< Osée 6 >

1 Dans leur tribulation, ils se lèveront dès le matin pour venir vers moi: Venez, et retournons au Seigneur.
“Njooni, tumrudie Bwana. Ameturarua vipande vipande lakini atatuponya; ametujeruhi lakini atatufunga majeraha yetu.
2 Parce que c’est lui qui nous a pris et qui nous sauvera; il nous frappera et il nous guérira;
Baada ya siku mbili atatufufua; katika siku ya tatu atatuinua, ili tuweze kuishi mbele zake.
3 Il nous rendra la vie après deux jours; au troisième jour, il nous ressuscitera, et nous vivrons en sa présence. Nous connaîtrons, et nous chercherons à connaître, le Seigneur; comme le point du jour a été préparée sa sortie, et il viendra pour nous comme la pluie de la première et de l’arrière-saison.
Tumkubali Bwana, tukaze kumkubali yeye. Kutokea kwake ni hakika kama vile kuchomoza kwa jua; atatujia kama mvua za masika, kama vile mvua za vuli ziinyweshavyo nchi.”
4 Que ferai-je pour toi, Ephraïm? Que ferai-je pour toi, Juda? Votre miséricorde est comme la nuée du matin et comme la rosée qui se dissipe.
“Nifanye nini nawe, Efraimu? Nifanye nini nawe, Yuda? Upendo wako ni kama ukungu wa asubuhi, kama umande wa alfajiri utowekao.
5 À cause de cela, je les ai traités durement par les prophètes, je les ai tués par les paroles de ma bouche; et tes jugements éclateront comme la lumière.
Kwa hiyo ninawakata ninyi vipande vipande kwa kutumia manabii wangu; nimewaua ninyi kwa maneno ya kinywa changu, hukumu zangu zinawaka kama umeme juu yenu.
6 Parce que c’est la miséricorde que je veux et non le sacrifice, et la science de Dieu plus que les holocaustes.
Kwa maana nataka rehema, wala si dhabihu, kumkubali Mungu zaidi kuliko sadaka za kuteketezwa.
7 Mais eux comme Adam, ils ont prévariqué contre moi.
Wamevunja Agano kama Adamu: huko hawakuwa waaminifu kwangu.
8 Galaad est une cité de fabricateurs d’idoles, renversée par le sang.
Gileadi ni mji wenye watu waovu, umetiwa madoa kwa nyayo za damu.
9 Et elle est comme le gosier des voleurs altéré de carnage, alliée aux prêtres qui sur la voie tuent ceux qui viennent de Sichem; parce qu’ils sont livrés au crime.
Kama wanyangʼanyi wamviziavyo mtu, ndivyo magenge ya makuhani wafanyavyo; wanaulia watu kwenye njia iendayo Shekemu, wakifanya uhalifu wa aibu.
10 Dans la maison d’Israël j’ai vu une chose horrible; là sont les fornications d’Ephraïm; Israël s’est souillé.
Nimeona jambo la kutisha katika nyumba ya Israeli. Huko Efraimu amejitolea kwa ukahaba na Israeli amenajisika.
11 Mais toi aussi, Juda, prépare-toi une moisson, lorsque je ramènerai de la captivité mon peuple.
“Pia kwa ajili yako, Yuda, mavuno yameamriwa. “Wakati wowote ningerejesha neema ya watu wangu,

< Osée 6 >