< Deutéronome 18 >
1 Les prêtres, les Lévites, et tous ceux qui sont de la même tribu n’auront point de part et d’héritage avec le reste d’Israël, parce qu’ils mangeront des sacrifices du Seigneur et de ses oblations;
Makuhani, ambao ni Walawi, na makabila yote ya Lawi, hayatakuwa na mgao wala urithi pamoja na Israel; wanapaswa kula dhabihu ya Yahwe iliyotengenezwa kwa moto kama urithi wao.
2 Et ils ne recevront rien autre chose de la possession de leurs frères; car le Seigneur lui-même est leur héritage, comme il leur a dit.
Hawatakuwa na urithi miongoni mwa ndugu zao; Yahwe ni urithi wao, kama alivyosema nao.
3 Voici le droit des prêtres sur le peuple, et sur ceux qui offrent les victimes; soit qu’ils immolent un bœuf ou une brebis, ils donneront au prêtre l’épaule et la poitrine;
Hii ni sababu ya makuhani kutoka kwa watu, kutoka kwa wale wanaotoa dhabihu, kama itakuwa ng'ombe au kondoo: wanapaswa kutoa kwa kuhani bega, mashavu mawili, na sehemu za ndani.
4 Les prémices du blé, du vin, de l’huile et une partie de la tonte des brebis;
Mazao ya kwanza ya nafaka zako, mvinyo wako mpya, na mafuta yako, na manyoya ya kwanza ya kondoo zako, unapaswa umpe.
5 Car c’est lui que le Seigneur ton Dieu a choisi d’entre toutes les tribus, afin qu’il assiste devant le Seigneur, et qu’il exerce le ministère en son nom, lui et ses enfants pour toujours.
Kwa kuwa Yahwe Mungu wako amemchagua kutoka kwenye makabila yote yako kusimama kutumika kwa jina la Yahwe, yeye na wana wake milele.
6 Si un Lévite sort d’une de vos villes de tout Israël, dans laquelle il habite, et qu’il veuille et désire venir au lieu qu’aura choisi le Seigneur,
Kama Mlawi anatoka kati ya miji yenu nje ya Israel yote kutoka ambapo anaishi, na utamani kwa moyo wake wote kuja katika eneo Yahwe atachagua,
7 Il exercera le ministère au nom du Seigneur son Dieu, comme tous ses frères les Lévites, qui assisteront en ce temps-là devant le Seigneur.
basi anapaswa kutumika kwa jina la Yahwe Mungu wake kama ndugu zake wote Walawi wanafanya, wanaosimama mbele ya Yahwe.
8 Il recevra la même part d’aliments que tous les autres, outre ce qu’il lui est dû dans sa ville de la succession paternelle.
Wanapaswa kuwa na mgao wa kufanana wa kula, badala ya kile kinachokuja kutokana na mauzo ya urithi wa familia yake.
9 Quand tu seras entré dans la terre que le Seigneur ton Dieu te donnera, prends garde de vouloir imiter les abominations de ces nations;
Wakati mmekuja katika nchi ambayo Yahwe Mungu wenu anawapa, mnapaswa kujifunza kuangalia machukizo ya mataifa.
10 Et qu’il ne se trouve au milieu de toi personne qui purifie son fils ou sa fille, les faisant passer par le feu, ou qui interroge des devins, et qui observe les songes et les augures, ni qui use de maléfices,
Pasipatikana miongoni mwenu mmoja anayemweka kijana wake au binti yake kwenye moto, yeyote anatumia uganga, yeyote anatabiri, au mchawi, mchawi yeyote,
11 Ni qui soit enchanteur, ni qui consulte ceux qui ont l’esprit de python et les devins, ou qui demande aux morts la vérité;
yeyote aongeae na wafu, au yeyote aongeae na roho.
12 Car le Seigneur a toutes ces choses en abomination, et c’est à cause de ces sortes de crimes qu’il détruira ces nations à ton entrée.
Kwa yeyote afanyae mambo haya ni chukizo kwa Yahwe; ni kwa sababu ya machukizo haya ambayo Yahwe Mungu wenu anawaondosha mbele zenu.
13 Tu seras parfait et sans tache avec le Seigneur ton Dieu.
Mnapaswa kuwa wakamilifu mbele ya Yahwe Mungu wenu.
14 Ces nations dont tu posséderas la terre, écoutent les augures et les devins; mais toi, tu as été instruit autrement par le Seigneur ton Dieu.
Kwa mataifa haya ambayo mtayafukuza kusikiliza wale wafanyao uchawi na uganga; lakini kwenu, Yahwe Mungu wenu amewakataza ninyi kufanya hivyo.
15 Le Seigneur ton Dieu te suscitera un Prophète de ta nation et d’entre tes frères, comme moi; c’est lui que tu écouteras;
Yahwe Mungu wenu atainua kwa ajili yenu nabii kutoka miongoni mwenu, mmoja wa ndugu zenu, kama mimi. Mnapaswa kumsikiliza.
16 Comme tu as demandé au Seigneur ton Dieu à Horeb, quand l’assemblée fut réunie, et comme tu as dit: Que je n’entende plus la voix du Seigneur mon Dieu, et que je ne voie plus ce très grand feu, afin que je ne meure pas.
Hiki ndicho mlichouliza kutoka kwa Yahwe Mungu wenu huko Horebu katika siku ya kusanyiko, kusema, “Acha tusisikie tena sauti ya Yahwe Mungu wetu, wala kuona moto mkuu tena, wala tutakufa.”
17 Et le Seigneur me répondit: Ils ont bien dit toutes choses.
Yahwe alisema nami, “Kile walichosema ni kizuri.
18 Je leur susciterai un prophète du milieu de leurs frères, semblable à toi, et je mettrai mes paroles en sa bouche, et il leur dira tout ce que je lui aurai ordonné.
Nitamwinua nabii kwa ajili yao kutoka miongoni mwa ndugu zao, kama wewe. Nitaweka maneno yangu katika kinywa chake, na ataongea nao yote niliyowakuamuru.
19 Or, celui qui ne voudra pas écouter ses paroles, qu’il dira en mon nom, c’est moi qui m’en vengerai.
Itakuwa kama yeyote hatasikia maneno yangu ambayo anazungumza kwa jina langu, nitalitaka kwake.
20 Mais le prophète qui, corrompu par orgueil, voudra dire en mon nom des choses que je ne lui ai pas ordonné de dire, ou qui parlera au nom de dieux étrangers, sera mis à mort.
Lakini nabii ambaye anazungumza neno kwa kiburi kwa jina langu, neno ambalo sijamuamuru kusema, au ambaye anayezungumza kwa jina la miungu mingine, huyo nabii atakufa.
21 Que si tu réponds secrètement par la pensée: Comment puis-je discerner la parole que le Seigneur n’a pas dite?
Hivyo ndivyo unapaswa kusema katika mioyo yenu: “Tutagunduaje kuwa ujumbe ambao Yahwe hajazungumza?
22 Tu auras ce signe: Ce que ce prophète aura prédit au nom du Seigneur, n’arrivant pas, le Seigneur ne l’a pas dit, mais c’est par l’enflure de son esprit que le prophète l’a inventé: et c’est pourquoi tu ne le craindras pas.
Mtagundua ujumbe ambao Yahwe amezungumza pindi nabii azungumzapo kwa jina la Yahwe. Kama hiyo haitokei wala kufanyika, basi hicho ni kile ambacho Yahwe hajazungumza na nabii amezungumza kwa kiburi, na hampaswi kumuogopa.