< Exode 23 >
1 Tu n’accueilleras point une parole de mensonge, et tu ne prêteras pas ta main de manière à dire en faveur de l’impie un faux témoignage.
Haupaswi kutoa taarifa ya uongo kuhusu yeyote. usijiunge na mwanaume muovu kuwa shahidi wa uongo.
2 Tu ne suivras point la multitude pour faire le mal; et en jugement tu n’acquiesceras pas à l’avis du plus grand nombre pour dévier de la vérité.
Haupaswi kufuata umati kufanya uovu, wala kutoa ushahidi ukiwa na umati ili kupotosha haki.
3 Tu n’auras point non plus compassion du pauvre en jugement.
Haupaswi kumpendelea mwanaume maskini kwenye kesi yake.
4 Si tu rencontres le bœuf de ton ennemi, ou son âne égaré, ramène-le-lui.
Ukikutana na ng'ombe wa adui wako au punda wake amepotea, lazima umrudishie.
5 Si tu vois l’âne de celui qui te hait tombé sous le fardeau, tu ne passeras pas outre, mais tu le relèveras avec lui.
Ukiona punda wa yule anaye kuchukia ameanguka chini na mzigo wake, hauta muacha huyo mtu. Lazima umsaidie na punda wake
6 Ne fais point d’écarts dans le jugement du pauvre.
Haupaswi kupotosha haki kama yapaswa kwenda kwa watu maskini katika kesi ya mwanaume maskini.
7 Tu fuiras le mensonge; tu ne feras point mourir l’innocent et le juste, parce que j’ai l’impie en aversion.
Usijiunge na wengine kufanya shutuma za uongo, na usiue asiye na hatia wala mwenye haki, kwa kuwa sitamuacha muovu.
8 Tu ne recevras point de présents, qui aveuglent même les sages et corrompent les paroles des justes.
Husiwai chukuwa rushwa, kwa kuwa rushwa inawapofusha wanaoona, na kupotosha maneno ya wakweli.
9 Tu ne seras point fâcheux pour l’étranger; car vous connaissez les âmes des étrangers, puisque vous-mêmes, vous avez été étrangers dans la terre d’Egypte.
Haupaswi kumnyanyasa mgeni, kwa kuwa wewe ulikuwa mgeni katika nchi ya Misri.
10 Pendant six ans tu sèmeras ta terre et tu en recueilleras les fruits.
Kwa miaka sita utapanda mbegu kwenye nchi yako na kukusanya mazao yake.
11 Mais à la septième année, tu la laisseras et tu la feras reposer, afin que les pauvres de ton peuple mangent, et que tout ce qui sera de reste, les bêtes de la campagne le mangent: ainsi tu feras pour ta vigne et pour ton plant d’oliviers.
Lakini katika mwezi wa saba utaacha hakujalimwa, ili kwamba maskini miongoni mwenu wale. Wanacho acha, wanyama wa porini watakula. Utafanya hivyo na mashamba yenu ya mizabibu na ya mizaituni.
12 Pendant six jours tu travailleras, mais au septième jour tu cesseras, afin que ton bœuf et ton âne se reposent, et que le fils de ta servante, et l’étranger reprennent des forces.
Wakati wa siku sita utafanya kazi, lakini siku ta saba utapumzika. Fanya hivi ili ng'ombe na punda wako wapumzike, na ili wana wa watumwa wako wa kike na wageni wapumzike na kupata hauweni.
13 Gardez toutes les choses que je vous ai dites, et vous ne jurerez point par le nom des dieux étrangers, et on ne l’entendra pas de votre bouche.
Kuwa makini kwa kila kitu nilicho kwambia. Husitaje majina ya miungu mingine, wala kuruhusu majina yao kusikika kutoka mdomoni mwako.
14 Trois fois chaque année vous célébrerez des fêtes en mon honneur.
Lazima usafiri kusherehekea mara tatu kwa ajili yangu kila mwaka.
15 Tu garderas la solennité des azymes. Durant sept jours tu mangeras des azymes, comme je t’ai ordonné, au temps du mois des nouveaux fruits, quand tu es sorti de l’Egypte: tu ne paraîtras pas en ma présence les mains vides.
Lazima uadhimishe sherehe ya Mkate usiotiwa Chachu. Kama nilivyo kuamuru, utakula mkate usiotiwa chachu kwa siku saba. Wakati huo, utajitokeza kwangu mwezi wa Abibu, uliowekwa kwa ajili ya kusudi hili. Ni kwa mwezi huu uliyo toka Misri. Lakini usijitokeze kwangu mikono mitupu.
16 Tu garderas de plus la solennité de la moisson des prémices de ton travail, quoi que ce soit que tu aies semé dans ton champ; et aussi la solennité à la fin de l’année, quand tu auras recueilli tous les fruits de ton champ.
Lazima uadhimishe Sherehe ya Mavuno, matunda ya kwanza ya kazi yako ulipo panda mbegu shambani. Pia lazima uadhimishe Sherehe ya Ukusanyaji wa mwisho wa mwaka, unapo kusanya mazao yako kutoka shambani.
17 Trois fois dans l’année, paraîtront tous tes mâles en présence de moi, le Seigneur ton Dieu.
Wanaume wote wako lazima wajitokeze kwa Bwana Yahweh mara tatu kila mwaka.
