< Jérémie 25 >

1 Parole qui fut adressée à Jérémie touchant tout le peuple de Juda, en la quatrième année de Joakim, fils de Josias, roi de Juda, qui est la première année de Nabuchodonosor, roi de Babylone;
Hili ndilo neno ambalo lilimjia Yeremia juu ya watu wote wa Yuda. Ikawa mwaka wa nne wa Yehoyakimu, mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda. Huo ndio mwaka wa kwanza wa Nebukadreza, mfalme wa Babeli.
2 Et que Jérémie, le prophète, annonça à tout le peuple de Juda, et à tous les habitants de Jérusalem, disant:
Yeremia nabii aliwahubiria watu wote wa Yuda na wenyeji wote wa Yerusalemu.
3 Depuis la treizième année de Josias, fils d’Ammon, roi de Juda, jusqu’à ce jour, c’est la vingt-troisième année; la parole du Seigneur m’a été adressée, et je vous ai parlé, me levant durant la nuit et parlant, et vous ne m’avez pas écouté.
Akasema, “Kwa miaka ishirini na mitatu, tangu mwaka wa kumi na tatu wa Yosia mwana wa Amoni, mfalme wa Yuda mpaka leo, maneno ya Bwana yamekuja kwangu. Nimewahubiria ninyi. Nilikuwa na nia ya kutangaza, lakini hamkunisikiliza.
4 Et le Seigneur a envoyé vers vous tous ses serviteurs les prophètes, se levant au point du jour, et les envoyant; et vous n’avez pas écouté, et vous n’avez pas incliné vos oreilles afin d’écouter,
Bwana akawapeleka watumishi wake wote manabii kwako. Walikuwa na nia ya kwenda, lakini hukusikiliza wala kutega masikio.
5 Lorsqu’il disait: Revenez chacun de votre voie mauvaise, et de vos très mauvaises pensées; et vous habiterez dans la terre que le Seigneur vous a donnée, à vous et à vos pères, de siècle en siècle.
Manabaii hawa walisema, 'Kila mtu auache uovu wake na udhalimu wa matendo yake na kurudi kwenye nchi ambayo Yahwe aliitoa wakati wa zamanai kwa ajili ya babu zenu na ninyi, kama zawadi ya kudumu.
6 Et n’allez pas à la suite de dieux étrangers, afin de les servir et de les adorer; ne me provoquez pas au courroux par les œuvres de vos mains, et je ne vous affligerai point.
Kwa hiyo msiifuate miungu mingine ili kuiabudu au kuiinamia chini, na msimkasirishe kwa kazi ya mikono yenu ili kwamba awaumize.
7 Et vous ne m’avez pas écouté, dit le Seigneur, en sorte que vous m’avez provoqué au courroux par les œuvres de vos mains, pour votre malheur.
Lakini hamkunisikiliza-hili ndilo tamko la Bwana-kwa hiyo umenikasirisha kwa kazi ya mikono yako ili kujidhuru nafsi zemu.
8 À cause de cela, voici ce que dit le Seigneur des armées: À cause de ce que vous n’avez pas écouté mes paroles,
Basi, Bwana wa majeshi asema hivi, 'Kwa kuwa hukusikiliza maneno yangu,
9 Voilà que moi j’enverrai et que je prendrai toutes les familles de l’aquilon, dit le Seigneur, et Nabuchodonosor, roi de Babylone, mon serviteur; et je les amènerai sur cette terre et sur ses habitants, et sur toutes les nations qui sont autour d’elle; et je les perdrai, et j’en ferai un objet de stupeur et de sifflement, et je les réduirai à des solitudes éternelles.
tazama, nitaagiza amri ya kukusanya watu wote wa kaskazini- asema Bwana- na Nebukadreza, mtumishi wangu, mfalme wa Babeli, na kuwaleta juu ya nchi hii na wenyeji wake, na juu ya mataifa yote yaliyo karibu nawe. Kwa maana nitawaangamiza. Nitawageuza kuwa na hofu, kuwa kitu cha kuzomewa na ukiwa wa daima.
10 Et je ferai cesser parmi eux la voix de la joie et la voix de l’allégresse, la voix de l’époux et la voix de l’épouse, la voix de la meule et la lumière de la lampe.
Sauti ya furaha na sherehe-sauti ya bwana arusi na bibi arusi, sauti ya mawe ya kusagia na mwanga wa taa-nitafanya mambo yote haya kutoweka kutoka kwa mataifa haya.
11 Et toute cette terre sera une solitude et un objet de stupeur; et toutes ces nations serviront le roi de Babylone durant soixante et dix ans.
Ndipo nchi hii yote itakuwa ukiwa na hofu, na mataifa haya watamtumikia mfalme wa Babeli kwa miaka sabini.
12 Et lorsque les soixante et dix années seront accomplies, je visiterai le roi de Babylone, et cette nation, dit le Seigneur, et leur iniquité, et la terre des Chaldéens; et j’en ferai des solitudes éternelles.
