< Deutéronome 20 >

1 Lorsque tu sortiras pour la guerre contre tes ennemis, et que tu verras une cavalerie, des chars, et un corps d’armée ennemie plus considérable que celui que tu auras, tu ne les craindras point, parce que le Seigneur ton Dieu est avec toi, lui qui t’a retiré de l’Egypte.
Pindi utokapo kwenda vitani kupigana dhidi ya adui zako, na kuona farasi, magari, na watu wengi zaidi kuliko wewe, haupaswi kuwaogopa; kwa kuwa Yahwe Mungu wako yu pamoja nawe, yeye aliyekuleta kutoka nchi ya Misri.
2 Or, le combat approchant, le prêtre se tiendra devant l’armée, et c’est ainsi qu’il parlera, au peuple:
Wakati unakaribia kuingia kwenye vita, kuhani anapaswa kuwasogelea na kuongea na watu.
3 Ecoute, Israël: c’est vous qui aujourd’hui engagez le combat contre vos ennemis; que votre cœur ne s’épouvante point, ne craignez point, ne reculez point, ne les redoutez point;
Anapaswa kuwaambia,”Sikilizeni, Israel, mnaenda kupigana dhidi ya maadui zenu. Msidhofishe moyo wenu. Msiohofu au kutetemeka. Msiwaogope.
4 Parce que le Seigneur votre Dieu est au milieu de vous, et il combattra pour vous contre vos adversaires, pour vous délivrer du péril.
Kwa kuwa Yahwe Mungu wenu ndiye aendae pamoja nanyi kupigana kwa ajili yenu dhidi ya maadui zenu na kuwaokoa.
5 Les chefs aussi crieront chacun à la tête de son corps, l’armée entendant: Quel est l’homme qui a bâti une maison neuve, et qui ne l’ait pas encore dédiée? qu’il s’en aille et retourne en sa maison, de peur qu’il ne meure à la guerre, et qu’un autre ne la dédie.
Maakida wanapaswa kuzungumza na watu na kusema, “Ni mtu yupi aliyejenga nyumba mpya na hajaiweka wakfu? Acha aende na arudi nyumbani kwake, ili kwamba asife vitani na mtu mwingine aiweke wakfu.
6 Quel est l’homme qui a planté une vigne, et qui n’a pas fait encore qu’elle fût commune, pour qu’il soit permis à tous d’en manger? qu’il s’en aille, et qu’il retourne en sa maison, de peur qu’il ne meure à la guerre, et qu’un autre homme ne fasse ce qu’il devait faire.
Kuna yeyote ambaye amepanda mzabibu na hajafurahia matunda yake? Acha aende nyumbani, ili kwamba asife vitani na mtu mwingine afurahie matunda yake.
7 Quel est l’homme qui a été fiancé à une fille et qui ne l’a pas épousée? qu’il s’en aille et retourne en sa maison, de peur qu’il ne meure à la guerre, et qu’un autre homme ne l’épouse.
Ni mtu yupi aliyeposa kuoa mwanamke lakini bado hajamuoa? Acha aende nyumbani ili kwamba asife vitani na mume mwingine amuoa.”
8 Ces choses dites, ils ajouteront le reste, et ils diront au peuple: Quel est l’homme craintif et d’un cœur timide? qu’il s’en aille et retourne en sa maison, de peur qu’il ne jette la frayeur dans le cœur de ses frères, comme il est lui-même frappé de crainte.
Maakida wanapaswa kuzungumza zaidi kwa watu na kusema, “Ni mwanaume gani aliye hapa ambaye ni mwenye hofu au mnyonge? Acha aende na arudi nyumbani kwake, ili kwamba moyo wa ndugu yake usiyeyuke kama moyo wake.
9 Et lorsque les chefs de l’armée auront cessé de parler, chacun préparera ses bataillons à combattre.
Wakati maakida wamemaliza kuzungumza na watu, wanapaswa kuteua majemedari juu yao.
10 Si quelquefois tu t’approches pour assiéger une ville, tu lui offriras d’abord la paix.
Wakati mtokapo kuteka mji, wafanye watu hao toleo la amani.
