< Esdras 9 >
1 Et, après que ces choses furent accomplies, les princes s’approchèrent de moi, disant: Le roi d’Israël, les prêtres et les Lévites, ne sont pas séparés des peuples de la terre et de leurs abominations, c’est-à-dire du Chananéen, de l’Héthéen, du Phérézéen, du Jébuséen, de l’Ammonite, du Moabite, de l’Egyptien et de l’Amorrhéen;
Kipindi mambo hayo yanatendeka, wakuu wakaja kwangu na kuniambia,”Watu wa Israel, Makuhani na walawi hawakuweza kujitenga wenyewe kutoka kwa watu wa nchi zingine na maovu yao: Wakanaani, Wahiti, Waperuzi, wayebusi, Waamoni, Wamoabu, Wamisri na Waamori.
2 Car ils ont pris de leurs filles pour eux et pour leurs fils, et ils ont mêlé la race sainte avec les peuples de la terre; la main même des princes et des magistrats a été la première dans cette transgression.
Kwa kuwa wamewachukua baadhi ya binti na watoto wa kiume, wamejichanganya watu watakatifu na watu wa nchi nyingine na wakuu na viongozi wamekuwa wa kwanza katika imani hii potofu.
3 Et quand j’eus ouï cette parole, je déchirai mon manteau et ma tunique, et j’arrachai les cheveux de ma tête et ma barbe, et je m’assis, abattu de chagrin.
Niliposikia haya, nikachana nguo zangu na kanzu na kunyoa nywele kichwani na ndevu na nikakaa chini kutafakari.
4 Alors s’assemblèrent auprès de moi tous ceux qui craignaient la parole du Dieu d’Israël, à cause de la transgression de ceux qui étaient venus de la captivité, et j’étais assis triste jusqu’au sacrifice du soir.
Na wale wote waliotetemeka kwa neno la Mungu wa Israel kuhusu imani potofu walikusanyika kwangu wakati nimakaa chini nikiwa na aibu hadi kufikia kipindi cha sadaka za jioni.
5 Et, au sacrifice du soir, je me levai de mon affliction; et mon manteau et ma tunique déchirés, je courbai mes genoux et j’étendis mes mains vers le Seigneur mon Dieu.
Lakini katika sadaka ya jioni nikasimama kwenye nafasi yangu nikiwa mnyenyekevu na nguo ilichanika na kanzu, na nikapiga magoti na kunyoosha mikono yangu kwa Yahwe Mungu wangu. Nikasema
6 Et je dis: Mon Dieu, je suis confondu, et je rougis de lever ma face vers vous; parce que nos iniquités se sont multipliées sur notre tête, et nos péchés se sont accrus jusqu’au ciel,
“Mungu wangu, nina aibu na sistahili kuinua uso wangu kwako, makosa yetu yamekuwa hadi kuvuka kichwani na maovu yetu yameongezeka kufika mbinguni.
7 Depuis les jours de nos pères; mais aussi nous-mêmes nous avons péché grièvement jusqu’à ce jour, et à cause de nos iniquités, nous avons été livrés, nous, nos rois et nos prêtres, à la main des rois de la terre, au glaive, et à la captivité, au pillage, à la confusion de notre visage, comme on le voit encore en ce jour.
Kuanzia siku ya watangulizi wetu mpaka sasa tumekuwa katika maovu makuu. Makosa yetu, viongozi, makuhani, walikuwa katika mikono ya mfalme wa dunia hii, katika upanga, matekani na kunyanyaswa na tuna aibu ya uso hata leo.
8 Mais maintenant notre prière s’est un peu et pour un moment élevée vers le Seigneur notre Dieu, afin qu’un reste nous fût laissé, qu’un pieu nous fût donné en son saint lieu, que notre Dieu éclairât nos yeux, et qu’il nous donnât un peu de vie dans notre servitude,
sasa kwa kipindi kifupi, neema kutoka kwa Yahwe Mungu wetu imekuja kutuacha mabaki wachache na kutupa kuhimmili sehemu takatifu. Hii ilikuwa ni kwa ajili ya Mungu wetu kututia nuru macho yetu na kutupa unafuuu sisi tulio watumwa.
