< Jérémie 19 >

1 Voici ce que dit le Seigneur: Va, et reçois des anciens du peuple et des anciens des prêtres une petite bouteille de terre de potier;
Bwana akasema hivi, “Nenda ukanunue chupa ya udongo wakati ukiwa na wazee wa watu na makuhani.
2 Et sors vers la vallée du fils d’Ennom, qui est près de l’entrée de la porte d’argile, et tu publieras là les paroles que moi je te dirai.
Kisha uende mpaka bonde la Ben Hinomu wakati wa kuingia kwenye mlango uliovunjika wa mfinyanzi, na huko utangaza maneno nitakayokuambia.
3 Et tu diras: Ecoutez la parole du Seigneur, rois de Juda et habitants de Jérusalem: voici ce que dit le Seigneur des armées, Dieu d’Israël: Voilà que moi j’amènerai l’affliction sur ce lieu, en sorte que quiconque en entendra parler aura des tintements d’oreille;
Ukisema, 'Sikilizeni neno la Bwana, wafalme wa Yuda na wenyeji wa Yerusalemu! Bwana wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, “Tazameni, na nitaletea msiba juu ya mahali hapa, na masikio ya kila mtu anayesikia yatawaka.
4 Parce qu’ils m’ont abandonné, qu’ils ont rendu ce lieu étranger, qu’ils y ont fait des libations à des dieux étrangers, que n’ont connus, ni eux, ni leurs pères, ni les rois de Juda, et parce qu’ils ont rempli ce lieu du sang des innocents.
Nitafanya hivyo kwa sababu wameniacha na kudharau mahali hapa. Katika mahali hapa wanatoa sadaka kwa miungu mingine ambayo hawakuijua. Wao, baba zao, na wafalme wa Yuda pia wamejaza mahali damu isiyo na hatia.
5 Et ils ont bâti des hauts lieux de Baalim pour brûler leurs enfants au feu en holocaustes aux Baalim; choses que je ne leur avais pas ordonnées, ni dites, et qui ne sont pas montées dans mon cœur.
Walimjengea Baali mahali pa juu na kuwachoma watoto wao kwa moto kama sadaka za kuteketezwa kwake-kitu ambacho sijawaamuru au kutaja, wala hakuingia ndani ya akili yangu.
6 À cause de cela, voilà que des jours viennent, dit le Seigneur; et ce lieu ne sera plus appelé Topheth, ni la vallée du fils d’Ennom, mais la Vallée du carnage.
Kwa hiyo, tazama, siku zinakuja-hili ndilo tamko la Bwana-ambapo mahali hapa hapataitwa tena Tofethi, bonde la Ben Hinomu, kwa kuwa litakuwa bonde la machinjo.
7 Et je dissiperai les desseins de Juda et de Jérusalem dans ce lieu; et je les détruirai par le glaive en présence de leurs ennemis, et par la main de ceux qui cherchent leurs âmes; et je donnerai leurs cadavres en pâture aux volatiles du ciel et aux bêtes de la terre.
Katika mahali hapa nitatamgua mipango ya Yuda na Yerusalemu. Nitawafanya wapate kuuawa kwa upanga mbele ya adui zao na kwa mkono wa wale wanaotafuta maisha yao. Ndipo nitawapa miili yao kuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa dunia.
8 Et je ferai de cette cité un objet de stupeur et de sifflement; quiconque passera par elle sera stupéfié, et il sifflera sur toutes ses plaies.
Ndipo nitaifanya mji huu kuwa uharibifu na kitu cha kuzomewa, kila mtu anayepita atashangaa na kuzomea kwa sababu mateso yake yote.
9 Et je les nourrirai des chairs de leurs fils, et des chairs de leurs filles; et chacun mangera la chair de son ami durant le siège, et dans la détresse où les réduiront leurs ennemis et ceux qui cherchent leurs âmes.
Nitawafanya wale nyama ya wana wao na binti zao; kila mtu atakula mwili wa jirani yake katika dhiki na katika uchungu ambao umeletwa kwao na maadui zao na wale wanaotaka maisha yao.'”
10 Et tu briseras la petite bouteille sous les yeux des hommes qui iront avec toi.
Kisha utavunja chupa ya udongo mbele ya watu ambao walikwenda pamoja nawe.
11 Et tu leur diras: Voici ce que dit le Seigneur des armées: Je briserai ce peuple et cette cité, comme est brisé ce vase du potier qui ne peut plus être réparé; et c’est à Topheth qu’ils seront ensevelis, parce qu’il n’y aura pas d’autre lieu pour ensevelir.
Uwaambie,'Bwana wa majeshi asema hivi: nitafanya jambo hili kwa watu hawa na mji huu- hii ndiyo ahadi ya Bwana, kama vile Yeremia alivyovunja chupa ya udongo ili isiweze kutengenezwa tena. Watu watazika wafu huko Tofethi hata hapatabaki mahali pa kuzika.
12 Ainsi je ferai à ce lieu et à ses habitants, dit le Seigneur; et je rendrai cette cité semblable à Topheth.
Hivyo ndivyo nitakavyopafanya mahali hapa na wenyeji wake nitakapofanya jiji hili kama Tofethi, hili ndio tamko la Bwana;
13 Et les maisons de Jérusalem et les maisons des rois de Juda seront comme le lieu de Topheth, impures: toutes maisons sur les toits desquelles ils ont sacrifié à toute la milice du ciel, et ils ont fait de nombreuses libations à des dieux étrangers.
kwa hiyo nyumba za Yerusalemu na wafalme wa Yuda watakuwa kama Tofethi, nyumba zote zilizo juu ya watu waovu wanaoabudu nyota zote za mbinguni na kumwaga sadaka za kinywaji kwa miungu mingine.'”
14 Or Jérémie vint de Topheth où l’avait envoyé le Seigneur, pour prophétiser; et il se tint dans le parvis de la maison du Seigneur, et il dit à tout le peuple:
Ndipo Yeremia akatoka Tofethi, ambako Bwana amemtuma ahubiri. Akasimama katika ua wa nyumba ya Bwana, akawaambia watu wote,
15 Voici ce que dit le Seigneur des armées. Dieu d’Israël: Voilà que moi j’amènerai sur cette cité et sur toutes ses villes, tous les maux que j’ai annoncés contre elle, parce qu’ils ont rendu leur cou inflexible, afin de ne pas écouter mes paroles.
“Bwana wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Tazameni, nitawaletea mji huu na miji yake yote maafa yote niliyonena dhidi yake, kwa kuwa walifanya shingo zao kuwa ngumu na kukataa kusikiliza maneno yangu.'”

< Jérémie 19 >