< Ézéchiel 28 >
1 Et la parole du Seigneur me fut adressée, disant:
Kisha neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 Fils d’un homme, dis au prince de Tyr: Voici ce que dit le Seigneur Dieu: À cause que ton cœur s’est élevé, et que tu as dit: Moi je suis un Dieu, je suis assis sur le trône d’un Dieu au milieu de la mer, lorsque tu n’es qu’un homme et non un Dieu; parce que tu as posé ton cœur comme le cœur d’un Dieu;
“Mwanadamu, waambie watawala wa Tiro, 'Bwana Yahwe asema hivi: Moyo wako unakiburi! Umesema, “mimi ni mungu! Nitakaa kwenye kiti cha miungu katika moyo wa bahari!” Ingawa wewe ni mtu na sio mungu, unaufanya moyo wako kama moyo wa mungu,
3 Voilà que tu es plus sage que Daniel; aucun secret n’est caché pour toi.
unafikiri kwamba unahekima kuliko Danieli, na kwamba hakuna siri ikushangazayo!
4 Par la sagesse et ta prudence tu t’es créé de la puissance, et tu as amassé de l’or et de l’argent dans tes trésors.
Umejitajirisha mwenyewe pamoja na hekima na ujuzi, na kujipatia dhahabu na fedha katika hazina yako!
5 Par la grandeur de ta sagesse, et par ton commerce tu as multiplié ta puissance, et ton cœur s’est élevé dans ta force.
Kwa hekima kubwa na kwa biashara yako, umeongeza utajiri wako, hivyo moyo wako una kiburi kwa sababu ya utajiri yako.
6 À cause de cela, voici ce que dit le Seigneur Dieu: Parce que ton cœur s’est élevé comme le cœur d’un Dieu,
Kwa hiyo, Bwana Yahwe asema hivi: Kwa sababu umetengeza moyo wako kama moyo wa mungu,
7 À cause de cela, voici que moi j’amènerai sur toi des étrangers, les plus forts d’entre les nations, et ils tireront leurs glaives sur la beauté de ta sagesse, et ils souilleront ta splendeur.
kwa hiyo nitaleta wageni juu yako, watu wa kuogofya kutoka mataifa mengine. Wataleta panga zao juu hekima ya uzuri wako, na watauchafua uzuri wako.
8 Ils te tueront et te précipiteront dans la fosse, et tu mourras dans la destruction des tués au milieu de la mer.
Watakupeleka chini hata kwenye shimo, na utakufa kifo cha waliokufa katika Bahari.
9 Est-ce que tu parleras, disant: Je suis un Dieu, devant ceux qui te tueront; lorsque tu n’es qu’un homme et non un Dieu, dans la main de ceux qui te feront mourir?
Je! kweli utasema, “Mimi ni mungu” mbele ya uso wa yule akuuaye? Wewe ni mwanadamu na sio Mungu, na utakuwa kwenye mkono wa yule akujeruaye.
10 Tu mourras de la mort des incirconcis par la main des étrangers, parce que c’est moi qui ai parlé, dit le Seigneur Dieu.
Utakufa kifo cha asiyetahiriwa kwa mkono wa wageni kwa kuwa nimesema hili-asema Bwana Yahwe.
11 Et la parole du Seigneur me fut adressée, disant: Fils d’un homme, fais entendre un chant de deuil sur le roi de Tyr,
Neno la Yahwe likanijia, kusema,
12 Et tu lui diras: Voici ce que dit le Seigneur Dieu: Toi le sceau de la ressemblance de Dieu, toi plein de sagesse et parfait en beauté,
“Mwanadamu, inua maombolezo kwa ajili ya mfalme wa Tiro na umwambie, 'Bwana Yahwe asema hivi: Uliumbwa mkamilifu, umejaa hekima na ukamilifu wa hekima.
13 Tu as été dans les délices du paradis de Dieu; toute pierre précieuse était ta couverture: la sardoine, la topaze, le jaspe, la chrysolithe, l’onyx, le béryl, le saphir, l’escarboucle, l’émeraude; l’or servait à relever ta beauté; et tes bijoux percés ont été préparés pour le jour auquel tu as été créé.
Ulikuwa katika Edeni, bustani ya Mungu. Kila jiwe la thamani lilikufunika: akiki, yakuti manjano, almasi, zabarajadi, shohamu, yaspi, yakuti samawi, zumaridi, baharamani, na dhahabu. Ilikuwa siku uliyokuwa umeiumba ambayo walikuwa wameiandaa.
14 Tu étais un chérubin aux ailes étendues et protecteur; et je t’ai établi sur la montagne sainte de Dieu; et tu as marché au milieu de pierres étincelantes comme le feu.
Nimekuweka juu ya mlima mtakatifu wa Mungu kama kerubi nimekutia mafuta kwa ajili ya kumlinda mwanadamu. Ulikuwa kati ya mawe ya moto ulipozunguka.
15 Tu as été parfait dans tes voies depuis le jour de ta création jusqu’à ce que l’iniquité a été trouvée en toi.
Ulikuwa mwadilifu kwenye njia zako kutoka siku ulipoumbwa hadi uovu ulipoonekana ndani yako.