Kisha miaka sabini itakapokamilika, nitamuadhibu mfalme wa Babeli na taifa hilo, nchi ya Wakaldayo-hili ndilo tamko la Bwana-kwa uovu wao na kuifanya kuwa ukiwa milele.
13 Et j’amènerai sur cette terre toutes mes paroles que j’ai dites contre elle, tout ce qui a été écrit dans ce livre, toutes les choses qu’a prophétisées Jérémie contre toutes les nations;
Nami nitaleta juu ya nchi hiyo maneno yote niliyosema, na kila kitu kilichoandikwa katika kitabu hiki ambacho Yeremia ametabiri juu ya mataifa yote.
14 Parce qu’elles les ont servis, quoique ce fussent des nations nombreuses et de grands rois; et je leur rendrai selon leurs œuvres, et selon les ouvrages de leurs mains.
Kwa maana pia mataifa mengi na wafalme wakuu watapata watumwa kutoka mataifa haya. Nitawalipa kwa matendo yao na kazi za mikono yao.'”
15 Parce qu’ainsi dit le Seigneur des armées, Dieu d’Israël: Prends ce calice de vin de fureur de ma main, et tu en feras boire à toutes les nations vers lesquelles moi je t’enverrai.
Kwa kuwa Bwana, Mungu wa Israeli, asema hivi, “Chukua kikombe hiki cha divai ya ghadhabu kutoka mkononi mwangu, ukawanyweshe mataifa yote niliyokutuma.
16 Et elles boiront, et elles seront troublées, et elles perdront le sens à la face du glaive que moi j’enverrai parmi elles.
Kwa maana watakunywa na kisha watalewa na kufanya wazimu mbele ya upanga ambao nitaupeleka kati yao.”
17 Et je reçus le calice de la main du Seigneur, et j’en fis boire à toutes les nations vers lesquelles m’a envoyé le Seigneur:
Basi, nikakichukua kikombe mkononi mwa Bwana, nikawanywesha mataifa yote ambayo Bwana alinituma:
18 À Jérusalem et aux cités de Juda, et à ses rois, et à ses princes; afin d’en faire un désert, et un objet de stupeur et de sifflement, et de malédiction, comme c’est en ce jour;
Yerusalemu, miji ya Yuda, na wafalme wake, na wakuu wake, na kuwafanya kuwa ukiwa na kitu cha kutisha, na kuwa kitu cha kuzomewa na laana, kama ilivyo hata leo.
19 À Pharaon, roi d’Egypte, et à ses serviteurs, et à ses princes, et à tout son peuple;
Mataifa mengine pia walipaswa kunywa: Farao mfalme wa Misri na watumishi wake; maafisa wake na watu wake wote;
20 Et à tous généralement: à tous les rois de la terre d’Ausite, et à tous les rois de la terre des Philistins, et à Ascalon, et à Gaza, et à Accaron, et aux restes d’Azot;
watu wote wa urithi wa mchanganyiko na wafalme wote wa nchi ya Uzi; na wafalme wote wa nchi ya Wafilisti, na Ashkeloni, na Gaza, na Ekroni, na mabaki ya Ashdodi;
21 Et à l’Idumée, et à Moab, et aux enfants d’Ammon;
Edomu na Moabu na wana wa Amoni.
22 Et à tous les rois de Tyr, et à tous les rois de Sidon, et aux rois de la terre des îles qui sont au-delà de la mer;
Wafalme wa Tiro na Sidoni, wafalme wa pwani ng'ambo ya pili ya bahari,
23 Et à Dédan, et à Théma, et à Buz, et à tous ceux dont la chevelure est coupée;
Dedani, Tema, na Busi pamoja na wale wanyoao nywele zao upande wa pili wa vichwa vyao, pia walipaswa kukinywa.
24 Et à tous les rois d’Arabie, et à tous les rois d’Occident qui habitent dans le désert;
Watu hawa pia walitakiwa kukinywa; wafalme wote wa Uarabuni na wafalme wote wa watu wa asili mchanganyiko wanaoishi nyikani;
25 Et à tous les rois de Zambri, et à tous les rois d’Elam, et à tous les rois des Mèdes;
wafalme wote wa Zimri, wafalme wote wa Elamu, na wafalme wote wa Wamedi;
26 Et aussi à tous les rois de l’aquilon, proches et éloignés, à chacun contre son frère et à tous les royaumes de la terre, qui sont sur sa face; et le roi de Sésach boira après eux.
wafalme wote wa kaskazini, wale wa karibu na wale wa mbali—kila mmoja na ndugu zake na falme zote za ulimwengu ambazo ziko chini ya uso wa dunia. Hatimaye mfalme wa Babeli atakunywa baada yao wote.
27 Et tu leur diras: Voici ce que dit le Seigneur des armées, Dieu d’Israël: Buvez et enivrez-vous, et vomissez; et tombez et ne vous relevez pas à la face du glaive que moi j’enverrai parmi vous.
