< Deutéronome 5 >

1 Or, Moïse appela tout Israël et lui dit: Ecoute, Israël, les cérémonies et les ordonnances que moi, je vous fais entendre aujourd’hui; apprenez-les et les accomplissez par vos œuvres.
Musa aliwaita Israeli yote na akasema nao, “Sikiliza, Israeli, kwa amri na sheria ambazo nitasema katika masikio yenu leo, muweze kujifunza na kuzishika.
2 Le Seigneur notre Dieu a fait avec nous une alliance à Horeb.
Yahwe Mungu wetu alifanya agano nasi huko Horeb.
3 Ce n’est pas avec nos pères qu’il a fait cette alliance, mais avec nous qui sommes maintenant et qui vivons.
Yahwe hakufanya agano hili pamoja na mababu zetu, lakini na sisi, sisi wote tu hai hapa leo.
4 Il nous a parlé face à face sur la montagne du milieu du feu.
Yahwe alizungumza nawe uso kwa uso kwenye mlima toka katikati mwa moto
5 C’est moi qui fus l’interprète et le médiateur entre le Seigneur et vous en ce temps-là, pour vous annoncer ses paroles; car vous craignîtes le feu, et vous ne montâtes pas sur la montagne, et il dit:
(Nilisimama kati ya Yahwe na wewe kwa wakati huo, kukufunulia wewe neno lake, kwa kuwa ulikuwa umeogopa kwa sababu ya moto, na haukwenda juu ya mlima), Yahwe alisema,
6 Je suis le Seigneur ton Dieu qui t’ai retiré de la terre d’Egypte, de la maison de servitude.
'Mimi ni Yahweh Mungu wako, niliyekutoa katika nchi ya Misri, kutoka nyumba ya utumwa.
7 Tu n’auras point de dieux étrangers en ma présence.
Hautakuwa na miungu mingine mbele yangu.
8 Tu ne te feras point d’image taillée au ciseau, ni de représentation de tout ce qui est dans le ciel en haut, et de ce qui est sur la terre en bas, et de ce qui se trouve dans les eaux sous la terre.
Hautajifanyia mwenyewe sanamu ya kuchonga wala mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, au kilicho chini ya dunia, au kilicho chini ya maji.
9 Tu ne les adoreras pas et tu ne les serviras pas. Car c’est moi qui suis le Seigneur ton Dieu, Dieu jaloux, rejetant l’iniquité des pères sur les enfants jusqu’à la troisième et la quatrième génération de ceux qui me haïssent,
Hautavisujudia au kuvitumikia, kwa kuwa Mimi, Yahwe Mungu wako, ni Mungu wa wivu, Nawaadhibu uovu wa mababu kwa kuleta adhabu juu ya watoto, kwa kizazi cha tatu na cha nne cha wale wanichukiao,
10 Et faisant miséricorde dans plusieurs milliers de générations, à ceux qui m’aiment et gardent mes préceptes.
na kuonesha agano la uaminifu kwa maelfu, kwa wale wanaonipenda na kushika amri zangu.
11 Tu ne prendras point le nom du Seigneur ton Dieu en vain: car il ne sera pas impuni, celui qui pour une chose vaine prendra son nom.
Hautalichukua jina la Yahwe Mungu wako bure, kwa kuwa Yahwe hatamshikilia kuwa ana hatia yeye alichukuae jina bure.
12 Observe le jour du sabbat, afin de le sanctifier, comme t’a ordonné le Seigneur ton Dieu.
Zingantia siku ya Sabato kwa kuiweka takatifu, kama Yahwe Mungu wako alivyokuamuru.
13 Pendant six jours tu travailleras, et tu feras tous tes ouvrages.
Kwa siku sita utafanya kazi na fanya kazi zako zote,
14 Mais le septième jour est celui du sabbat, c’est-à-dire le repos du Seigneur ton Dieu. Tu ne feras en ce jour aucun ouvrage, ni toi, ni ton fils, ni ta fille, ni ton serviteur, ni ta servante, ni ton bœuf, ni ton âne, ni aucune de tes bêtes, ni l’étranger qui est au-dedans de tes portes; afin que ton serviteur et ta servante se reposent comme toi aussi.
lakini siku ya saba ni Sabato kwa Yahwe Mungu wako. Kwa siku hiyo hautafanya kazi yoyote- si wewe, wala mwana wako, wala binti yako, wala mjakazi wako wa kiume, wala maksai wako, wala punda wako, wala mifugo wako, wala mgeni yeyote aliye katika malango yako. Hii ni kwamba mjakazi wako wa kiume na mjakazi wako wa kike wapate kumpuzika pamoja na wewe.
15 Souviens-toi que toi-même aussi tu as servi en Egypte, et que le Seigneur ton Dieu t’en a retiré par une main puissante et un bras étendu. C’est pourquoi il t’a ordonné d’observer le jour du sabbat.
Utakumbuka katika akili yako kwamba ulikuo mtumwa katika nchi ya Misri, na Yahwe Mungu wako alikutoa kutoka huko kwa mkono wa uweza na mkono ulionyoshwa. Kwa hiyo Yahwe Mungu wako amekuamuru kuitunza siku ya Sabato.
16 Honore ton père et ta mère, comme t’a ordonné le Seigneur ton Dieu, afin que tu vives longtemps, et que bien t’arrive dans la terre que le Seigneur ton Dieu va te donner.
Mheshimu baba yako na mama yako, kama Yahwe Mungu wako alivyokuamuru kufanya, ili kwamba uweze kuishi muda mrefu katika nchi ambayo Yahwe Mungu wako akupa, ili kwamba iende kwa uzuri kwako.
