< Job 33 >

1 Ecoute donc, Job, mes paroles, et sois attentif à tous mes discours.
Kwahiyo sasa, nakuomba wewe, Ayubu, usikilize hotuba yangu; sikiliza maneno yangu yote.
2 Voilà que j’ai ouvert ma bouche, que ma langue parle dans ma gorge.
Tazama sasa, nimeufumbua mdomo wangu; ulimi wangu umesema maneno ndani ya mdomo wangu.
3 C’est d’un cœur simple que sortiront mes discours, et c’est un sentiment pur que mes lèvres exprimeront.
Maneno yangu yatasema uadilifu wa moyo wangu; yatasema kwa unyofu yale ambayo mdomo wangu unayajua.
4 L’Esprit de Dieu m’a fait, le souffle du Tout-Puissant m’a donné la vie.
Roho ya Mungu imeniumba; pumzi ya Mwenye nguvu imenipatia uhai.
5 Si tu peux, réponds-moi, et tiens ferme en ma présence,
Kama unaweza, nijibu; weka maneno yako katika mpangilio mbele yangu na kisha usimame.
6 Vois, Dieu m’a fait comme il t’a fait, et c est de la même boue que j’ai été formé.
Tazama, niko kama wewe ulivyo mbele za Mungu; nimeumbwa pia kutoka katika udongo.
7 Cependant, que ce qu’il y a de merveilleux en moi ne t’épouvante point, et que mon éloquence ne soit pas accablante pour toi.
Ona, tishio langu halitakufanya wewe uogope; wala mzigo wangu hautakuwa mzito kwako.
8 Tu as donc dit à mes oreilles, et j’ai entendu la voix de tes paroles:
Umesema kwa hakika katika masikio yangu; nimeisikia sauti ya maneno yakeo yakisema,
9 Je suis pur et sans péché; sans tache, et il n’y a point d’iniquité en moi.
'Mimi ni safi na bila hila; sina hatia, na hakuna dhambi ndani yangu.
10 C’est parce que Dieu a trouvé des sujets de plaintes contre moi, qu’il a pensé que j’étais son ennemi.
Tazama, Mungu huona nafasi za kunishambulia mimi; huniangalia mimi kama adui yake.
11 Il a mis mes pieds dans les chaînes, et il a gardé toutes mes voies.
Huweka miguu yangu akiba; naye huangalia njia zangu zote.'
12 C’est donc en cela que tu n’as pas été justifié; car je te répondrai que Dieu est plus grand que l’homme.
Tazama, katika hili hauko sawa, nitakujibu, kwa kuwa Mungu ni mkuu kuliko mtu.
13 Disputes-tu contre lui, parce qu’il ne t’a pas répondu sur toutes tes paroles?
Kwanini unashindana naye? Huwa hahesabu matendo yake yoyote.
14 Dieu ne parle qu’une fois, et il ne répète pas ce qu’il a dit.
Kwa kuwa Mungu huzungumza mara moja, naam, mara mbili, ingawa mwanadamu hawezi kutambua.
15 Pendant un songe, dans une vision nocturne, quand un profond sommeil s’empare des hommes et qu’ils dorment dans leur lit:
Katika ndoto, katika maono ya usiku, wakati usingizi mzito unapowapata watu, katika usingizi kitandani -
16 C’est alors qu’il ouvre les oreilles des hommes, et que, les instruisant, il leur enseigne la science,
basi Mungu hufungua masikio ya watu, na kuwatisha kwa vitisho,
17 Pour détourner ainsi un homme des choses qu’il fait, et le délivrer de l’orgueil;
kwa kusudi la kumvuta mtu atoke katika makusudio yake maovu, na kuyaweka majivuno mbali naye.
18 Retirant son âme de la corruption, et empêchant que sa vie ne tombe sous le glaive.
Mungu huyaokoa maisha ya mwanadamu kutoka katika shimo, na uhai wake dhidi ya kifo.
19 Il le châtie encore par la douleur dans son lit, et il fait sécher tous ses os.
Mtu huadhidibiwa pia na maumivu kitandani mwake, na maumivu makali yanayodumu katika mifupa yake,
20 Durant sa vie, le pain lui devient un objet d’aversion, ainsi que le devient pour son âme une nourriture auparavant très recherchée.
ili kwamba maisha yake yachukie chakula, na roho yake ichukie vyakula vizuri.
21 Toute sa chair se consumera, et ses os, qui étaient couverts, seront mis à nu.
Nyama yake imeharibiwa ili kwamba usionekane; mifupa yake, mara moja isionekane, sasa basi ng'ang'ania.
22 Son âme a été proche de la corruption, et sa vie de tout ce qui pouvait lui donner la mort.
Hakika, roho yake inasogea shimoni, na uhai wake unasogea kwa wale wanaotaka kuuharibu.
23 Si un ange, un d’entre mille, parle pour lui, et qu’il annonce l’équité de cet homme,
Lakini kama kuna malaika anayeweza kuwa mpatanishi kwa ajili yake, mpatanishi mmoja miongoni mwa maelfu ya malaika, kumwonesha kile kilicho cha haki ili atende haki,
24 Dieu aura compassion de lui, et il dira: Délivre-le, afin qu’il ne descende pas dans la corruption; j’ai trouvé ce en quoi je peux lui être propice.
na kama malaika ni mpole kwake na kumwambia Mungu, 'Mwokoe mtu huyu ili asishuke chini shimoni; nimepata fidia kwa ajili yake,'
25 Sa chair est consumée par les supplices; qu’il retourne aux jours de sa jeunesse.
kisha mwili wake utakuwa mororo kuliko mwili wa mtoto, atazirudia siku za nguvu za ujana wake.
26 Il priera Dieu, et Dieu se laissera apaiser en sa faveur; il verra sa face avec jubilation, et il rendra à cet homme sa justice.
Atamwomba Mungu, na Mungu atakuwa mwema kwake, ili kwamba auone uso wa Mungu akiwa mwenye furaha. Mungu atampa mtu ushindi wake.
27 Il regardera les hommes et il dira: J’ai péché, je me suis vraiment rendu coupable, et je n’ai pas reçu le châtiment dont j’étais digne.
Ndipo mtu huyo ataimba mbele ya watu wengine na kusema, 'Nilitenda dhambi na kuasi kile kilichokuwa cha haki, lakini dhambi yangu haikuadhibiwa.
28 Il a délivré son âme, afin qu’elle n’allât pas à la mort, mais que, vivant, elle vît la lumière.
Mungu ameiokoa roho yangu isiende chini shimoni; maisha yangu yataendelea kuuona mwanga.'
29 Remarque bien, Dieu fait trois fois ces choses en chaque homme,
Tazama, Mungu hufanya mambo haya yote pamoja na mwanadamu, mara mbili, naam, hata mara tatu,
30 Afin de rappeler leurs âmes de la corruption, et de les illuminer de la lumière des vivants.
kuirudisha roho yake kutoka shimoni, ili kwamba aweze kumlikwa na mwanga wa maisha.
31 Prête attention, Job, écoute-moi; garde le silence, pendant que je parle.
Ayubu, zingatia na unisikilize mimi; nyamaza nami nitasema.
32 Mais si tu as quelque chose à dire, réponds-moi; car je veux que tu paraisses juste.
Ikiwa una kitu cha kusema, na unijibu; sema, maana nataka kuhakikisha kwamba wewe uko katika haki.
33 Que si tu n’as rien, écoute-moi; garde le silence, et je t’enseignerai la sagesse.
Kama sivyo, basi nisikilize, ubaki kimya, nami nitakufundisha wewe hekima.”

< Job 33 >