Bwana akaniambia, “Basi, uwaambie, 'Bwana wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi kunywa na kulewa, kisha tapika, uanguke, wala usisimame mbele ya upanga nitakaoutuma kati yenu.'
28 Que s’ils ne veulent pas recevoir de ta main le calice pour boire, tu leur diras: Voici ce que dit le Seigneur des armées: Buvant, vous boirez;
Kisha itatokea kwamba ikiwa wanakataa kuchukua kikombe mkononi mwako ili kunywa, utawaambia, 'Bwana wa majeshi asema hii lazima mnywe.
29 Parce que voilà que dans la cité dans laquelle mon nom a été invoqué, moi je commencerai à affliger, et vous, vous serez comme des innocents et exempts de châtiment? Vous n’en serez pas exempts; car moi j’appelle le glaive sur tous les habitants de la terre, dit le Seigneur des armées.
Kwa maana, tazama, nitaleta janga juu ya mji ulioitwa kwa jina langu, je ninyi mtaachiliwa msiadhibiwe? Hutakuwa huru, kwa maana nitaita upanga juu ya wenyeji wote wa nchi! - ndilo tamko la Bwana wa majeshi.'
30 Et toi, tu leur prophétiseras toutes ces choses et tu leur diras: Le Seigneur d’en haut rugira, et de son habitacle saint il fera entendre sa voix; rugissant il rugira contre le lieu même de sa gloire, et un cri, comme les cris de ceux qui foulent le pressoir, retentira contre tous les habitants de la terre.
Basi wewe mwenyewe, Yeremia, tabiri kwao maneno haya yote. Uwaambie, 'Bwana atanguruma kutoka juu, naye atapaza sauti yake toka makao yake matakatifu, na radi kutoka mahali pake patakatifu; naye atapiga kelele kama wale wakanyagao zabibu dhidi ya wote wanaoishi duniani.
31 Le bruit en est parvenu jusqu’aux extrémités de la terre, parce que le Seigneur entre en jugement avec toutes les nations; il est lui-même en contestation avec toute chair: j’ai livré les impies au glaive, dit le Seigneur.
Kelele huja mpaka mwisho wa nchi, kwa sababu mgogoro kutoka kwa Bwana utaleta mashtaka dhidi ya mataifa. Ataleta haki kwa wote wenye mwili. Yeye atawatia waovu katika upanga-hili ndi'o tamko la Bwana.'
32 Voici ce que dit le Seigneur des armées: Voilà que l’affliction passera d’une nation sur une nation, et une grande tempête sortira des extrémités de la terre.
Bwana wa majeshi asema hivi, 'Tazameni, taabu itatokea toka kwa taifa hadi taifa, na dhoruba kubwa itatokea toka pande za mwisho za dunia.
33 Et les tués par le Seigneur seront en ce jour-là d’un bout de la terre à son autre bout; ils ne seront pas pleures, et ils ne seront pas recueillis, ni ensevelis, mais comme un fumier sur la face de la terre, ils seront étendus.
Kisha wale waliouawa na Bwana watakuja kutoka upande mmoja wa dunia hadi mwingine; hawataomboleza, kukusanyika, au kuzikwa. Watakuwa kama samadi chini.
34 Hurlez, pasteurs, et criez; couvrez-vous de cendres, vous les chefs du troupeau, parce que sont remplis les jours après lesquels vous devez être tués; vous serez dispersés, et vous tomberez comme des vases précieux.
Pigeni Yowe, wachungaji, na pigeni kelele ya kuomba msaada! Gaagaa katika ardhi, enyi mlio hodari katika kundi. Kwa kuwa siku yako ya kuuawa na kutawanywa imekuja. Utaanguka kama kondoo waliochaguliwa.
35 Et la fuite sera enlevée aux pasteurs, et le salut aux chefs du troupeau.
Wachungaji hawatakuwa na pa kukimbilia. Hakuna kutoroka kwa watu walio hodari katika kundi.
36 La voix de la clameur des pasteurs, et les hurlements des chefs du troupeau se feront entendre, parce que le Seigneur a dévasté leurs pâturages.
Kuna mlio wa wasiwasi wa wachungaji na milio ya kulalama kwa watu walio hodari katika kundi, kwa kuwa Yahweh anayaharibu malisho yao.
37 Et les champs de la paix sont dans le silence, à la face de la colère de la fureur du Seigneur.
Kwa hiyo, malisho ya amani yataharibiwa kwa sababu ya hasira ya Bwana.
38 Il a abandonné, comme le lion, sa retraite, et leur terre a été désolée à la face de la colère de la colombe, et à la face de la colère de la fureur du Seigneur.
Kama simba, ameacha shimo lake, kwa kuwa ardhi yao itakuwa kitu cha kushangaza kwa sababu ya hasira ya muonevu, kwa sababu ya ghadhabu yake kali'”

< Jérémie 25 >