< Joël 2 >

1 Sonnez de la trompette dans Sion, hurlez sur ma montagne sainte, que tous les habitants de la terre soient dans le trouble, parce que vient le jour du Seigneur, parce qu’il est proche.
Piga tarumbeta katika Sayuni, na piga kelele juu ya mlima wangu mtakatifu! Wakazi wote wa nchi watetemeke kwa hofu; maana siku ya Bwana inakuja; Hakika iko karibu.
2 Jour de ténèbres et d’obscurité; jour de nuée et de tempête; comme la lumière du matin répandue sur les montagnes se répandra un peuple nombreux et fort; de semblable à lui, il n’y en a pas eu depuis le commencement, et après lui il n’y en aura point pendant les années des diverses générations.
Ni siku ya giza na weusi, siku ya mawingu na giza nene. Kama asubuhi inayoenea kwenye milima, jeshi kubwa na la nguvu linakaribia. Hakujawahi kuwako jeshi kama hilo, na hakutakuwa tena, hata baada ya vizazi vingi.
3 Devant sa face un feu dévorant, et derrière lui une flamme brûlante; la terre est comme un jardin de délices devant lui; et derrière lui, la solitude d’un désert; et il n’y a personne qui lui échappe.
Moto unatumia kila kitu mbele yake, na nyuma yake moto unawaka. Nchi hiyo ni kama bustani ya Edeni mbele yake, lakini nyuma yake kuna jangwa lililoharibika. Hakika hakuna chochote kitakayotoroka.
4 Comme l’aspect des chevaux est leur aspect; et comme des cavaliers, ainsi ils courront.
Muonekano wa jeshi ni kama farasi, na wanakimbia kama wapanda farasi.
5 Sur les sommets des montagnes, ils sauteront en faisant un bruit comme le bruit des quadriges, comme le bruit de la flamme d’un feu qui dévore la paille, comme un peuple fort préparé au combat.
Wanaruka kwa kelele kama ile ya magari juu ya vilele vya milima, kama kelele za muale wa moto ambao huangamiza majani, kama jeshi la nguvu lililo tayari kwa vita.
6 À sa face, les peuples seront tourmentés; tous les visages contracteront la couleur d’une marmite.
Mbele yao watu wako katika maumivu na nyuso zao zote zinakuwa za rangi.
7 Ils courront comme des braves; comme des hommes de guerre ils monteront sur le mur; hommes de cœur, ils marcheront dans leurs voies, et ne se détourneront pas de leurs sentiers.
Wanakimbia kama wapiganaji wenye nguvu; wanapanda kuta kama askari; wanasonga, kila mmoja kwa hatua, na hawavunji safu zao.
8 Aucun d’eux ne pressera son frère, chacun marchera dans sa route; mais même ils se précipiteront par les fenêtres, et ne démoliront pas.
Wala hakuna mmoja anayemsukuma mwingine kando; wanasonga, kila mmoja katika njia yake; wao huvunja kwa njia ya ulinzi na si kuanguka nje ya mstari.
9 Ils entreront dans la ville, ils courront sur le mur; ils monteront au haut des maisons: ils entreront par les fenêtres comme le voleur.
Wanakimbilia jiji, wanakimbia kwenye ukuta, wanapanda ndani ya nyumba, na hupita kupitia madirisha kama wezi.
10 À sa face la terre a tremblé, les cieux se sont ébranlés, le soleil et la lune se sont couverts de ténèbres, et les étoiles ont retiré leur splendeur.
Nchi hutikisika mbele yao, mbingu hutetemeka, jua na mwezi ni giza, na nyota zinaacha kuangaza.
11 Et le Seigneur a fait entendre sa voix à la face de son armée, parce que ses troupes sont extrêmement nombreuses, parce qu’elles sont fortes, et qu’elles exécuteront sa parole; car le jour du Seigneur est grand et bien terrible, et qui le soutiendra?
Bwana huinua sauti yake mbele ya jeshi lake; maana wapiganaji wake ni wengi sana; kwa maana wao ni wenye nguvu, wale wanaofanya amri zake. Kwa maana siku ya Bwana ni kubwa na ya kutisha sana. Nani anayeweza kuishi?
