< Genèse 10 >

1 Voici les générations des fils de Noé, Sem, Cham et Japheth: car il leur naquit des fils après le déluge.
Hawa ndio wazao wa Noa: Shemu, Hamu na Yafethi, ambao walizaa wana baada ya gharika.
2 Les fils de Japheth sont: Gomer, Magog, Madaï, Javan, Thubal, Mosoch et Thiras.
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
3 Les fils de Gomer: Ascenez, Riphath et Thogorma.
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
4 Et les fils de Javan: Elisa, Tharsis, Cetthim et Dodanim.
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
5 C’est par eux que furent divisées les îles des nations dans leurs pays, chacun selon sa langue et ses familles dans leurs nations.
(Kutokana na hawa mataifa ya Pwani yalienea katika nchi zao, kwa koo zao katika mataifa yao, kila moja kwa lugha yake.)
6 Les fils de Cham: Chus, Mesraïm, Phuth et Chanaan.
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
7 Les fils de Chus: Saba, Hévila, Sabatha, Regma et Sabatacha. Les fils de Regma: Saba et Dadan.
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
8 Or Chus engendra Nemrod; c’est lui qui commença à être puissant sur la terre.
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa duniani.
9 C’était un fort chasseur devant le Seigneur. De là est venu le proverbe: Comme Nemrod, fort chasseur devant le Seigneur.
Alikuwa mwindaji hodari mbele za Bwana. Ndiyo sababu watu husema, “Kama Nimrodi, hodari wa kuwinda mbele za Bwana.”
10 Le commencement de son royaume fut Babylone, Arach, Achad et Chalanné, dans la terre de Sennaar.
Vituo vyake vya kwanza katika ufalme wake vilikuwa Babeli, Ereki, Akadi na Kalne katika Shinari.
11 De ce pays sortit Assur qui bâtit Ninive, les rues de cette ville et Chalé,
Kutoka nchi ile alikwenda Ashuru, ambako alijenga Ninawi, Rehoboth-iri, Kala,
12 Et aussi Résen entre Ninive et Chalé: c’est la grande ville.
na Reseni, iliyo kati ya Ninawi na Kala; huo ndio mji mkubwa.
13 Quant à Mesraïm, il engendra Ludim, Anamim, Laabim, Nephthuim,
Misraimu alikuwa baba wa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
14 Phétrusim et Chasluim, d’où sont sortis les Philistins et les Caphtorins.
Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti), na Wakaftori.
15 Chanaan engendra Sidon, son premier-né, l’Héthéen,
Kanaani alikuwa baba wa: Sidoni mzaliwa wake wa kwanza, Hethi,
16 Le Jébuséen, l’Amorrhéen, le Gergéséen,
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
17 L’Hévéen, l’Aracéen, le Sinéen,
Wahivi, Waariki, Wasini,
18 L’Aradien, le Samaréen et l’Amathéen: et après cela se sont dispersés les peuples des Chananéens.
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi. Baadaye koo za Wakanaani zilitawanyika,
19 Et les limites des Chananéens furent depuis Sidon en venant à Gérara, jusqu’à Gaza; et en venant à Sodome, Gomorrhe, Adama et Séboïm, jusqu’à Lésa.
na mipaka ya Kanaani ilienea kutoka Sidoni kuelekea Gerari hadi Gaza, kisha kuelekea Sodoma, Gomora, Adma na Seboimu, hadi kufikia Lasha.
20 Ce sont là les enfants de Cham selon leur parenté, leurs langues, leurs générations, leurs pays et leurs nations.
Hawa ni wana wa Hamu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
21 De Sem aussi, père de tous les enfants d’Héber et frère aîné de Japheth, naquirent des fils.
Shemu ambaye ni ndugu mkubwa wa Yafethi, kwake kulizaliwa wana pia. Shemu alikuwa baba wa wana wote wa Eberi.
22 Les fils de Sem sont: Elam, Assur, Arphaxad, Lud et Aram.
Wana wa Shemu walikuwa: Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi na Aramu.
23 Les fils d’Aram: Us, Hul, Géther et Mes.
Wana wa Aramu walikuwa: Usi, Huli, Getheri na Mesheki.
24 Or Arphaxad engendra Salé, dont est né Héber.
Arfaksadi alikuwa baba wa Shela, naye Shela akamzaa Eberi.
25 À Héber naquirent deux fils: le nom de l’un fut Phaleg, parce qu’en ses jours la terre fut divisée; et le nom de son frère, Jectan.
Eberi akapata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake ndipo dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
26 Lequel Jectan engendra Elmodad, Saleph, Asarmoth, Jaré,
Yoktani alikuwa baba wa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
27 Aduram, Uzal, Décla,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
28 Ebal, Abimaël, Saba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
29 Ophir, Hévila et Jobab: tous ceux-là sont les fils de Jectan.
Ofiri, Havila na Yobabu. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
30 Et leur habitation s’étendit de Messa jusqu’à Séphar, montagne qui est à l’orient.
Nchi waliyoishi ilienea toka Mesha kuelekea Sefari kwenye nchi ya vilima iliyoko mashariki.
31 Voilà les fils de Sem, selon leur parenté, leurs langues, leurs pays et leurs nations.
Hao ndio wana wa Shemu kwa koo zao na lugha zao, katika nchi zao na mataifa yao.
32 Et voilà les familles de Noé, selon leurs peuples et leurs nations. C’est par elles qu’ont été divisées toutes les nations sur la terre après le déluge.
Hizi ndizo koo za wana wa Noa, kufuatana na vizazi vyao, katika mataifa yao. Kutokana na hawa mataifa yalienea duniani kote baada ya gharika.

< Genèse 10 >