< Lamentations 1 >
1 Comment est-elle assise solitaire, la ville pleine de peuple? elle est devenue comme veuve, la maîtresse des nations; la reine des provinces a été assujettie au tribut.
Mji ambao mwanzo ulikuwa na watu wengi sasa umekaa peke yake. Amekuwa kama mjane, japo alikuwa taifa kubwa. Alikuwa mtoto wa mfalme miongoni mwa mataifa, lakini sasa amelazimishwa utumwani.
2 Pleurant, elle a pleuré pendant la nuit, et ses larmes coulent sur ses joues; et il n’est personne qui la console, parmi ceux qui lui étaient chers; tous ses amis l’ont méprisée et sont devenus ses ennemis.
Analia na kuomboleza usiku, na machozi yake yanafunika mashavu yake. Hamna ata mpenzi wake anaye mliwaza. Marafiki wake wote wamemsaliti. wamekuwa maadui wake.
3 Juda a émigré à cause de son affliction et de la grandeur de son esclavage: il a habité parmi les nations, et n’a pas trouvé de repos: ses persécuteurs l’ont saisi dans ses angoisses.
Baada ya umaskini na mateso, Yuda ameenda matekani. Anaishi miongoni mwa mataifa na hapati pumziko lolote. Wanao wakimbiza wamewapata katika upweke wake.
4 Les voies de Sion sont en deuil, de ce qu’il n’y a personne qui vienne pour une solennité; toutes ses portes sont détruites; ses prêtres gémissent, ses vierges sont défigurées; elle-même est plongée dans l’amertume.
Barabara za Sayuni zinaomboleza kwasababu hakuna anaye kuja kwenye sherehe iliyo andaliwa. Malango yake yote ni ukiwa. Makuhani wake wote wana sononeka. Mabikra wake wana uzuni na yeye mwenyewe yupo katika ugumu.
5 Ses ennemis sont devenus maîtres, ses adversaires se sont enrichis, parce que le Seigneur a parlé contre elle à cause de la multitude de ses iniquités; ses petits enfants ont été emmenés en captivité devant la face de celui qui les tourmentait.
Maadui wake wamekuwa bwana zake; maadui wake wana fanikiwa. Yahweh amemuadhibu kwa dhambi zake nyingi. Watoto wake wadogo wanaenda matekani kwa maadui zake.
6 Toute la beauté de la fille de Sion s’est retirée d’elle; ses princes sont devenus comme des béliers ne trouvant pas de pâturages; ils s’en sont allés sans force devant la face de celui qui les poursuivait.
Uzuri umemwacha binti wa Sayuni. Watoto wa mfalme wamekuwa kama ayala ambaye haoni malisho, na wanaenda bila uwezo kwa wanao wakimbiza.
7 Jérusalem s’est souvenue des jours de son affliction, et de la prévarication de toutes les choses précieuses qu’elle avait eues dès les jours anciens, lorsque son peuple tombait sous une main ennemie et qu’il n’avait pas de défenseur; ses ennemis l’ont vue, et ils se sont moqués de ses sabbats.
Katika siku za mateso yake na kutokuwa na nyumba, Yerusalemu itakumbuka hazina zake za dhamani alizo kuwa nazo awali. Wakati watu wake walipo angukia mikononi mwa adui, hakuna aliye msaidia. Maadui waliwaona na kucheka maangamizo yake.
8 Elle a beaucoup péché, Jérusalem; à cause de cela elle est
Yerusalemu ili tenda dhambi sana, hivyo basi, amedhalillika kama kitu kichafu. Wote walio mheshimu sasa wana mdharau kwa kuwa wameona uchi wake. Anasononeka na kujaribu kugeuka pembeni.
9 Ses souillures ont paru sur ses pieds, et elle ne s’est pas souvenue de sa fin; elle a été prodigieusement abaissée, n’ayant pas de consolateur; voyez, Seigneur, mon affliction, parce que l’ennemi s’est élevé.
Amekuwa mchafu chini ya sketi yake. Hakuwaza hatima yake. Anguko lake lilikuwa baya. Hakukuwa na wakumliwaza. Alilia, “Angalia mateso yangu, Yahweh, kwa kuwa adui amekuwa mkuu sana.”
10 L’ennemi a porté la main sur toutes ses choses précieuses; et elle a vu des nations entrer dans son sanctuaire, nations au sujet desquelles vous aviez ordonné quelles n’entreraient pas dans votre assemblée.
Adui ameeka mkono wake kwenye hazina zetu za dhamani. Ameona mataifa yakiingia sehemu yake takatifu, japo uliamuru wasiingie katika sehemu yako ya kukusanyikia.
11 Tout son peuple est gémissant et cherchant du pain; ils ont donné toutes leurs choses précieuses pour une nourriture qui ranimât leur âme. Voyez, Seigneur, et considérez combien je suis avilie.
Watu wote wana sononeka wanapo tafuta mkate. Wametoa hazina zao za dhamani kwa ajili ya chakula cha kurejesha uhai wao. Tazama, Yahweh, ni kumbuke mimi, kwa kuwa nimekuwa sina faida.
