< Galates 6 >
1 Mes frères, si un homme est tombé par surprise dans quelque faute, vous qui êtes spirituels, instruisez-le en esprit de douceur, regardant à toi-même, de peur que toi aussi tu ne sois tenté.
Ndugu, kama mkimwona mtu fulani amekosea, basi, ninyi mnaoongozwa na Roho mwonyeni mtu huyo ajirekebishe; lakini fanyeni hivyo kwa upole, mkiwa na tahadhari msije nanyi wenyewe mkajaribiwa.
2 Portez les fardeaux les uns des autres, et c’est ainsi que vous accomplirez la loi du Christ.
Saidianeni kubeba mizigo yenu na hivyo mtatimiza sheria ya Kristo.
3 Car si quelqu’un s’estime être quelque chose, comme il n’est rien, il s’abuse lui-même.
Mtu akijiona kuwa ni kitu, na kumbe si kitu, huyo anajidanganya mwenyewe.
4 Or que chacun éprouve ses propres œuvres, et alors il trouvera sa gloire en lui-même et non dans un autre.
Lakini kila mmoja na aupime vizuri mwenendo wake mwenyewe. Ukiwa mwema, basi, anaweza kuona fahari juu ya alichofanya bila kuwa na sababu ya kujilinganisha na mtu mwingine.
5 Car chacun portera son fardeau.
Maana kila mmoja anao mzigo wake mwenyewe wa kubeba.
6 Que celui que l’on catéchise par la parole communique tous ses biens à celui qui le catéchise.
Mwenye kufundishwa neno la Mungu na amshirikishe mwalimu wake riziki zake.
7 Ne vous y trompez pas: on ne se rit point de Dieu.
Msidanganyike; Mungu hafanyiwi dhihaka. Alichopanda mtu ndicho atakachovuna.
8 Car ce que l’homme aura semé, il le recueillera. Ainsi, celui qui sème dans sa chair recueillera de la chair la corruption; et celui qui sème dans l’esprit recueillera de l’esprit la vie éternelle. (aiōnios )
Apandaye katika tamaa za kidunia, atavuna humo uharibifu; lakini akipanda katika Roho, atavuna kutoka kwa Roho uzima wa milele. (aiōnios )
9 Or faisant le bien, ne nous lassons point; car en ne nous lassant pas, nous recueillerons la moisson en son temps.
Basi, tusichoke kutenda mema; maana tusipolegea tutavuna mavuno kwa wakati wake.
10 C’est pourquoi, tandis que nous avons le temps, faisons du bien à tous, et principalement à ceux qui sont de la famille de la foi.
Kwa hiyo, tukiwa bado na wakati, tuwatendee watu wote mema, na hasa ndugu wa imani yetu.
11 Voyez quelle lettre je vous ai écrite de ma propre main.
Tazameni jinsi nilivyoandika kwa herufi kubwa, kwa mkono wangu mwenyewe.
12 Tous ceux qui veulent plaire selon la chair vous obligent à vous faire circoncire, et cela uniquement afin de ne pas souffrir persécution pour la croix du Christ.
Wale wanaotaka kuonekana wazuri kwa mambo ya mwili ndio wanaotaka kuwalazimisha ninyi mtahiriwe. Wanafanya hivyo kwa sababu moja tu: kusudi wao wenyewe wasije wakadhulumiwa kwa sababu ya msalaba wa Kristo.
13 Car eux, qui se font circoncire, ne gardent pas la loi; mais veulent que vous soyez circoncis, pour se glorifier en votre chair.
Maana, hao wenyewe waliotahiriwa hawaishiki Sheria; huwataka ninyi mtahiriwe wapate kujivunia alama hiyo mwilini mwenu.
14 Pour moi, à Dieu ne plaise que je me glorifie, si ce n’est dans la croix de Notre Seigneur Jésus-Christ, par qui le monde m’est crucifié, et moi au monde.
Lakini mimi sitajivunia kamwe chochote isipokuwa msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo; maana kwa njia ya msalaba huo ulimwengu umesulubiwa kwangu, nami nimesulubiwa kwa ulimwengu.
15 Car en Jésus-Christ la circoncision n’est rien, ni l’incirconcision, mais la créature nouvelle.
Kutahiriwa au kutotahiriwa si kitu; cha maana ni kuwa kiumbe kipya.
16 Quant à tous ceux qui suivront cette règle, paix sur eux et miséricorde sur l’Israël de Dieu!
Wanaoufuata mwongozo huo nawatakia amani na huruma; amani na huruma kwa Israeli—Wateule wa Mungu.
17 Au reste, que personne ne me fasse de la peine; car je porte sur mon corps les stigmates du Seigneur Jésus.
Basi, sasa mtu yeyote asinisumbue tena, maana alama nilizo nazo mwilini mwangu ni zile za Yesu.
18 Que la grâce de Notre Seigneur Jésus-Christ soit avec votre esprit, mes frères. Amen.
Ndugu, nawatakieni ninyi nyote neema ya Bwana wetu Kristo. Amina.