< Juges 17 >
1 Il y eut en ce temps-là un certain homme de la montagne d’Ephraïm, du nom de Michas,
Kulikuwa na mtu katika nchi ya vilima ya Efraimu, na jina lake ni Mika.
2 Qui dit à sa mère: Les mille et cent sicles d’argent, que vous aviez mis à part, et au sujet desquels, vous aviez juré, moi l’entendant, voici que je les ai, et qu’ils sont avec moi. Sa mère lui répondit: Béni soit mon fils par le Seigneur!
Akamwambia mama yake, “Shilingi 1, 100 za fedha ambazo zilichukuliwa kutoka kwako, ambazo ulizungumza kwa kiapo, na kuniambia-tazama hapa! Ninazo fedha pamoja nami. Nimeziiba.” Mama yake akasema, 'Na Bwana atakubariki, mwanangu!'
3 Michas les rendit donc à sa mère, qui lui avait dit: J’ai consacré et voué cet argent au Seigneur, afin que mon fils le reçoive de ma main, et qu’il fasse une image taillée au ciseau et une idole de fonte; et maintenant je te le remets.
Alirejesha vipande 1, 100 vya fedha kwa mama yake na mama yake akasema, “Nimeweka fedha hii kwa Bwana, kwa ajili ya mwanangu kuifanya na kuchonga takwimu za chuma.
4 Il les rendit donc à sa mère, qui prit deux cents sicles d’argent et les donna à un orfèvre, afin qu’il en fit une image taillée au ciseau et une idole de fonte, qui demeura dans la maison de Michas.
Kwa hiyo sasa, ninawarejesha.” Alipokuwa amrudishia mama yake fedha, mama yake alichukua vipande mia mbili za fedha na akawapa mfanyakazi wa chuma ambaye aliwafanya kuwa sanamu na kuchonga takwimu za chuma, na wakawekwa ndani ya nyumba ya Mika.
5 Michas aussi éleva séparément dans sa maison un petit temple au dieu, et fit un éphod, des théraphim, c’est-à-dire un vêtement sacerdotal, et des idoles; puis il remplit la main d’un de ses fils; et celui-ci devint son prêtre.
Mtu huyo Mika alikuwa na nyumba ya sanamu, naye akafanya efodi na nyumba ya miungu, naye akaajiri mmoja wa wanawe awe mkuhani wake.
6 En ces jours-là il n’y avait point de roi en Israël, mais chacun faisait tout ce qui lui semblait juste.
Siku hizo hapakuwa na mfalme huko Israeli, na kila mtu alifanya yaliyo sawa machoni pake.
7 Il y eut aussi un autre jeune homme de Bethléhem de Juda, par sa parenté; et lui était Lévite, et il habitait là.
Kisha kulikuwa na kijana mmoja wa Bethlehemu huko Yuda, wa jamaa ya Yuda, ambaye alikuwa Mlawi. Alikaa huko ili kutimiza majukumu yake.
8 Sorti de la ville de Bethléhem, il voulut voyager partout où il trouverait pour lui un avantage. Et lorsqu’il fut venu à la montagne d’Ephraïm, chemin faisant, et qu’il se fut un peu détourné jusqu’à la maison de Michas,
Mtu huyo aliondoka Bethlehemu huko Yuda kwenda kutafuta mahali pa kuishi. Alipokuwa akienda, afika nyumbani kwa Mika katika nchi ya mlima wa Efraimu.
9 Michas lui demanda d’où il venait. Il répondit: Je suis Lévite de Bethléhem de Juda, et je vais pour habiter où je pourrai, et où je verrai qu’il me sera utile.
Mika akamwambia, Unatoka wapi? Huyo mtu akamwambia, Mimi ni Mlawi wa Bethlehemu huko Yuda, ninakwenda kutafuta mahali nipate kuishi.
10 Et Michas dit: Demeure chez moi, et sers-moi de père et de prêtre; je te donnerai chaque année dix sicles d’argent, un double vêtement et ce qui est nécessaire pour la vie.
Mika akamwambia, “kaa pamoja nami, uwe baba yangu na kuhani wangu. Nitawapa vipande kumi vya fedha kwa mwaka, suti ya nguo, na chakula chako.” Basi Mlawi akaingia nyumbani mwake.
11 Il consentit, et il demeura chez lui, et il fut pour lui comme un de ses enfants.
Mlawi alikuwa na furaha ya kuishi na mtu huyo, na huyo kijana kwa Mika akawa kama mmoja wa wanawe.
12 Et Michas remplit sa main, et il garda ce jeune homme comme prêtre chez lui,
Mika akamtenga Mlawi kwa ajili ya kazi takatifu, na huyo kijana akawa kuhani wake, naye alikuwa katika nyumba ya Mika.
13 Disant: Je sais que Dieu me fera du bien, puisque j’ai un prêtre de la race Lévitique.
Ndipo Mika akasema, Sasa najua ya kuwa Bwana atanifanyia mema, kwa kuwa Mlawi huyu amekuwa kuhani wangu.