11 Si elle l’accepte et t’ouvre ses portes, tout le peuple qui est en elle sera sauvé, et te servira en te payant le tribut.
Kama watapokea amani na kufungua malango yao kwako, watu wote wanaopatikana ndani yake wanapaswa kulazimishwa kukufanyia kazi na wanapaswa kukutumikia.
12 Mais si elle ne veut point faire alliance, et qu’elle commence contre toi la guerre, tu l’assiégeras.
Lakini kama haitengenezi amani kwenu, lakani badala yake inatengeneza vita dhidi yenu, basi mnapaswa kumruhusu,
13 Et lorsque le Seigneur ton Dieu l’aura livrée en ta main, tu frapperas tout ce qui est en elle du sexe masculin, du tranchant du glaive,
na wakati Yahwe Mungu wenu anawapa ushindi na kuwaweka chini ya utawala wenu, mnapaswa kuua kila mtu katika mji.
14 Hormis les femmes, les enfants, les bestiaux, et tout le reste qui sera dans la ville. Tu partageras tout le butin à l’armée, et tu mangeras les dépouilles de tes ennemis que le Seigneur ton Dieu t’aura données.
Lakini wanawake, wadogo, ng'ombe, na kila kitu kilicho ndani ya mji, na nyara zake zote, utavichukua kama mateka yako. Nawe utawamaliza mateka wa maadui zako, ambao Yahwe Mungu amekupa.
15 C’est ainsi que tu feras à toutes les cités qui sont très éloignées de toi, et qui ne sont pas de ces villes que tu vas posséder.
Unapaswa kuifanyia hivyo kuelekea miji yote ambayo iko mbali nawe, miji ambayo siyo miji ya mataifa yafuatayo.
16 Mais quant à ces villes qui te seront données, tu ne laisseras vivre absolument personne,
Katika miji ya watu hawa ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa kama urithi, mnapaswa kutunza chochote kilicho na uhai.
17 Mais tu tueras par le tranchant du glaive, savoir: l’Héthéen, l’Amorréhen, le Chananéen, le Phéréséen, l’Hévéen, et le Jébuséen, comme t’a ordonné le Seigneur ton Dieu;
Badala yake, mnapaswa kabisa kuagamiza: Hittite, na Amorite, Wakanani, Waperezi, Hivite, na Wabusi, kama Yahwe Mungu wenu alivyowaamuru.
18 Afin qu’il ne vous apprennent pas à faire toutes ces abominations qu’ils ont commises eux-mêmes pour leurs dieux, et que vous ne péchiez pas contre le Seigneur votre Dieu.
Fanya hivi ili kwamba wasiwafundishe kufanya katika njia za machukizo, kama walivyofanya kwa miungu yao. Kama mtafanya, mtafanya dhambi dhidi ya Yahwe Mungu wenu.
19 Quand tu assiégeras une ville longtemps et que tu l’entoureras de circonvallations, afin de la réduire, tu ne couperas point les arbres du fruit desquels on peut se nourrir, et tu ne dois point ravager avec des cognées la contrée d’alentour; parce que c’est du bois et non pas des hommes, et qu’il ne peut accroître le nombre de ceux qui combattent contre toi.
Wakati mtakapouzingira mji kwa muda mrefu, huku mkipigana dhidi yake kuuteka, hampaswi kuharibu miti yake kwa kushika shoka dhidi yake. Kwa kuwa utaweza kula matunda yake, kwa hiyo usiikate. Kwa maana mti wa kondeni mtu ambaye atauzingira?
20 Mais si quelques-uns de ces arbres ne sont pas fruitiers, mais sauvages et propres à tous les autres usages, coupe-les, et construis-en des machines, jusqu’à ce que tu aies pris la ville qui combat contre toi.
Ila miti ambayo unaijua siyo miti ya chakula, unaweza kuharibu na kuikata chini; utajenga maburuji dhidi ya mji unaofanya vita nawe, mpaka uanguke.

< Deutéronome 20 >