12 Maintenant donc, dit le Seigneur, convertissez-vous à moi de tout votre cœur, dans le jeûne, dans le pleur et dans le gémissement;
“Lakini hata sasa,” asema Bwana, “Nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote. Haraka, lia na omboleza.”
13 Et déchirez vos cœurs, et non vos vêtements; et convertissez-vous au Seigneur votre Dieu, parce qu’il est bon et miséricordieux, patient et d’une grande miséricorde, et pouvant revenir sur le mal dont il vous a menacés.
Rarueni miyoyo yenu, si mavazi yenu tu, na kurudi kwa Bwana Mungu wenu. Kwa maana ni mwenye neema na mwenye huruma, si mwepesi wa hasira na wingi katika uaminifu wa agano, na angependa kugeuka kutokana na adhabu.
14 Qui sait s’il ne reviendra pas, et s’il ne pardonnera pas, et s’il ne laissera pas après lui la bénédiction, le sacrifice, et la libation pour le Seigneur votre Dieu?
Nani anajua? Labda angegeuka na kuwa na huruma, na kuacha baraka nyuma yake, sadaka ya unga na sadaka ya kinywaji kwa Bwana, Mungu wenu?
15 Sonnez de la trompette dans Sion, consacrez un jeûne, convoquez une assemblée.
Piga tarumbeta huko Sayuni, itisha kwa ajili ya funga takatifu, na itisheni kusanyiko takatifu.
16 Assemblez le peuple, sanctifiez l’assemblée; réunissez les vieillards, rassemblez les petits enfants et ceux qui sont à la mamelle; que l’époux sorte de sa couche, et l’épouse de son lit nuptial.
Kusanyeni watu, wito kwa kusanyiko takatifu. Kusanya wazee, kukusanya watoto na watoto wachanga. Bwana arusi waweze kutoka nje ya vyumba vyao, na bibi arusi kutoka kwenye vyumba vyao.
17 Entre le vestibule et l’autel pleureront les prêtres, ministres du Seigneur, et ils diront: Pardonnez, Seigneur, pardonnez à votre peuple, et ne livrez pas votre héritage à l’opprobre, en sorte que les nations les dominent; pourquoi dirait-on parmi les peuples: Où est votre Dieu?
Basi makuhani, watumishi wa Bwana, waliao kati ya patakatifu na madhabahu. Wawaambie, Waitie watu wako, Ee Bwana, wala usitoe urithi wako kwa aibu, ili mataifa watawawale juu yao. Kwa nini wanapaswa kusema kati ya mataifa, “Yuko wapi Mungu wao?”
18 Le Seigneur a montré du zèle pour sa terre, il a pardonné à son peuple.
Ndipo Bwana alikuwa mwenye bidii kwa nchi yake na kuwahurumia watu wake.
19 Et le Seigneur a répondu, et a dit à son peuple: Voici que moi, je vous enverrai le blé, le vin et l’huile, et vous serez rassasiés; et je ne vous livrerai plus en opprobre parmi les nations.
Bwana akawajibu watu wake, Tazama, nitawaletea nafaka, divai mpya, na mafuta. Utaridhishwa nao, wala sitawafanya kuwa aibu kati ya mataifa.
20 Et celui qui vient de l’aquilon, je l’éloignerai de vous; et je le chasserai dans une terre inaccessible et déserte, sa face vers la mer orientale, et son extrémité vers la mer la plus reculée; et sa puanteur montera, et sa putréfaction montera, parce qu’il a agi avec orgueil.
Nitawaondoa washambuliaji wa kaskazini mbali nanyi, na nitawapitisha katika nchi kavu na iliyoachwa. Sehemu ya mbele ya jeshi lao itaingia bahari ya mashariki, na sehemuya nyuma itaingia bahari ya magharibi. Uvundo wake utainuka juu, na harufu yake mbaya itainuka juu. Hakika, amefanya mambo makuu.