17 Tu ne tueras point.
Hautaua,
18 Tu ne commettras point d’adultère.
hautazini,
19 Et tu ne feras point de vol.
hautaiba,
20 Tu ne porteras point de faux témoignage contre ton prochain.
hautashuhudia uongo dhidi ya ndugu yako.
21 Tu ne convoiteras point la femme de ton prochain, ni sa maison, ni son champ, ni son serviteur, ni sa servante, ni son bœuf, ni son âne, ni aucune des choses qui sont à lui.
Hautamtamani mke wa jirani yako, hautatamani nyumba ya jirani yako, shamba lake, au mjakazi wake wa kiume, au mjakazi wake wa kike, maksai au punda wako, au chochote ambacho ni mali ya jirani yako.
22 Ce sont là les paroles qu’a dites le Seigneur à toute votre multitude, sur la montagne, du milieu du feu, de la nuée et de l’obscurité, avec une voix forte, n’ajoutant rien de plus; et il les écrivit sur deux tables de pierre, qu’il me remit.
Haya maneno Yahwe alisema kwa sauti kubwa kwa kusanyiko lako lote kwenye mlima toka katikati mwa moto, mawingu, giza zito, hakuongeza maneno yoyote zaidi. Na aliandika chini kwenye mbao mbili za mawe na akanipa mimi.
23 Mais vous, après que vous eûtes entendu sa voix du milieu des ténèbres et que vous eûtes vu la montagne embrasée, vous vous approchâtes de moi, tous les princes des tribus, et les anciens, et vous dites:
Ilipokaribia, pindi uliposikia sauti toka katikati mwa giza, wakati mlima unawaka moto, kuwa mlikuja karibu nami, wazee wako wote, na wakuu wa makibila yako.
24 Voilà que le Seigneur notre Dieu nous a montré sa majesté et sa grandeur; nous avons entendu sa voix du milieu du feu, et nous avons éprouvé aujourd’hui, que Dieu ayant parlé avec l’homme, l’homme conserve la vie.
Ulisema, Tazama, Yahwe Mungu wetu ametuonesha utukufu wake na ukuu wake, na tumeisikia sauti yake toka katikati mwa moto, tumeona leo kwamba wakati Mungu azungumza na watu, wanaweza kuishi.
25 Pourquoi donc mourrons nous, et ce très grand feu nous dévorera-t-il? Car si nous entendons encore la voix du Seigneur notre Dieu, nous mourrons.
Lakini kwanini tufe? Kwa kuwa mto huu mkuu utatutoshereza sisi; kama tutasikia sauti ya Yahwe Mungu wetu tena, tutakufa.
26 Qu’est toute chair, pour qu’elle entende la voix du Dieu vivant, qui parle du milieu du feu, comme nous avons entendu, et qu’elle puisse vivre?
Kwa kuwa badala yetu kuna miongoni mwetu wa mwili ambao wamesikia sauti ya Mungu aliye hai akizungumza toka katikati mwa moto na kuishi, kama tulivyofanya?
27 Approche plutôt, toi, et écoute tout ce que te dira le Seigneur notre Dieu; tu nous le rapporteras ensuite, et, l’ayant entendu, nous le ferons.
Kwenu ninyi, mnapaswa kwenda na kusikiliza kila kitu ambacho Yahwe Mungu wetu asema; rudia kwetu kila kitu ambacho Yahwe Mungu wetu asema kwenu; tutamsikiliza na kumtii.'
28 Ce qu’ayant entendu le Seigneur, il me dit: J’ai entendu la voix des paroles de ce peuple, lorsqu’ils t’ont parlé: ils ont bien dit toutes ces choses.
Yahweh alisikia maneno yenu pindi mlipozungumza nami. Alisema na mimi, “Nimekwisha sikia maneno ya watu hawa, kile wanasema kwako. Kile walichosema kilikuwa kizuri.
29 Qui leur donnera d’avoir un esprit tel, qu’ils me craignent, et qu’ils gardent tous mes commandements en tout temps, afin que bien leur arrive, à eux et à leurs enfants pour jamais.
Oh, kulikuwa na moyo wa namba hiyo ndani yao, kwamba wataniheshimu na daima kushika amri zangu zote, ili iweze kuwa vizuri kwao na pamoja na watoto wao milele!
30 Va, et dis-leur: Retournez en vos tentes.
Nenda useme nao, “Rudini kwenye mahema.”
31 Mais toi, demeure ici avec moi, et je te dirai tous mes commandements, les cérémonies et les ordonnances, que tu leur enseigneras, afin qu’ils les pratiquent dans la terre que je leur donnerai en possession.
Lakini kwenu, simama karibu nami, na nitakuambia amri zote, sheria, na maagizo ambayo mtawafundisha, ili kwamba waweze kuyashika katika nchi ambayo nitawapa kumiliki.'
32 Gardez donc et faites ce que vous a ordonné le Seigneur votre Dieu; vous ne vous détournerez ni à droite ni à gauche;
Utashika, kwa hiyo, kile Yahwe Mungu wenu amewaamuru; hamtageukia mkono wa kulia au kushoto.
33 Mais c’est par la voie qu’a prescrite le Seigneur votre Dieu que vous marcherez, afin que vous viviez et que bien vous arrive, et que vos jours soient prolongés dans la terre de votre possession.
Mtatembea katika njia zote ambazo Yahwe Mungu wenu, amewaamuru ili kusudi muweze kuishi, na ili kwamba iweze kwenda vizuri kwenu, na kwamba muweze kuongeza siku zenu katika nchi ambayo mtaimiliki.

< Deutéronome 5 >