waozini, kwa Eri, ukoo wa Waeri,
17 Arod; de lui vient la famille des Arodites: Ariel; de lui vient la famille des Ariélites:
kwa Arodi, ukoo wa Waarodi, kwa Areli, ukoo wa Waareli.
18 Telles sont les familles de Gad, dont le nombre total fut de quarante mille cinq cents.
Hizi ndizo koo za uzao wa Gadi, idadi yao walikuwa wanaume 40, 500.
19 Les fils de Juda: Her et Onan, qui tous deux moururent dans la terre de Chanaan.
Wana wa Yuda walikwa Er na Onani, lakini hawa walifia katika nchi ya Kanaani.
20 Or, les fils de Juda furent, selon leur parenté: Séla, de qui vient la famille des Sélaïtes: Pharès, de qui vient la famille des Pharésites: Zaré, de qui vient la famille des Zaréites.
Koo zingine za uzao wa Yuda zilikuwa hizi: Kwa Shela, ukoo wa Washela, kwa Perezi, ukoo wa Waperezi, na kwa Zera, ukoo wa Wazera.
21 Mais les fils de Pharès: Hesron, de qui vient la famille des Hesronites; et Hamul, de qui vient la famille des Hamulites.
Uzao wa Perezi walikuwa hawa: Kwa Hezroni, ukoo wa Wahezroni, kwa Hamuli, ukoo wa Wahamuli.
22 Telles sont les familles de Juda, dont le nombre total fut de soixante-seize mille cinq cents.
Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda, idadi yao ilikuwa wanaume 76, 500.
23 Les fils d’Issachar, selon leur parenté: Tola, de qui vient la famille des Tolaïtes: Phua, de qui vient la famille des Phuaïtes:
Koo za uzao wa Isakari zilikuwa hizi: Kwa Tola, ukoo wa Watola, kwa Puva, ukoo wa Wapuva,
24 Jasub, de qui vient la famille des Jasubites: Semran, de qui vient la famille des Semranites.
kwa Jashubu, ukoo wa Wajashubu, kwa Shimroni, ukoo wa Washimroni.
25 Telle est la parenté d’Issachar, dont le nombre total fut de soixante-quatre mille trois cents.
Hizi ndizo zilikuwa koo za Isakari, Idadi yao ilikuwa wanaume 64, 300.
26 Les fils de Zabulon, selon leur parenté: Sared, de qui vient la famille des Sarédites: Elon, de qui vient la famille des Elonites: Jalel, de qui vient la famille des Jalélites.
Koo za uzao wa Zabuloni zilikuwa hizi: Kwa Seredi, ukoo wa Waseredi, kwa Eloni, ukoo wa Waeloni, kwa Jahaleeli, ukoo wa Wajahaleeli.
27 Telle est la parenté de Zabulon, dont le nombre fut de soixante mille cinq cents.
Hizi ndizo zilikuwa koo za Zabuloni, idadi y ao ilikuwa wanaume 60, 500.
28 Les fils de Joseph, selon leur parenté: Manassé et Ephraïm.
Koo za uzao wa Ysufu zilikuwa Manase na Efraimu.
29 De Manassé naquit Machir, de qui vient la famille des Machirites. Machir engendra Galaad, de qui vient la famille des Galaadites.
Huu ndio uliokuwa uzao wa Manase: Kwa Machiri, ukoo wa Wamachiri (Machiri ndiye aliyekuwa baba wa Giliedi), kwa Giliedi, ukoo wa Wagiliedi.
30 Galaad eut des fils: Jézer, de qui vient la famille des Jézérites: Hélec, de qui vient la famille des Hélécites:
Wazo wa Giliedi walikuwa hawa wfuatao: Kwa Lezeri, ukoo wa Walezeri, kwa Helweki, ukoo wa Waheleki, kwa Asrieli,
31 Asriel, de qui vient la famille des Asriélites: Séchem, de qui vient la famille des Séchémites:
ukoo wa Asrieli wa Waasrieli, kwa Shekemu, ukoo wa Washekemu,
32 Sémida, de qui vient la famille des Sémidaïtes; et Hépher, de qui vient la famille des Héphérites.
kwa Shemida, ukoo wa Washemida, kwa Hefa, ukoo wa Wahefa.
33 Or Hépher fut père de Salphaad qui n’eut point de fils, mais seulement des filles, dont les noms sont: Maala, Noa, Hégla, Melcha et Thersa.
Zelofehadi mwana wa Hefa hakuwa na watoto wa kiume bali alikuwa na mabinti. Majina ya binti zake yalikuwa Mahilahi, Noha, Hoglaha, Milika, na Tiriza.
34 Ce sont là les familles de Manassé, et leur nombre fut de cinquante-deux mille sept cents.
Hizi ndizo koo za Manase, idadi yao ilikuwa wanaume 52, 700.
