< Osée 9 >
1 Ne te réjouis pas, Israël; n’exulte pas comme les peuples: parce que tu as forniqué en te séparant de ton Dieu, tu as aimé la récompense plus que toutes les aires de blé.
Usifurahi, Israeli, kwa furaha kama watu wengine. Kwa maana haukuwa mwaminifu, umemuacha Mungu wako. Unapenda kulipa mshahara kwa kahaba kwenye sakafu zote za nafaka.
2 L’aire et le pressoir ne les nourriront pas, et le vin trompera leur attente.
Lakini sakafu na divai hazitawalisha; divai mpya itampungukia.
3 Ils n’habiteront pas dans la terre du Seigneur; Ephraïm est retourné en Egypte, il mange parmi les Assyriens ce qui est impur.
Hawawezi kuendelea kuishi katika nchi ya Bwana; badala yake, Efraimu atarudi Misri, na siku moja watakula chakula kichafu katika Ashuru.
4 Ils ne feront pas au Seigneur de libations de vin, et ils ne lui plairont pas; leurs sacrifices seront comme le pain de ceux qui sont en deuil; tous ceux qui en mangeront seront souillés; parce que leur pain sera pour leur âme, il n’entrera pas dans la maison du Seigneur.
Hawatamtolea Bwana sadaka za divai, wala hawatamfurahisha. Dhabihu zao zitakuwa kwao kama chakula cha matanga wote wanaolila watakuwa wamejisikia. Maana chakula chao kitakuwa chao pekee; hautakuingia nyumbani mwa Bwana.
5 Que ferez-vous au jour solennel, au jour de la fête du Seigneur?
Utafanya nini siku ya sikukuu iliyowekwa rasmi, siku ya sikukuu ya Yahweh?
6 Car voilà qu’ils sont partis à cause de la dévastation; l’Egypte les ramassera, Memphis les ensevelira; l’argent, objet de leurs désirs, l’ortie en héritera, la bardane croîtra dans leurs tabernacles.
Kwa maana, angalia, wamekimbia uharibifu, Misri itawakusanya, na Nofu itawazika. Maana hazina zao za pesa za fedha zitakuwa nao, na miiba itajaza hema zao.
7 Ils sont venus, les jours de la visite; ils sont venus, les jours de la rétribution; sachez, Israël, que le prophète est un fou, et l’homme inspiré, un insensé, à cause de la grandeur de ta démence.
Siku za adhabu zinakuja; siku za kulipiza kisasi zinakuja. Waisraeli wote wajue mambo haya. Nabii ni mpumbavu, na mtu aliyevuviwa ni mwendawazimu, kwa sababu ya uovu wako mkubwa na uadui mkubwa.
8 Ephraïm est une sentinelle avec mon Dieu; le prophète est devenu un lacs de ruine sur toutes ses voies, une démence dans la maison de son Dieu.
Nabii ndiye mlinzi wa Mungu wangu juu ya Efraimu. Lakini mtego wa ndege ni juu ya njia zake zote, na uadui umo katika nyumba ya Mungu wake.
9 Ils ont péché profondément, comme aux jours de Gabaa; le Seigneur se souviendra de leur iniquité, et il visitera leurs péchés.
Wamejiharibu wenyewe kama siku za Gibea. Mungu atawakumbusha uovu wao, naye atawaadhibu dhambi zao.
10 J’ai trouvé Israël comme on rencontre des grappes de raisin dans le désert; j’ai vu leurs pères comme les premiers fruits qui paraissent au sommet d’un figuier; pour eux, ils sont entrés à Béelphégor, et ils se sont éloignés de moi pour leur confusion, et ils sont devenus abominables comme les choses qu’ils ont aimées.
Bwana asema, “Nilipoikuta Israeli, ilikuwa kama kutafuta zabibu jangwani. Kama matunda ya kwanza ya msimu kwenye mtini, nimewaona baba zenu. Lakini wakaenda Baal Peori, nao wakajitoa kwenye sanamu ya aibu. Walikuwa chukizo kama sanamu waliyoipenda.
11 Ephraïm, sa gloire a disparu comme l’oiseau, dès son enfantement et dès le sein de sa mère, et dès sa conception.
Na kwa ajili ya Efraimu, utukufu wao utatoka kama ndege. Hakutakuwa na kuzaa, hakuna mimba, wala achukuaye mimba.
12 Et que s’ils ont élevé des fils, je ferai qu’ils seront sans enfants parmi les hommes; mais aussi malheur à eux. quand je me serai retiré d’eux.
Ingawa wameleta watoto, nitawachukua ili asibaki hata mmoja. Ole wao nikiwaacha!
13 Ephraïm, comme je l’ai vu, était une autre Tyr, fondée sur la beauté; et Ephraïm conduira ses fils au meurtrier.
Nimeiona Efraimu, kama vile Tiro, alipandwa katika mlima, lakini Efraimu atatoa watoto wake kwa mtu atakayewaua.
14 Donnez-leur, Seigneur, Que leur donnerez-vous? Donnez-leur un sein sans enfants, et des mamelles arides.
Wape, Bwana-utawapa nini? Wape tumbo lenye kuharibu mimba na matiti ambayo haitoi maziwa.
15 Toutes leurs méchancetés se sont montrées à Galgal; parce que c’est là que je les ai eus en horreur; à cause de la malice de leurs inventions, je les chasserai de ma maison, je ne les aimerai plus; tous leurs princes se retirent de moi.
'Kwa sababu ya uovu wao wote huko Gilgali, ndivyo nilipowachukia. Kwa sababu ya matendo yao ya dhambi, nitawafukuza nje ya nyumba yangu. Sitawapenda tena; maofisa wao wote ni waasi.
16 Ephraïm a été frappé, leur racine a été desséchée; ils ne porteront pas du tout de fruit. Et que s’ils ont engendré, je ferai périr les fruits de leur sein qui leur sont les plus chers.
Efraimu ni mgonjwa, na mizizi yao imekauka; hawazai matunda. Hata ikiwa wana watoto, nitawaua watoto wao wapendwa.
17 Mon Dieu les rejettera, parce qu’ils ne l’ont pas écouté; et ils seront errants parmi les nations.
Mungu wangu atawakataa kwa sababu hawakumtii. Watakuwa watu wa kutangatanga kati ya mataifa.