< Isaïe 31 >
1 Malheur à ceux qui descendront en Egypte pour y chercher du secours, qui espèrent dans des chevaux, et qui ont confiance dans des quadriges, parce qu’ils sont nombreux, et dans des cavaliers, parce qu’ils sont très forts, et qui ne se sont pas confiés au saint d’Israël, et n’ont pas recherché le Seigneur.
Ole wao washukao Misri kuomba msaada na kutegemea farasi, kuweka imani katika magari (maana wako wengi) na ( maana faras haziesabiki). Lakini hawausiani na Mtakatifu wa Israeli, wala hawamtafuti Yahwe!
2 Mais lui-même sage a amené le malheur, et n’a pas retiré ses paroles; et il s’élèvera contre la maison des méchants, et contre le secours de ceux qui opèrent l’iniquité.
Lakini ni mwenye busara, na ataleta maafa na atakanusha maneno yake. Na atakuja juu ya nyumba zitendazo maovu, na dhidi ya wale wanaowasaidia kuteda dhambi.
3 L’Egypte est un homme et non un Dieu; et leurs chevaux sont chair, et non esprit; et le Seigneur inclinera sa main, et l’auxiliaire sera renversé à terre, et il tombera, celui à qui est donné secours, et tous ensemble seront détruits.
Misri ni mtu na sio Mungu, ni farasi wa mwili na sio wa roho. Yahwe atakapota nje kwa mkono wake, wote waliowasaidia watakuwa na mashaka, na yeyote atakayesidia atanguka; wote kwa pamoja watatoweka.
4 Parce que voici ce que dit le Seigneur: Comme si un lion et le petit d’un lion rugissent en se jetant sur leur proie, et que coure contre eux une multitude de pasteurs, ils ne s’effrayeront pas de leur voix, et ne s’épouvanteront pas de leur multitude; ainsi descendra le Seigneur des armées, afin de combattre sur la montagne de Sion et sur sa colline.
Hivi ndivyo Yahwe alivyosema na mimi, '' kama simba, na hata mtoto wa simba, hunguruma juu ya mawindo yake, pale makundi ya wachungaji yanapoita dhidi yake, lakini hatatemeka kwa sauti zao, wala hatakwenda kwa sababu ya kelele zao, hivyo Yahwe wa majeshi atashuka kupigana kwenye mlima Sayuni, katika kilima hicho.
5 Comme des oiseaux qui volent au secours de leurs petits, ainsi le Seigneur des armées protégera Jérusalem; la protégeant et la délivrant, passant et la sauvant.
Kama ndege apaavyo, hivyo Yahwe wa majeshi atailinda Yerusalemu; atailinda na kuiokoa kama apitavyo juu na kuilinda.
6 Revenez, selon que vous vous étiez profondément éloignés, fils d’Israël.
Mrudieni yeye kutoka huyo mliyemgeukia, watu wa Israeli.
7 Car en ce jour-là, chacun rejettera ses idoles d’argent et ses idoles d’or, que vos mains vous ont faites pour le péché.
Maana katika siku hiyo kila mmoja ataondoa miungu ya fedha na miungu ya dhahabu iliyotegenezwa kwa mikono yenu yenye dhambi.
8 Et Assur tombera, par le glaive non d’un homme, et le glaive non d’un homme le dévorera, et il fuira, non à la face du glaive, et ses jeunes hommes seront tributaires;
Asiria atangamizwa kwa upanga; na upanga usioshikiwa na mtu utumaliza yeye. Ataukimbia upanga, na vijana wake wadogo watafanyishwa kazi ngumu.
9 Et sa force disparaîtra par la terreur, et ses princes fuyant seront épouvantés, a dit le Seigneur, dont le feu est dans Sion, et le foyer dans Jérusalem.
Na watashindwa kujiani kwa sababu ya hofu, na mkuu wao ataogopa mbele ya bendera ya jeshi la Yahwe.''- Hili ni tamko la Yahwe, ambao moto uko Sayuni na ambayo sufuria ya moto iko Yerusalemu.