< Jérémie 12 >
1 Vous êtes certainement juste, vous, Seigneur, si je dispute avec vous; cependant je vous dirai des choses justes: Pourquoi la voie des impies est-elle prospère, et le bonheur est-il pour tous ceux qui prévariquent, et qui agissent iniquement?
Wewe ni mwenye haki, Bwana, wakati wowote ninapoleta mashitaka kwako. Lazima nikuambie sababu yangu ya kulalamika: Kwa nini njia za waovu hufanikiwa? Watu wote wasiokuwa na imani wanafanikiwa.
2 Vous les avez plantés, et ils ont poussé des racines; ils croissent, et font du fruit; vous êtes près de leur bouche, et loin de leurs reins.
Wewe uliwapanda nao wakawa na mizizi. Wanaendelea kuzaa matunda. Wewe upo karibu nao katika vinywa vyao, lakini mbali na mioyo yao.
3 Et vous, Seigneur, vous m’avez connu, vous m’avez vu et vous avez éprouvé que mon cœur est avec vous; assemblez-les comme un troupeau destiné au sacrifice, et consacrez-les pour le jour de la tuerie.
Lakini wewe mwenyewe unanijua, Bwana. Umeona mimi na kuchunguza moyo wangu. Waondoe kama kondoo wa kuchinjwa. Ukakaweke tayari kwa siku ya kuchinjwa.
4 Jusques à quand la terre pleurera-t-elle, et l’herbe de toute la contrée sera-t-elle desséchée, à cause de la méchanceté de ceux qui l’habitent? le quadrupède et le volatile ont été consumés, parce que ces hommes ont dit: Dieu ne verra pas nos derniers moments.
Je! Nchi itakauka kwa muda gani, na mimea katika kila shamba itaota kwa sababu ya uovu wa wenyeji wake? Wanyama na ndege wameondolewa. Hakika, watu wanasema, “Mungu hajui nini kitatokea kwetu.”
5 Si en courant avec les piétons, tu t’es fatigué, comment pourras-tu le disputer de vitesse aux chevaux? mais si dans une terre de paix tu étais en sûreté, que feras-tu au milieu de l’orgueil du Jourdain?
Bwana akasema, “Kweli, wewe, Yeremia, umetembea na askari wa miguu na wamechoka, unawezaje kushindana dhidi ya farasi? Ikiwa unashuka chini ya nchi iliyo salama, utafanyaje katika misitu karibu na Yordani?
6 Car tes frères et la maison de ton père, eux aussi ont combattu contre toi, et ont crié derrière toi à pleine voix; ne les crois pas, lorsqu’ils te donneront de bonnes paroles.
Kwa maana hata ndugu zako na familia ya baba yako wamekudharau na kukukemea kwa sauti kubwa. Usiwaamini, hata kama wanasema mambo mazuri kwako.
7 J’ai laissé ma maison; j’ai abandonné mon héritage; j’ai livré mon âme chérie aux mains de ses ennemis.
Nimeiacha nyumba yangu; Nimeacha urithi wangu. Nimewatia watu wangu wapendwa mikononi mwa adui zake.
8 Mon héritage est devenu pour moi comme un lion dans la forêt; il a élevé sa voix contre moi; c’est pour cela que je l’ai haï.
Urithi wangu umekuwa kwangu kama simba katika tundu; yeye hujiweka juu yangu kwa sauti yake mwenyewe, hivyo nimemchukia.
9 Est-ce que mon héritage n’est pas pour moi un oiseau de diverses couleurs? n’est-ce pas un oiseau entièrement coloré? venez, assemblez-vous, vous toutes, bêtes de la terre; hâtez-vous pour dévorer.
Malipo yangu ya thamani ni fisi, na ndege wenye madoadoa karibu na kichwa chake. Nenda, ukakusanye viumbe vyote vilivyomo katika mashamba, na uwalete ili wale.
10 Des pasteurs nombreux ont ravagé ma vigne, ils ont foulé aux pieds mon partage; ils ont fait de mon partage précieux un désert solitaire.
Wachungaji wengi wameharibu shamba langu la mizabibu. Wameipoteza sehemu yangu yote ya ardhi; Waligeuza sehemu yangu nzuri kuwa jangwa, ukiwa.
11 Ils l’ont livré à la dévastation, et il a pleuré sur moi; par la désolation a été désolée toute la terre, parce qu’il n’est personne qui réfléchisse en son cœur.
Wamemfanya kuwa ukiwa. Ninaomboleza kwa ajili yake; yeye ni ukiwa. Nchi yote imefanywa kuwa ukiwa, kwa maana hakuna mtu aliyeweka haya moyoni mwake.
12 Sur toutes les voies du désert sont venus des dévastateurs; parce que le glaive du Seigneur dévorera d’une extrémité de la terre à son autre extrémité; il n’y a de paix pour aucune chair.
Waangamizi wamekuja juu ya maeneo yote yaliyo wazi jangwani, kwa maana upanga wa Bwana unakula kutoka upande mmoja wa nchi hadi mwingine. Hakuna usalama katika nchi kwa kiumbe chochote kilicho hai.
13 Ils ont semé du froment, et ils ont moissonné des épines; ils ont reçu un héritage, et il ne leur servira pas; vous serez confondus par la perte de vos fruits, à cause de la colère de la fureur du Seigneur.
Walipanda ngano lakini mavuno ya miiba. Wao wamechoka kutokana na kazi lakini hawajapata chochote. Basi muaibike kwa faida yenu kwa sababu ya ghadhabu ya Bwana.”
14 Voici ce que dit le Seigneur contre tous ces voisins très méchants, qui touchent à l’héritage que j’ai distribué à mon peuple d’Israël: Voilà que moi je les arracherai de leur terre, et que j’arracherai la maison de Juda du milieu d’eux.
Bwana asema hivi dhidi ya majirani zangu wote, waovu wanaopiga milki niliyowarithisha watu wangu Israeli, “Tazama, mimi ndimi ambaye nitawafukuza kutoka nchi yao wenyewe, nami nitaifuta nyumba ya Yuda kutoka kati yao.
15 Et lorsque je les aurai ainsi déracinés, je me tournerai et j’aurai pitié d’eux, et je les ramènerai l’un dans son héritage, et l’autre dans sa terre.
Ndipo baada ya kuangamiza mataifa hayo, itatokea kwamba nitakuwa na huruma juu yao na kuwaleta tena; Nitawarudi-kila mtu kwa urithi wake na nchi yake.
16 Et il arrivera que si, instruits, ils apprennent les voies de mon peuple et jurent par mon nom: Le Seigneur vit! comme ils ont appris à mon peuple à jurer par Baal, ils seront établis au milieu de mon peuple.
Kisha itakuwa ikiwa mataifa hayo yatajifunza kwa makini njia za watu wangu, kuapa kwa jina langu 'Kama Bwana anaishivyo!' vile vile kama walivyowafundishwa watu wangu kuapa kwa Baali, basi watajengwa katikati ya watu wangu.
17 Que s’ils n’écoutent point ma voix, je les extirperai par l’extirpation et par la ruine, dit le Seigneur.
Lakini kama hakuna yeyote anayesikiliza, basi nitaling'oa taifa hilo. Kwa hakika litang'olewa na kuharibiwa-hili ndilo tamko la Bwana.”