9 Parce que nous sommes esclaves, et qu’en notre servitude noire Dieu ne nous a point délaissés; mais il a incliné sur nous sa miséricorde devant le roi des Perses, pour nous donner la vie, élever la maison de notre Dieu, construire ses solitudes, et pour nous donner une haie dans Juda et Jérusalem.
Kwa kuwa sisi tu watumwa, lakini Mungu bado hajatusahau lakini ameongeza agano la uaminifu kwetu, ameyatenda haya mbele ya macho ya mfalme wa Uajemi ili kwamba haweze kutupatia nguvu mpya. Ili kwamba tuweze kujenga nyumba ya Mungu na tuweze kuondoa majuto. Alitenda hayo ili kwamba aweze kutupatia msingi wa usalama katika Yuda na Yerusalem.
10 Et maintenant, notre Dieu, que dirons-nous après cela? Puisque nous avons abandonné les commandements
Lakini sasa Mungu wetu, tuseme nini baaada ya haya? Tumesahau amri zako.
11 Que vous nous avez prescrits par l’entremise de vos serviteurs les prophètes, disant: La terre dans laquelle vous entrez pour la posséder, est une terre impure, selon l’impureté des peuples et des autres terres, à cause des abominations de ceux qui l’ont remplie, d’une extrémité jusqu’à l’autre extrémité, de leur souillure.
amri ambazo uliwapa manabii watumishi wako, pale uliposema, “Nchi hii mnayoingia kuimiliki ni nchi chafu. Imechanganyikana na watu wasio na utaratibu. ameenea kutoka sehemu moja hadi nyingine kwa uchafu wao.
12 Maintenant donc ne donnez point vos filles à leurs fils, et n’acceptez point leurs filles pour vos fils, et ne cherchez jamais leur paix et leur prospérité; afin que vous soyez forts, et que vous mangiez les biens de cette terre, et que vous ayez vos fils pour héritiers à jamais.
Hivyo sasa, msiwape binti zenu kwa watoto wao, msichukue binti zao kwa ajili ya watoto wenu, msitafute amani kwao na fadhili, ili kwamba muweze kuwa imara na kula vizuri vya nchi, hivyo utasababisha watoto wenu kumiliki kwa wakati wote.”
13 Et après tout ce qui est venu sur nous, à cause de nos œuvres très mauvaises et de notre grand péché, vous, Seigneur notre Dieu, vous nous avez délivrés de notre iniquité, et vous nous avez donné le salut comme on le voit aujourd’hui,
Baada ya yote kutokea kwetu kwa sababu ya uovu wetu na makosa yetu makuu, tokea hapo, Mungu wetu, hukutazama makosa yetu na kutuadhibu tulivyostahili na ukatuacha kama mabaki.
14 Afin que nous ne revinssions pas à rendre vains vos commandements, et que nous ne nous unissions point par les mariages avec les peuples livrés à ces abominations. Etes-vous irrité entièrement contre nous, en sorte que vous ne laissiez point des restes de nous pour notre conservation?
Tunaweza kuvunja tena amri zako na kuingiliana katika ndoa, na hawa watu wasiofuata utaratibu? Je hautachukia na kututowesha sote hakuna wa kubaki, hakuna wa kutoroka?
15 Seigneur Dieu d’Israël, vous êtes juste, puisque nous avons été laissés pour être sauvés, comme on le voit en ce jour. Voici que nous sommes devant vous dans notre péché; car on ne peut pas subsister devant vous après cela.
Yahwe, Mungu wa Israel, wewe ni mwenye haki, kwa kuwa tumebaki wachache mabaki hadi siku ya leo. Tazama, tuko mbele yako na makosa yetu, kwa kuwa hakuna hata mmoja anayeweza kusimama mbele kwa sababu ya hili.