< Jérémie 45 >

1 Parole que Jérémie, le prophète, dit à Baruch, fils de Nérias, lorsqu’il eut écrit dans un livre ces paroles sorties de la bouche de Jérémie, la quatrième année de Joakim, fils de Josias, roi de Juda, disant:
Hili ndilo nabii Yeremia alilomwambia Baruku mwana wa Neria katika mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, baada ya Baruku kuandika katika kitabu maneno ambayo yalitoka kinywani mwa Yeremia wakati ule:
2 Voici ce que dit le Seigneur, Dieu d’Israël, à toi, Baruch:
“Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, akuambialo wewe Baruku:
3 Tu as dit: Malheur a moi, infortuné! parce que le Seigneur a ajouté une douleur à ma douleur; je me suis fatigué dans mon gémissement; et du repos, je n’en ai pas trouvé.
Ulisema, ‘Ole wangu! Bwana ameongeza huzuni juu ya maumivu yangu, nimechoka kwa kulia kwa uchungu wala sipati pumziko.’”
4 Voici ce que dit le Seigneur: Ainsi tu lui diras: Voilà que ceux que j’ai édifiés, c’est moi qui les détruis, et ceux que j’ai plantés, c’est moi qui les arrache, eux et toute cette terre.
Bwana akasema, “Mwambie hivi: ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Nitakibomoa kile nilichokijenga, na kungʼoa kile nilichokipanda katika nchi yote.
5 Et toi, tu cherches pour toi de grandes choses? Ne les cherche pas; parce que voilà que moi, j’amènerai un fléau sur toute chair, dit le Seigneur; et je te donnerai ton âme sauve dans tous les lieux vers lesquels tu te dirigeras.
Je, utajitafutia mambo makubwa kwa ajili yako mwenyewe? Usiyatafute hayo. Kwa kuwa nitaleta maangamizi juu ya watu wote, asema Bwana, lakini popote utakapokwenda, nitayaokoa maisha yako.’”

< Jérémie 45 >