12 Ô vous tous qui passez par la voie, prêtez attention, et voyez s’il est une douleur comme ma douleur; parce que le Seigneur, comme il l’a dit, m’a vendangée au jour de la colère de sa fureur.
Sio kitu kwako, wote mnao pita? Angalia na uone kama kuna mtu mwenye uzuni kama uzuni ninao teswa nao, tangu Yahweh amenitesa mimi katika siku ya hasira yake kali.
13 D’en haut il a envoyé un feu dans mes os, et il m’a châtiée; il a tendu un fil à mes pieds, et il m’a fait tomber en arrière, il m’a rendue désolée, accablée de chagrin tout le jour
Ni kutoka juu ndipo alipo tuma moto kwenye mifupa yangu na umenishinda. Ametanda nyavu kwa miguu yangu na kunigeuza. Amenifanya ukiwa na dhahifu.
14 Le joug de mes iniquités s’est éveillé; elles ont été roulées dans sa main, et imposées sur mon cou; ma force s’est affaiblie; le Seigneur m’a livrée à une main dont je ne pourrai sortir.
Nira ya makosa yangu imefungwa na mikono yake. Zimesokotwa na kuekwa shingoni mwangu. Amefanya uweza wangu kushindwa. Bwana amenikabidhi mikononi mwa, na siwezi kusimama.
15 Le Seigneur a enlevé du milieu de moi tous mes hommes illustres; il a appelé contre moi le temps afin de briser mes élus; le Seigneur a foulé le pressoir pour la vierge fille de Juda.
Bwana ametupa pembeni wanaume wangu hodari walio niokoa. Ameitisha kusanyiko dhidi yangu kuponda wanaume wangu imara. Bwana amewakanyaga binti bikra wa Yuda kwenye chombo cha kusagia mvinyo.
16 C’est pour cela que moi je pleure, et que mon œil a fait couler des eaux; parce qu’il s’est éloigné de moi, le consolateur qui devait faire revenir mon âme; mes fils sont perdus, parce que l’ennemi est devenu le plus fort.
Kwa vitu hivi ninalia. Macho yangu, maji yanashuka chini ya macho yangu tangu mfariji aliye paswa kurejesha maisha yangu yuko mbali na mimi. Watoto wangu wamekuwa ukiwa kwasababu adui yangu ameshinda.
17 Sion a étendu ses mains, il n’y a personne qui la console; le Seigneur a appelé de tous côtés contre Jacob ses ennemis; Jérusalem est devenue au milieu d’eux comme une femme souillée par ses mois.
Sayuni ametandaza mikono yake; hakuna wakuwa mliwaza. Yahweh ameamuru hao karibu na Yakobo wawemaadui wake. Yerusalemu ni kitu kichafu kwao.
18 Le Seigneur est juste, parce que j’ai provoqué sa bouche au courroux; écoutez, je vous en conjure, vous tous, peuples, et voyez ma douleur; mes vierges et mes jeunes hommes sont allés en captivité.
Yahweh ni mwenye haki, kwa kuwa nimeasi dhidi ya amri zake. Sikia, ninyi watu, na muone uzuni wangu. Mabikra wangu na wanaume imara wameenda matekani.
19 J’ai appelé mes amis et ils m’ont trompée; mes prêtres et mes vieillards ont été consumés dans la ville, lorsqu’ils ont cherché de la nourriture pour ranimer leur âme.
Niliita marafiki zangu, lakini walikuwa na hila kwangu. Makuhani wangu na wazee waliangamia kwenye mji, walipo kuwa wanatafuta chakula cha kurejesha uhai wao.
20 Voyez, Seigneur, que je suis dans la tribulation; mes entrailles sont émues; mon cœur est bouleversé au dedans de moi, parce que je suis remplie d’amertume; au dehors le glaive tue; au dedans, c’est de même la mort.
Tazama, Yahweh, kwa kuwa nipo kwenye ugumu; tumbo langu lina nguruma, moyo wangu umetibuka ndani yangu, kwa kuwa nimekuwa muasi sana. Nje, upanga umemliza mama, ndani ya nyumba kuna mauti tu.
21 Ils ont appris que je gémis, et qu’il n’y a personne qui me console; tous mes ennemis ont appris mon malheur; ils se sont réjouis, parce que c’est vous qui l’avez fait; vous amènerez le jour de ma consolation, et ils seront semblables à moi.
Wamesikia sononeko langu, lakini hakuna wakuni liwaza. Maadui zangu wote wamesikia shida zangu na wamefurahi umenifanyia hivi. Umeleta siku uliyo ahidi; sasa acha wawe kama mimi.
22 THAU. Que tout le mal qu’ils ont fait vienne devant vous; et vendangez-les, comme vous m’avez vendangée à cause de toutes mes iniquités; car mes gémissements sont nombreux, et mon cœur est triste.
Acha uovu wote uje mbele zako. Shughulika nao kama ulivyo shughulika na mimi kwasababu ya makosa yangu yote. Masononeko yangu ni mengi na moyo umezimia.