35 Mais les enfants d’Ephraïm, selon leur parenté, furent ceux-ci: Suthala, de qui vient la famille des Suthalaïtes: Bécher, de qui vient la famille des Béchérites: Théhen, de qui vient la famille des Théhénites.
Koo za wana wa uzao wa Efraimu zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Shuthelaha, ukoo wa Washutheleha, kwa Becheri, ukoo wa Wabecheri, kwa Tahana, ukoo wa Watahana.
36 Or, le fils de Suthala fut Héran, de qui vient la famille des Héranites.
Uzao wa Shuthelaha walikuwa, kwa Erani, ukoo wa Waerani.
37 Telle est la parenté des fils d’Ephraïm, dont le nombre fut de trente-deux mille cinq cents.
Hizi ndizo koo za uzao wa Efraimu, idadi yao ilikuwa wanaume 32, 500. Huu ndio uzao wa Yusufu, uliohesabiwa toka kila koo zao.
38 Ce sont là les fils de Joseph, selon leurs familles. Les fils de Benjamin, selon leur parenté: Béla, de qui vient la famille des Bélaïtes: Asbel, de qui vient la famille des Asbélites: Ahiram, de qui vient la famille des Ahiramites.
Koo za uzao wa Benjamini zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Bela ukoo wa Wabela, kwa Ashibeli, ukoo wa Washibeli, kwa Ahiramu, ukoo wa Wahiramu,
39 Supham, de qui vient la famille des Suphamites: Hupham, de qui vient la famille des Huphamites.
kwa Shefufamu, ukoo wa Washefumamu, kwa Hufamu, ukoo wa Wahufamu.
40 Les fils de Béla: Héred et Noéman. De Héred vient la famille des Hérédites; de Noéman, la famille des Noémanites.
Wana wa Bela walikuwa ni Ardi na Naamani. Kutoka kwa Ardi ulijitokeza ukoo wa Waardi, na kutoka kwa Naamani ukajaitokeza ukoo wa Wanaamani.
41 Ce sont là les fils de Benjamin, selon leur parenté, dont le nombre fut de quarante-cinq mille six cents.
Hizi ndizo koo za uzao wa Benjamini. Idadai yao ilikuwa wanaume 45, 600.
42 Les fils de Dan, selon leur parenté: Suham, de qui vient la famille des Suhamites. Telle est la parenté de Dan, selon ses familles.
Kooo za uzao wa Dani zilikuwa hizi zifuatazo: Kwa Shuhamu, ukoo wa Washuhamu. Hizi ndizo koo za uzao wa Dani.
43 Tous furent Suhamites, dont le nombre était de soixante-quatre mille quatre cents.
Idadi ya koo zote za Washuhamu ilikuwa wanaume 64, 400.
44 Les fils d’Aser, selon leur parenté: Jemna, de qui vient la famille des Jemnaïtes: Jessui de qui vient la famille des Jessuites: Brié, de qui vient la famille des Briéites.
Koo za uzao wa Asheri zilikuwa zifuatazo: Kwa Imna, ukoo wa Waimna, kwa Ishvi, ukoo wa Waishivi, kwa Beria, ukoo wa Waberia.
45 Les fils de Brié: Héber, de qui vient la famille des Hébérites. et Melchiel, de qui vient la famille des Melchiélites.
Uzao wa Beria walikuwa hawa: Kwa Heberi, ukoo wa Waheberi, kwa Malikieli, ukoo wa Wamalikieli.
46 Mais le nom de la fille d’Aser fut Sara.
Jina la binti wa Asheri lilikuwa Sera.
47 Telle est la parenté des fils d’Aser, et leur nombre fut de cinquante-trois mille quatre cents.
Hizi ndizo koo za uzao wa Asheri, idadi yao ilikuwa wanaume 53, 400.
48 Les fils de Nephthali, selon leur parenté: Jésiel, de qui vient la famille des Jésiélites: Guni, de qui vient la famille des Gunites.
Koo za uzao wa Naftali zilikuwa zifuatazo: Kwa Jahazeeli, ukoo wa Wajahazeel, kwa Guni, ukoo wa Waguni,
49 Jéser, de qui vient la famille des Jésérites: Sellem, de qui vient la famille des Sellémites.
kwa Jezeri, ukoo wa Wajezeri, kwa Shilemu, ukoo wa Washilemu.
50 Telle est la parenté des fils de Nephthali, selon leurs familles, et dont le nombre fut de quarante-cinq mille quatre cents.
Hizi ndizo zilizokuwa koo za uzao wa Naftali, idadi yao walikuwa wanaume 45, 000.
51 C’est là le nombre des enfants d’Israël qui furent recensés: six cent et un mille sept cent trente.
Hii ndiyo iliyokuwa jumla kuu ya wanaume wa Israeli: 601, 730.
