< Ézéchiel 37 >
1 La main du Seigneur fut sur moi, et elle me mena dehors par l’esprit du Seigneur, et elle me conduisit au milieu d’un champ, qui était plein d’ossements.
Mkono wa Yahwe ulikuwa juu yangu, na akanitoa kwa Roho wa Bwana Yahwe na kuniweka chini katikati ya bonde; lilikuwa limejaa mifupa.
2 Elle me mena tout autour de ces ossements; or il y en avait un très grand nombre sur la face du champ, et ils étaient extrêmement desséchés.
Kisha akanifanya kupita kati yao kuizunguka pande zote. Tazama! Mingi yao mikubwa ilikuwa katika bonde! Ilikuwa mikavu sana.
3 Et il me dit: Fils d’un homme, penses-tu que ces ossements vivront? Et je dis: Seigneur Dieu, c’est vous qui le savez.
Akanambia, “Mwanadamu, Je! Hii mifupa inaweza kuishi kinyume?” Hivyo nikasema, “Bwana Yahwe, wajua wewe pekee.”
4 Et il me dit: Prophétise sur ces ossements, et tu leur diras: Ossements arides, écoutez la parole du Seigneur.
Kisha akanambia, “Tabiri juu ya hii mifupa na iambie, 'Mifupa mikavu. Lisikilizeni neno la Yahwe.
5 Voici ce que dit le Seigneur Dieu à ces ossements: Voilà que moi j’enverrai en vous un esprit, et vous vivrez.
Bwana Yahwe asema hivi kwenye hii mifupa: Tazama! nakaribia kuweka pumzi juu yenu, nanyi mtaishi.
6 Et je mettrai sur vous des nerfs, et je ferai croître sur vous des chairs, et j’étendrai en vous une peau; et je vous donnerai un esprit, et vous vivrez, et vous saurez que je suis le Seigneur.
Nitaweka mishipa juu yenu na kuleta nyama juu yenu. Nitawafunika kwa ngozi na kuweka pumzi ndani yenu hivyo mtaishi. Kisha mtajua kwamba mimi ni Yahwe.”'
7 Et je prophétisai comme il m’avait ordonné; et il se fit un bruit, moi prophétisant, et voilà un ébranlement; et des ossements s’approchèrent des ossements, chacun à sa jointure.
Hivyo nimetoa unabii kama nilivyokuwa nimeamriwa: nimetabiri, tazama, sauti ikaja, iliyokuwa ya mtetememo. Kisha mifupa ikasogeleana pamoja-mfupa juu ya mfupa.
8 Et je vis, et voilà que des nerfs et des chairs sur eux se placèrent; et une peau s’y étendit par dessus; mais un esprit, ils ne l’avaient pas.
Nikatazama na, kumbe, mishipa ilikuwa juu sasa, na nyama ikatoka juu na ngozi ikazifunika. Lakini hapakuwa na pumzi juu yao.
9 Et il me dit: Prophétise à l’esprit, prophétise, fils d’un homme, et tu diras à l’esprit: Voici ce que dit le Seigneur Dieu: Viens des quatre vents, esprit, et souffle sur ces hommes tués, et qu’ils revivent.
Kisha Yahwe akanambia, “Itabirie pumzi, tabiri, mwanadamu, na iambie pumzi, 'Bwana Yahwe asema hivi: Pumzi, hutoka pepo nne, na pumzi juu ya hawa walioawa, hivyo wanaweza kuishi.”'
10 Et je prophétisai comme il m’avait ordonné; et l’esprit entra dans les ossements, et ils devinrent vivants, et ils se tinrent sur leurs pieds, formant une armée innombrable.
Hivyo nimetabiri kama nilivyokuwa nimeamriwa; pumzi ikawajilia na wakaishi. Kisha wakasimama kwa miguu yao, jeshi moja kubwa sana.
11 Et il me dit: Fils d’un homme, tous ces ossements sont les enfants de la maison d’Israël; ils disent eux-mêmes: Nos ossements sont devenus arides, et notre espérance est perdue, et nous sommes retranchés.
Kisha Yahwe akanambia, “Mwanadamu, mifupa hii yote ni ya nyumba ya Israeli. Tazama! Wanasema, 'Mifupa yetu imekauka, na tumaini letu limepotea. Tumekatwa.'
12 À cause de cela, prophétise, et tu leur diras: Voici ce que dit le Seigneur Dieu: Voilà que moi j’ouvrirai vos tombeaux, et je vous tirerai de vos sépulcres, mon peuple, et je vous conduirai dans la terre d’Israël.
Kwa hiyo tabiri na waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Nitayafunua makabiri yenu na kuwapandisha kutoka kwayo, watu wangu. Nitakurudisha hata katika nchi ya Israeli.
13 Et vous saurez que je suis le Seigneur, lorsque j’aurai ouvert vos sépulcres, et que je vous aurai tirés de vos tombeaux, mon peuple;
Kisha mtajua kwamba mimi ni Yahwe, nitakapo yafunua makaburi yenu na kuwatoa kutoka kwao, watu wangu.
14 Et que j’aurai mis mon esprit en vous, et que vous aurez vécu, et que je vous ferai reposer sur votre terre; et vous saurez que c’est moi le Seigneur qui ai parlée et exécuté, dit le Seigneur Dieu.