16 Dans la multiplication de ton commerce ton intérieur a été rempli d’iniquité, et tu as péché; et je t’ai chassé de la montagne de Dieu, et je t’ai exterminé, ô chérubin, couvrant le propitiatoire du milieu des pierres étincelantes comme le feu.
Kupitia biashara yako kubwa uliyokuwa umeijaza kwa udhalimu, hivyo umetenda dhambi. Hivyo nimekutupilia mbali ya mlima wa Mungu, kama mmoja wao wa aliyekuwa ameninajisi, na nimekuharibu, kerubi mlinzi, na kukutoa miongono mwa mawe ya moto.
17 Et ton cœur s’est élevé dans ta beauté: tu as perdu ta sagesse dans ta beauté; je t’ai jeté sur la terre, et je t’ai exposé devant la face des rois, afin qu’ils t’aperçussent.
Moyo wako ulikuwa na kiburi kwa uzuri wako; umeiharibu hekima yako kwa sababu ya fahari yako. Nimekupeleka chini kwenye dunia. Nimekuweka mbele ya wafalme ili waweze kukuona.
18 Dans la multitude de tes iniquités, et dans l’iniquité de ton commerce tu as souillé ton sanctuaire: je ferai donc sortir du milieu de toi un feu qui te dévorera, et je te réduirai en cendre sur la terre en présence de tous ceux qui te verront.
Kwa sababu ya wingi wa dhambi zako na biashara za udanganyifu, umepanajisi mahali pako patakatifu. Basi nimetengeneza moto kutoka ndani yako; utakula wewe. Nitakugeuza kwenye majivu juu ya dunia katika macho ya wote wakutazamao.
19 Tous ceux qui te verront parmi les nations seront frappés de stupeur sur toi; tu es devenu comme un néant, et tu ne seras plus à jamais.
Wale wote waliokujua miongoni mwa watu watakao kutetemekewa; watakuwa watu wa kutisha, na hutakuwepo tena milele.”'
20 Et la parole du Seigneur me fut adressée, disant:
Kisha neno la Bwana Yahwe likanijia, kusema,
21 Fils d’un homme, tourne ton visage contre Sidon; et tu prophétiseras sur elle,
“Mwanadamu, elekeza uso wako Sidoni na toa utabiri juu yake.
22 Et tu diras: Voici ce que dit le Seigneur Dieu: Voilà que je viens vers toi, Sidon, et je serai glorifié au milieu de toi; et ils sauront que je suis le Seigneur, lorsque j’aurai exercé sur elle des jugements, et que j’aurai été sanctifié en elle.
Sema, Bwana Yahwe asema hivi: Tazama! Niko juu yako, Sidoni! Kwa kuwa nitatukuzwa kati yako hivyo watu wako watajua kwamba mimi ni Yahwe wakati nitakapokuwa nimezitekeleza hukumu ndani yako. Nitaonyesha utakatifu ndani yako.
23 Et je lui enverrai la peste et le sang sur ses places publiques; et les tués tomberont au milieu d’elles par le glaive qui frappera tout autour; et ils sauront que je suis le Seigneur.
Nitapeleka tauni juu yako na tazama mitaa yako, na walioua wataanguka kati yako. Wakati upanga utakapokuja juu yao kutoka pande zote, kisha mtajua kwamba mimi ni Yahwe.
24 Et elle ne sera plus pour la maison d’Israël une pierre d’achoppement, et un sujet d’amertume, et une épine causant de la douleur de tous côtés à ceux qui l’environnent et qui la combattent; et ils sauront que je suis le Seigneur Dieu.
Kisha hakutakuwa na mtemba uchomao na maumivu ya miba kwa ajili ya nyumba ya Israeli kutoka wale wote waliomzunguka wanaowadharau watu wake, hivyo watajua kwamba mimi ni Bwana Yahwe!'
25 Voici ce que dit le Seigneur Dieu: Lorsque j’aurai rassemblé la maison d’Israël du milieu des peuples parmi lesquels ils ont été dispersés, je serai sanctifié parmi eux devant les nations; et ils habiteront dans leur terre, que j’ai donnée à mon serviteur Jacob.
Bwana Yahwe asema hivi, Nitakapowakusanya nyumba ya Israeli kutoka miongni mwa watu waliokuwa wamekusanyika, na wakati nilipokuwa nimewatenga miongoni mwao, hivyo mataifa aanaweza kuona, kisha watafanya nyumba zao katika nchi nitakayo mpatia mtumishi wangu Yakobo.
26 Et ils y habiteront avec sécurité, et ils bâtiront des maisons, et ils planteront des vignes, et ils habiteront avec confiance, lorsque j’aurai exercé des jugements sur tous ceux qui les environnent et qui les combattent, et ils sauront que je suis le Seigneur leur Dieu.
Kisha wataishi salama ndani yake na kujenga nyumba, kulima mizabibu, na kuishi salama wakati nitakapo zitekeleza hukumu juu ya wote wale ambao sasa wanawadharau kutoka sehemu zote; basi watajua yakwamba mimi ni Yahwe Mungu wao!”'