< Osée 13 >

1 Ephraïm parlant, un frisson a saisi Israël, et il a péché en adorant Baal, et il est mort.
Efraimu alipozungumza, kulikuwa na tetemeko. Alijikuza katika Israeli, lakini akawa na hatia kwa sababu ya ibada ya Baali, naye akafa.
2 Et maintenant ils ont encore péché; et ils se sont fait avec leur argent une statue jetée en fonte semblable aux idoles, tout cela est un ouvrage d’artisans; à ceux-ci eux-mêmes disent: Immolez des hommes, vous qui adorez des veaux.
Sasa wanafanya dhambi zaidi na zaidi. Wanatengeneza sanamu za chuma kutoka kwenye fedha zao, sanamu kwa kadiri ya ufanisi wao, zote ni kazi ya mafundi. Watu wanasema juu yao, 'Watu hawa watoao dhabihu na kumbusu ndama.'
3 C’est pour cela qu’ils seront comme un nuage du matin, et comme la rosée du matin qui se dissipe, comme la poussière emportée de l’aire par un tourbillon, et comme la fumée qui s’échappe d’une cheminée.
Kwa hiyo watakuwa kama mawingu ya asubuhi, kama umande unaoondoka mapema, kama makapi yanayotokana na upepo kutoka kwenye sakafu, na kama moshi utokao kwenye bomba.
4 Mais moi, je suis le Seigneur ton Dieu, depuis que je t’ai retiré de la terre d’Egypte; tu ne connaîtras pas de Dieu hors moi, et il n’est de sauveur que moi.
Lakini mimi ndimi Bwana, Mungu weko, tangu nchi ya Misri. Hutamjua Mungu mwingine bali mimi; wala zaidi yangu, hakuna mkombozi mwingine.
5 Et je t’ai connu dans le désert, dans une terre de solitude.
Nilikujua jangwani, katika nchi yenye kame.
6 À proportion de leurs pâturages ils se sont remplis et rassasiés; et ils ont enflé leur cœur, et ils m’ont oublié.
Wakati ulipokuwa na malisho, ulishiba; na wakati uliposhiba, moyo wako ukainuliwa. Kwa sababu hiyo umenisahau.
7 Et moi, je serai pour eux comme une lionne, comme un léopard sur la voie des Assyriens.
Nitakuwa kama simba; kama chui nitaangalia kando ya njia.
8 Je courrai à eux comme une ourse, quand on lui a ravi ses petits, je déchirerai leurs entrailles; et là je les dévorerai comme un lion; la bête des champs les mettra en pièces.
Nitawaangamiza kama dubu aliyenyang'anywa watoto wake. Nami nitararua vifua vyao, na huko nitawaangamiza kama simba, kama vile mnyama wa mwitu atakayerarua vipande vipande.
9 Ta perte vient de toi, Israël; c’est seulement en moi qu’est ton secours.
Nitawaangamiza, Israeli; nani atakayekusaidia?
10 Où est ton roi? que surtout maintenant il te sauve dans toutes tes villes; et qu’ils te sauvent, tes juges dont tu as dit: Donnez-moi un roi et des princes.
Mfalme wako yuko wapi, ili akuokoe katika miji yako yote? Wako wapi wakuu, ambao kwao umeniambia hivi, 'Nipe mfalme na wakuu'?
11 Je te donnerai un roi dans ma fureur, et j’ôterai dans mon indignation.
Nimekupa mfalme kwa hasira yangu, nikamchukua kwa ghadhabu yangu.
12 L’iniquité d’Ephraïm est liée, et son péché caché.
Uovu wa Efraimu umehifadhiwa; hatia yake imehifadhiwa.
13 Les douleurs d’une femme qui enfante viendront sur lui: c’est un fils qui n’est point sage; car maintenant il ne subsistera pas dans le carnage de ses fils.
Atakuwa na uchungu wa kujifungua, lakini ni mwana mjinga, kwa maana wakati wa kuzaliwa, hatatoka tumboni.
14 Je les délivrerai de la main de la mort, je les rachèterai de la mort; je serai ta mort, ô mort; je serai ta morsure, ô enfer; la consolation s’est cachée à mes yeux. (Sheol h7585)
Je, nitawaokoa na mkono wa kaburi? Je, nitawaokoa na kifo? Ewe Mauti yako wapi mapigo yako? Ewe kaburi kuko wapi kuharibu kwako? Huruma itafichwa na macho yangu. (Sheol h7585)
15 Parce qu’il divisera les frères, le Seigneur fera venir un vent brûlant qui montera du désert; et il séchera ses ruisseaux, et tarira sa source, et enlèvera le trésor de tous ses objets précieux.
Ingawa Efraimu anafanikiwa kati ya ndugu zake, upepo wa mashariki utakuja; upepo wa Bwana utapiga kutoka jangwani. Kijito cha maji cha Efraimu kitauka, na kisima chake hakitakuwa na maji. Adui yake atapora ghala lake la kila kitu cha thamani.
16 Périsse Samarie, puisqu’elle a poussé son Dieu à l’exaspération; qu’ils périssent par le glaive, que leurs petits enfants soient écrasés, et que ses femmes enceintes soient coupées en deux.
Samaria itakuwa na hatia, kwa sababu amemuasi dhidi ya Mungu wake. Wataanguka kwa upanga; watoto wao wadogo watavunjwa, na wanawake wao wajawazito watatambuliwa wazi.

< Osée 13 >