< Isaïe 46 >

1 Bel a été rompu; Nabo a été brisé; leurs simulacres ont été mis sur des bêtes et sur des animaux de service; ces fardeaux que vous portiez allaient par leur grand poids jusqu’à vous lasser.
Beli huaguka chini, Nebo husujudu; miungu yao imebebwa na wanyama na mzigo wa mnyama. Sanamu hizi mlizobeba ni mzigo mzito kwa wanyama kuchoka.
2 Ils ont péri et ont été brisés tous ensemble; ils n’ont pu sauver celui qui les portait, et ils iront eux-mêmes en captivité.
Kwa pamoja wanashuka chini; hawawezi kuziokoa sanamu zao, na wao wenyewe wameenda uhamishoni.
3 Ecoutez-moi, maison de Jacob, et vous tous, restes de la maison d’Israël, qui êtes portés dans mon sein, qui êtes renfermés dans mes entrailles.
Nisikilizeni mimi, nyumba ya Yakobo, wote mliobaki kwenye nyumba ya Israeli mliochukuliwa na mimi kutoka kabla amjazaliwa, mlichukuliwa mkiwa tumboni.
4 Moi-même je vous porterai jusqu’à la vieillesse, jusqu’aux cheveux blancs; c’est moi qui vous ai faits, et c’est moi qui vous soutiendrai; c’est moi qui vous porterai, et vous sauverai.
Hata kwa njie wazee Mimi ndiye, mpaka mmeshapata mvi nitawachukua. Nimewaumba ninyi na nitawabeba ninyi; Nitwachukua nyie na nitawakomboa nyie.
5 À qui m’avez-vous assimilé, égalé, comparé et rendu semblable?
Je utanifananisha mimi na nani? na mimi nimefanana na nani, ili utulinganishe?
6 Vous qui tirez de l’or de la bourse, et pesez de l’argent dans la balance; louant un orfèvre afin qu’il fasse un Dieu; et on se prosterne et on adore.
Watu humwaga dhahabu kutoka kwenye mabegi yao na uzito wa fedha kwenye uzani. Humuajiri mfua dhahabu, na hutengeneza kuwa dhahabu; na huinama chini na kuzisuju.
7 Ils le chargent sur les épaules pour le porter, et pour le placer en son lieu; il y demeurera et ne sera pas ôté de son lieu; mais lorsqu’on criera vers lui, il n’entendra pas; de la tribulation il ne les sauvera pas.
Wanazinyanyua juu ya mabega yao na kuzibeba; wanaziweka katika sehemu yake, na itasimama katika eneo lake na alitasogea kutoka pale, hulilia, lakini haiwezi kujibu wala kumuokoa yeyote kwenye matatizo.
8 Souvenez-vous de cela et soyez confondus; rentrez dans votre cœur, prévaricateurs.
Tafakari kuhusu hivi vitu; katu usivipuuzie, enyi waasi!
9 Rappelez-vous le siècle passé; parce que moi je suis Dieu, et qu’il n’y a plus d’autre Dieu, et qu’il n’y a pas semblable à moi;
Tafakari kuhusu vitu vya awali, nyakati zile zilizopita, Maana mimi ni Mungu, na hakuna mwingine, Mimi ni Mungu na hakuna kama mimi.
10 Annonçant dès l’origine la fin des temps, et dès le commencement les choses qui ne sont pas encore faites, disant: Ma résolution sera inébranlable, et toute ma volonté s’exécutera;
Mimi ninatangaza mwisho kutoka mwanzo, na kabla ya kitu ambacho hakijatokea; Ninasema, ''Mpango wangu utatokea na nitafanya kama ninavyotamani.''
11 J’appelle de l’orient un oiseau, et d’une terre lointaine l’homme de ma volonté; et je l’ai dit, et je l’accomplirai; j’ai formé ce dessein et je l’exécuterai.
Nitamuita ndege wa mawindo kutoka mashariki, Mtu ambaye ni chaguo langu kutoka nchi ya mbali; Ndio nimesema; na pia nitayatimiza haya, nimekusudia, na pia nitafanya hivyo.
12 Ecoutez-moi, vous au cœur dur, qui êtes éloignés de la justice.
Nisikilize mimi, enyi watu makaidi, ambao mko mbali na kutenda mema.
13 J’ai rapproché le temps de ma justice, il ne sera pas différé, et mon salut ne tardera pas. J’établirai dans Sion le salut, et dans Israël ma gloire.
Ninaileta haki yangu karibu; na wala sio mbali, na wokovu wangu hausubiri; na nitatoa wokovu wangu kwa Sayuni na uzuri wangu kwa Israeli.

< Isaïe 46 >