18 Tu ne sacrifieras point sur du levain le sang de ma victime, et la graisse de ma solennité ne demeurera point jusqu’au matin.
Haupaswi kutoa damu iliyo tolewa dhabihu kwangu na mkate uliyotiwa hamira. Mafuta kutoka kwa dhabihu za sherehe zangu hayapaswi kubaki usiku wote mpaka asubui.
19 Tu apporteras les prémices du fruit de ta terre dans la maison du Seigneur ton Dieu. Tu ne feras point cuire un chevreau dans le lait de sa mère.
Lazima ulete matunda ya kwanza bora kutoka shambani mwako ndani ya nyumba yangu, nyumba ya Yahweh Mungu wako. Haupaswi kumchemsha mbuzi mtoto akiwa bado ananyonya.
20 Voilà que moi, j’enverrai mon ange, afin qu’il te précède et te garde dans le chemin, et qu’il t’introduise dans le lieu que j’ai préparé.
Ninaenda kumleta malaika mbele yako kukuongoza njiani, na kukuleta sehemu niliyo iandaa.
21 Respecte-le, écoute sa voix, et ne pense pas à le mépriser, parce qu’il ne te pardonnera point, lorsque tu pécheras, et que mon nom est en lui.
Kuwa makini naye na kumtii.
22 Que si tu écoutes sa voix, et que tu fasses tout ce que je te dis, je serai un ennemi pour ton ennemi, et j’affligerai ceux qui t’affligeront.
Husimkasirishe, kwa kuwa hatasamehe makosa yako. Jina langu liko kwake. Kama hakika ukimtii sauti yake na kufanya kila ninacho kwambia, kisha nitakuwa adui kwa adui zako na mpinzani kwa wapinzani wako.
23 Et mon ange te précédera, et il t’introduira chez l’Amorrhéen, l’Héthéen, le Phérézéen, le Chananéen, l’Hévéen et le Jébuséen, que j’écraserai.
Malaika mwangu ataenda mbele zako na kukuleta kwa Waamori, Wahiti, Waperizi, Wakanani, Wahivi, na Wayebusi. Nitawaharibu.
24 Tu n’adoreras point leurs dieux et tu ne les serviras pas; tu ne feras point leurs œuvres, mais tu les détruiras et tu briseras leurs statues.
Haupaswi kuinamia miungu yao, kuabudu, au kufanya wanavyo fanya. Badala yake, lazima uwapindue kabisa na kuvunja nguzo zao za mawe vipande vipande.
25 Vous servirez le Seigneur votre Dieu, afin que je bénisse tes pains et tes eaux, et que j’enlève la maladie du milieu de toi.
Lazima umuabudu Yahweh Mungu wako, na atabariki mkate wako na maji. Nitaondoa magonjwa miongoni mwenu.
26 Il n’y aura ni femme inféconde, ni stérile dans ta terre: je remplirai le nombre de tes jours.
Hakuna mwanamke atakaye kuwa tasa au mimba kuharibika katika nchi yako. Nitawapa maisha marefu.
27 J’enverrai ma terreur en avant de toi, et je ferai mourir tout peuple chez lequel tu entreras, et je ferai tourner le dos à tous tes ennemis devant toi;
Nitatuma hofu yangu kwao ambao mnaenda. Nitaua wote mnao kutana nao. Nitafanya maadui zenu wawaogope kwa kugeuza migongo yao kwenu.
28 Envoyant d’abord les frelons, qui mettront en fuite l’Hévéen, le Chananéen et l’Héthéen, avant que tu entres.
Nitatuma mavu kwenu watakao fukuza Wahivi, Wakanani, na Wahiti mbele zenu.
29 Je ne les chasserai pas de devant ta face en une seule année, de peur que la terre ne soit réduite en solitude, et que les bêtes sauvages ne se multiplient contre toi.
Sitawaondoa kwenu kwa mwaka mmoja, au nchi itakuwa imetelekezwa, na wanyama wa porini watakuwa wengi kwenu.
30 C’est peu à peu que je les chasserai de ta présence, jusqu’à ce que tu croisses en nombre et que tu possèdes cette terre.
Badala yake, nitawafukuza kidogo kidogo kutoka kwenu mpaka utakapo kuwa umestawi na kurithi nchi.
31 Je poserai tes limites depuis la mer Rouge jusqu’à la mer des Philistins, et depuis le désert jusqu’au fleuve: je livrerai entre vos mains les habitants de cette terre, et les chasserai de votre présence.
Nitatengeneza mipaka yako kutoka Bahari ya Shamu hadi Bahari ya Wafilisti, na kutoka nyikani hadi Mto Frati. Nitakupa ushindi juu ya wakazi wote wa nchi. Utawaondoa kutoka kwako mwenyewe.
32 Tu ne feras point d’alliance avec eux, ni avec leurs dieux.
Haupaswi kufanya agano na wao au na miungu yao.
33 Qu’ils n’habitent point dans ta terre, de peur qu’ils ne le fassent pécher contre moi, si tu sers leurs dieux; ce qui certainement serait pour toi un scandale.
Hawapaswi kuishi nchini mwako, au watakufanya ufanya dhambi dhidi yangu. Ukiabudu miungu yao, hakika watakuwa mtego kwako.'”