21 Ne crains pas, terre, exulte et réjouis-toi, parce que le Seigneur a fait de grandes choses,
Msiogope, nchi, shangilieni na kufurahi, kwa kuwa Bwana atafanya mambo makuu.
22 Ne craignez plus, animaux de la contrée, parce que ce qu’il y a de beau dans le désert a germé, parce que l’arbre a porté son fruit, le figuier et la vigne ont donné leurs richesses.
Usiogope, wanyama wa kondeni, kwa kuwa malisho ya jangwa yatakua, miti itazaa matunda yake, na miti ya mizabibu na mizabibu itazaa mavuno yao yote.
23 Et vous, fils de Sion, exultez, et réjouissez-vous dans le Seigneur votre Dieu, parce qu’il vous a donné un docteur de justice, et il fera descendre sur vous la pluie du matin et la pluie du soir, comme au commencement.
Furahini, enyi watu wa Sayuni, na kufurahi katika Bwana, Mungu wenu. Kwa maana atakupa mvua ya vuli kwa kiasi na kuleta mvua kwa ajili yenu, mvua ya vuli na mvua ya masika kama hapo awali.
24 Vos aires seront pleines de blé, et vos pressoirs regorgeront de vin et d’huile.
Sakafu ya kupepetea zitajaa ngano, na vyombo vitafurika kwa divai mpya na mafuta.
25 Et je vous rendrai les années qu’ont dévorées la sauterelle, ainsi que le bruchus et la nigelle, et la chenille, ma grande force, que j’ai envoyée contre vous.
“Nitawawezesha miaka ya mazao ambayo nzige walikula, Palale, nzige, na nzige wakuteketeza - jeshi langu lenye nguvu ambalo nimelituma kati yenu.
26 Et vous mangerez abondamment, et vous serez rassasiés; et vous louerez le nom du Seigneur votre Dieu, qui a fait des merveilles pour vous; et mon peuple ne sera plus confondu à jamais.
Mutakula chakula tele na kushiba, na kulitukuza jina la Bwana, Mungu wenu, aliyefanya miujiza kati yenu, wala sitawaletea tena watu wangu.
27 Et vous saurez que c’est moi qui suis au milieu d’Israël, moi qui suis le Seigneur votre Dieu, et qu’il n’y en a plus hors moi; et mon peuple ne sera plus confondu à jamais.
Utajua ya kwamba mimi niko kati ya Israeli, na kwamba mimi ni Bwana, Mungu wako, wala hakuna mwingine, wala sitawaletea aibu watu wangu.
28 Et il arrivera après cela que je répandrai mon esprit sur toute chair; vos fils prophétiseront ainsi que vos filles; vos vieillards songeront des songes et vos jeunes hommes verront des visions.
Itakuwa baada ya hayo nitamimina Roho yangu juu ya wenye mwili yote, na wana wenu na binti zenu watatabiri. Wazee wenu wataota ndoto, vijana wenu wataona maono.
29 Mais aussi sur mes serviteurs et servantes en ces jours-là je répandrai mon esprit.
Pia juu ya watumishi na watumishi wa kike, siku hizo nitaimimina Roho wangu.
30 Je ferai paraître des prodiges dans le ciel, et sur la terre, du sang et du feu, et une vapeur de fumée.
Nitaonyesha maajabu mbinguni na duniani, damu, moto na nguzo za moshi.
31 Le soleil sera changé en ténèbres, et la lune en sang, avant que vienne le jour du Seigneur, grand et terrible.
Jua litakuwa giza na mwezi kuwa damu, kabla ya siku kuu na ya kutisha ya Bwana itakapokuja.
32 Et il arrivera que quiconque invoquera le nom du Seigneur sera sauvé: parce que, sur la montagne de Sion et dans Jérusalem sera le salut, comme l’a dit le Seigneur, et dans les restes du peuple que le Seigneur aura appelés.
Itakuwa kwamba kila mtu anayeita jina la Yahweh ataokolewa. Kwa maana juu ya Mlima Sayuni na Yerusalemu watakuwa na wale waliokoka, kama Bwana alivyosema, na kati ya wale walisalia, wale ambao Bwana anawaita.

< Joël 2 >