52 Le Seigneur parla ensuite à Moïse, disant:
BWANA akanena na Musa akamwambia,
53 La terre leur sera partagée selon le nombre des noms, pour être leurs possessions.
Ile ardhi itagawanywa kati ya wanaume hawa kama urithi wao kwa kufuata idadi ya majina yao.
54 Au plus grand nombre tu donneras la plus grande partie, et au plus petit nombre, la moindre; à chacun sera remise sa possession, selon qu’il vient d’être recensé;
Kwa zile koo kubwa utawagawia urithi mkubwa, na kwa koo ndogo ndogo utawagawia urithi kidogo. Kwa kila familia utawapa urithi kufuata idadi ya wanaume waliohesabiwa.
55 De manière seulement que ce soit le sort qui partage la terre aux tribus et aux familles.
Lakini ardhi itagawiwa kwa kupigiwa kura. Watairithi nchi kama itakavyogawiwa kwa kufuata koo za mababu.
56 Tout ce qui sera échu par le sort, c’est ce que recevra ou le plus grand nombre ou le plus petit nombre.
Urithi huu utagiwiwa kufuata koo kubwa na ndogo, watagawiwa kwa kufuata kura zitakavyokuwa.
57 Voici aussi le nombre des fils de Lévi, selon leurs familles: Gerson, de qui vient la famille des Gersonites: Caath, de qui vient la famille des Caathites: Mérari, de qui vient la famille des Mérarites.
Koo za Walawi, zilizohesabiwa kwa kufuata ukoo kwa ukoo, walikuwa hivi: Kwa Gerishoni, ukoo wa Wagerishoni, kwa Kohathi, ukoo wa Wakohathi, kwa Merari, ukoo wa Wamerari.
58 Voici les familles de Lévi: la famille de Lobni, la famille d’Hébroni, la famille de Moholi, la famille de Musi, la famille de Coré.
Koo za walawi zilikuwa hzi: ukoo wa Walibni, Ukoo wa Wahebroni, ukoo wa Wamahali, ukoo wa Wamushi, na ukoo wa Wakora. Kohathi alikuwa wa uzao wa Amramu.
59 Qui eut pour femme Jochabed, fille de Lévi, laquelle naquit en Egypte; c’est elle qui engendra à Amram, son mari, ses fils, Aaron et Moïse, et Marie leur sœur.
Jina la mke wa Amramu lilikuwa Jokibed, wa ukoo wa Lawi, aliyekuwa amezaliwa kwa Walawi kule Misri. Alimzalia Amramu watoto wao, ambao walikuwa ni Haruni, Musa, na Miriamu dada yao.
60 D’Aaron naquirent: Nadab, Abiu, Eléazar, et Ithamar;
Kwa Haruni alizaliwa Nadabu na Abihu, Eliazari na Ithamari.
61 Dont Nadab et Abiu moururent, lorsqu’ils eurent offert un feu étranger devant le Seigneur.
Nadabu na Abihu walikufa walipotoa sadaka kwa BWANA sadaka ya moto isiyokubalika.
62 Ainsi tous ceux qui furent dénombrés, s’élevèrent à vingt-trois mille du sexe masculin, depuis un mois et au-dessus, parce qu’ils ne furent pas recensés parmi les enfants d’Israël, et qu’il ne leur fut pas donné de possession avec les autres.
Waume walioheabaiwa miionigoni mwao walikuwa elfu ishirini na tatu, hawa nia wale wa umri wa mwezi mmoja na zaidi. Lakini hawakuhesabiwa kati ya wazawa wa Israeli kwa sababu hawakupewa urithi miongoni mwa wana wa Israeli.
63 C’est là le nombre des enfants d’Israël, qui furent enregistrés par Moïse et Eléazar, le prêtre, dans les plaines de Moab, sur le Jourdain, contre Jéricho;
Hawa nadio wale walihesabiwa na Musa na Eliazari kuhani. Waliwahesabu watu wa Israeli katika uwanda wa Moabu karibu na Yorodani kule Yeriko.
64 Parmi lesquels il ne s’en trouva aucun de ceux qui avaient été dénombrés auparavant par Moïse et Aaron dans le désert de Sinaï.
Lakini miongoni mwa hawa hapakuwa na mwanamume aliyehasabiwa na Musa na Haruni kuhani wakati wana wa uzao wa Israeli walipohesabiwa katika jangwa la Sinai.
65 Carie Seigneur avait prédit que tous mourraient dans le désert. Ainsi, il ne resta pas un seul d’eux, si ce n’est Caleb, fils de Jéphoné, et Josué, fils de Nun.
Kwa BWANA alikuwa amesema kuwa kwa hakika watu hao wote wangefia jangwani. Hapakuwa na mtu aliyebaki miongoni mwao, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Joshua mwana wa Nuni.