Nitaweka Roho wangu ndani yenu hivyo mtaishi, na nitawafanya kupumzika katika nchi yenu mtakapojua yakwamba mimi ni Yahwe. Nasema na nitayafanya hayo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”'
15 Et la parole du Seigneur me fut adressée, disant:
Kisha neno la Yahwe likanijia, likisema,
16 Et toi, fus d’un homme, prends un morceau de bois, et écris-y dessus: C’est le bois de Juda et des enfants d’Israël qui lui sont unis; et prends un autre morceau de bois et écris-y dessus: Pour Joseph, pour le bois d’Ephraïm, et pour toute la maison d’Israël et de ceux qui lui sont unis.
“Sasa wewe, mwanadamu, chukua fimbo moja kwa ajili yako na andika juu yake, 'Kwa ajili Yuda na kwa ajili ya watu wa Israeli, wenzake,' Kisha fimbo nyingine andika juu yake, 'Kwa kuwa Yusufu, tawi la Efraimu, na kwa ajili ya watu wa Israeli, wenzake.
17 Et joins-les l’un à l’autre, pour qu’ils ne soient pour toi qu’un seul bois; et ils seront unis dans ta main.
Walete wote pamoja kwenye fimbo moja, ili wawe kitu kimoja katika mkono wako.
18 Mais lorsque les fils de ton peuple te diront, en parlant: Est-ce que vous ne nous indiquez pas ce que vous voulez par là?
Wakati watu wako watakapokwambia na kusema, 'Je! hutatuambia haya mambo yako yana maana gani?'
19 Tu leur diras: Voici ce que dit le Seigneur Dieu: Voilà que moi je prendrai le bois de Joseph qui est dans la main d’Ephraïm, et les tribus d’Israël qui lui sont unies, et je les joindrai avec le bois de Juda, et j’en ferai un seul bois, et ils n’en seront qu’un dans sa main.
kisha waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Nalichukua tawi la Yusufu ambalo lipo kwenye mkono wa Efraimu na kabila za Israeli wenzake na kuungana nalo hata kwenye tawi la Yuda, ili kwamba wawe tawi moja, na watakuwa kitu kimoja katika mikono yangu.'
20 Or ces bois sur lesquels tu auras écrit seront dans ta main, devant leurs yeux.
Shika kwenye mkono wako na matawi uliyoandika mbele ya macho yao.
21 Et tu leur diras: Voici ce que dit le Seigneur Dieu: Voilà que moi je prendrai les fils d’Israël du milieu des nations vers lesquelles ils sont allés; je les rassemblerai de toutes parts, et je les ramènerai dans leur terre,
Waambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! nakaribia kuwachukua watu wa Israeli kutoka miongoni mwa mataifa walipoenda. Nitawakusanya kutoka nchi zilizozunguka na nitawaleta kwenye nchi yao.
22 Et je ferai d’eux une seule nation dans leur terre sur les montagnes d’Israël, et un seul roi commandera à tous; et à l’avenir ils ne formeront pas deux nations, et ils ne seront plus divisés en deux royaumes.
Nitawafanya kuwa taifa moja katika nchi, juu ya milima ya Israeli, na kutakuwa na mfalme mmoja kama mfalme juu yao wote, na hawatakuwa mataifa mawili tena. Hawatagawanyika kwenye falme mbili tena.
23 Et ils ne se souilleront plus par leurs idoles, et par leurs abominations, et par toutes leurs iniquités; je les sauverai en les retirant de tous les lieux de séjour où ils ont péché, et je les purifierai; et ils seront mon peuple, et moi je serai leur Dieu.
Kisha hawatajitia unajisi tena kwa sanamu zao, mambo yao yachukizao, au dhambi zao nyingine. Kwa kuwa nitawaokoa kutoka matendo yao ya uongo ambayo wamefanya dhambi, na nitawatakasa, hivyo watakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wao.
24 Et mon serviteur David sera leur roi; un seul pasteur sera pour eux tous; ils marcheront dans mes ordonnances, ils garderont mes commandements, et ils les pratiqueront.
Daudi mtumishi wangu atakuwa mfalme juu yao. Hivyo kutakuwa na mchungaji mmoja juu yao wote, na wataishi kulingana na sheria zangu na watazitunza amri zangu na kuzitii.
25 Et ils habiteront sur la terre que j’ai donnée à mon serviteur Jacob, dans laquelle ont habité vos pères; et ils y habiteront, eux et leurs enfants, et les enfants de leurs enfants à jamais; et David, mon serviteur, sera leur prince pour toujours.
Wataishi katika nchi niliwapatia watumishi wangu Yakobo, ambapo baba zenu walipoishi. Wataishi humo milele-wao, watoto wao, na wajukuu zao, kwa Daudi mtumishi wangu atakuwa mkuu wao milele.
26 Et je ferai avec eux une alliance de paix; un pacte avec eux sera éternel; et je les établirai solidement, et je les multiplierai, et je placerai mon sanctuaire au milieu d’eux pour toujours.
Nitaweka agano la amani pamoja nao. Litakuwa agano la milele pamoja nao. Nitawaweka na kuwazidisha na kupaweka mahali patakatifu pangu katikati yao milele.
27 Et mon tabernacle sera au milieu d’eux; et je serai leur Dieu, et eux seront mon peuple.
Maskani yangu yatakuwa pamoja nao; Nitakuwa Mungu wao, na watakuwa watu wangu.
28 Et les nations sauront que je suis le Seigneur, le sanctificateur d’Israël, lorsque mon sanctuaire sera au milieu d’eux pour toujours.
Kisha mataifa watajua yakwamba mimi ni Yahwe niliyewatenga Israeli, wakati mahali pangu patakatifu patakapokuwa katikati yao milele.”