< Habacuc 3 >

1 Prière d’Habacuc, le prophète, pour les ignorances.
Maombi ya Habakuki nabii:
2 Seigneur, j’ai entendu votre parole, et j’ai craint, Seigneur, votre œuvre; au milieu des années, vivifiez-la. Au milieu des années vous la ferez connaître; lorsque vous serez en colère, vous vous souviendrez de la miséricorde.
Yahwe, nimesikia taarifa zako, na mimi naogopa. Yahwe, fufua kazi yako katikati wakati; katikati ya muda huu; fanya hiyo ijulikane; kumbuka kuwa na rehema katika ghadhabu yako.
3 Dieu viendra du midi, et le saint de la montagne de Pharan; Sa gloire a couvert les deux, et de sa louange est pleine la terre.
Mungu alikuja kutoka Temani, na yule Mtakatifu kutoka Parani. (Sela) Utukufu wake umezifunika mbingu, na dunia ilikuwa imejaa utukufu wake.
4 Sa splendeur brillera comme la lumière, ses cornes sont dans ses mains; Là a été cachée sa puissance;
Miali miwili ya mikono yake ilikuwa iking'aa kama mwanga, ambapo uweza wake ulifichwa.
5 Devant sa face ira la mort. Et le diable sortira devant ses pieds.
Ugonjwa wa kuua ulitangulia mbele yake, na adha iliifuta miguu yake.
6 Il s’est arrêté, et il a mesuré la terre. Il a regardé, et il a dissipé les nations; et les montagnes du siècle se sont entrouvertes. Les collines du monde ont été abaissées par les marches de son éternité.
Yeye alisimama na akaipima nchi; aliangalia na aliyatikisa mataifa. Hata milima ya milele iliharibiwa kabisa, na vilima vya milele vilianguka chini. Njia yake ni ya milele.
7 J’ai vu les tentes de l’Ethiopie renversées pour son iniquité; les pavillons de la terre de Madian seront troublés.
Niliona mahema ya Wakushi katika mateso, na vitambaa vya mahema katika Midiani vinatetema.
8 Est-ce contre les fleuves que vous êtes en colère, Seigneur? ou contre les fleuves qu’est votre fureur; ou bien contre la mer qu’est votre indignation? Vous qui monterez sur vos chevaux; et vos quadriges seront le salut.
Yahwe alikuwa na hasira pale mtoni? Ghadhabu yako ilikuwa dhidi ya mito, au hasira yako dhidi ya bahari, unapopanda juu ya farasi wenye mikokoteni na wa ushindi wako?
9 Préparant, vous préparerez votre arc, selon les serments que vous avez faits aux tribus. Vous diviserez les fleuves de la terre.
Umeleta upinde wako bila mfuniko; unaweka mishale kwenye upinde wako! (Sela) uliigawa nchi na mito.
10 Les montagnes vous ont vu et elles ont été dans la douleur. La masse des eaux s’est écoulée. L’abîme a fait entendre sa voix; il a levé en haut ses mains.
Milima ilikuona wewe na kugeuka kwa huzuni. Maji yaliyomwagwa chini yalipita juu yao; kina cha bahari kilipaza sauti. Mawimbi yake yakainuka juu.
11 Le soleil et la lune se sont arrêtés dans leur demeure; ils iront à la lumière de vos flèches, à l’éclat de votre lance foudroyante.
Jua na mwezi vilisimama imara juu mahali pake katika mwanga wa mishale yako na ilipaa, pale katika uangavu wa mwanga wa mikuki yako.
12 Dans votre frémissement, vous foulerez aux pieds la terre; dans votre fureur, vous épouvanterez les nations.
Umetembea juu ya nchi kwa uchungu. Katika ghadhabu umepukuchua mataifa.
13 Vous êtes sorti pour le salut de votre peuple, pour le salut avec votre Christ. Vous avez frappé le chef de la maison de l’impie; vous l’avez mis à nu depuis les pieds jusqu’au cou.
Ulikwenda nje kwaajili ya wokovu wa watu wako, Kwaajili ya wokovu wa mteule wako. Wewe pondaponda kichwa cha nyumba ya mwovu kuweka wazi msingi wa shingo. (Sela)
14 Vous avez maudit ses sceptres, le chef de ses guerriers qui venaient comme un tourbillon pour me mettre en déroute. Leur exultation était comme l’exultation de celui qui dévore le pauvre en secret.
Umekichoma kichwa cha wapiganaji wake kwa mshale wake mwenyewe sababu walikuja kama upepo kututawanya sisi, wivu wao ulikuwa kama mtu ambaye anamteketeza masikini katika mahali pamaficho.
15 Vous avez fait une voie dans la mer à vos chevaux, dans la fange des grandes eaux.
Umesafiri juu ya bahari kwa farasi wako, na kuyapita maji makuu.
16 J’ai entendu, et mes entrailles ont été émues; à cette voix, mes lèvres ont frémi. Que la pourriture entre dans mes os, et qu’elle abonde sous moi; Afin que je me repose au jour de la tribulation, afin que je monte vers notre peuple ceint.
Nilisikia, na ndani yangu nilitetemeka! midomo yangu ilitetemesha sauti. Uozo unakuja katika mifupa yangu, na chini yangu mwenyewe nilitetemeka kama nasubiri kwaajili ya siku ya kuhuzunisha ifike juu ya watu waliotushambulia sisi.
17 Car le figuier ne fleurira pas, et il n’y aura pas de germe dans les vignes. Le produit de l’olivier trompera l’attente, et les champs ne porteront pas de grains. Le troupeau de menu bétail sera arraché de la bergerie, et il n’y aura pas de troupeau de gros bétail dans les étables.
Ingawa mtini hauchipui na hauzai kutokana na mzababibu; na ingawa kuzaa kwa mti wa mzaituni hakuridhishi na mashamba hayatoi chakula; na ingawa kundi mifugo limetoweka na hakuna ng'ombe katika zizi, hiki ndicho nitakacho kifanya.
18 Mais moi, je me réjouirai dans le Seigneur, et j’exulterai en Dieu mon Jésus.
Bado, nitafurahia katika Yahwe. Nitakuwa nafuraha kwa sababu ya Mungu wa wokovu wangu.
19 Dieu le Seigneur est ma force; et il rendra mes pieds comme ceux des cerfs. Et vainqueur il me conduira sur mes hauteurs, pendant que je chanterai des psaumes.
Bwana Yahwe ni nguvu yangu na anaifanya miguu yangu kama ya kulungu. Ananifanya mimi niende mbele mahali pangu pa juu. - kufuata maelekezo ya muziki, katika vyombo vyangu vya nyuzi.

< Habacuc 3 >