< Amos 8 >

1 Voici ce que m’a montré le Seigneur Dieu; or voici un crochet pour abattre des fruits.
Hili ndilo alilonionyesha Bwana Mwenyezi katika maono: kikapu cha matunda yaliyoiva.
2 Et il dit: Que vois-tu, Amos? Et je dis: Un crochet pour abattre des fruits. Et le Seigneur me dit: Elle est venue, la fin pour mon peuple d’Israël; je ne le traverserai plus à l’avenir.
Akaniuliza, “Amosi, unaona nini?” Nikajibu, “Kikapu chenye matunda yaliyoiva.” Ndipo Bwana akaniambia, “Wakati umewadia kwa watu wangu Israeli; sitawahurumia zaidi.”
3 Et les gonds du temple retentiront en ce jour-là, dit le Seigneur Dieu; beaucoup mourront; en tout lieu régnera le silence.
Bwana Mwenyezi asema, “Katika siku ile, nyimbo katika Hekalu zitageuka kuwa maombolezo. Miili mingi, mingi sana: itatupwa kila mahali! Kimya!”
4 Ecoutez ceci, vous qui écrasez le pauvre, et qui faites défaillir les indigents de la terre,
Lisikieni hili, ninyi ambao mnawagandamiza wahitaji, na kuwaonea maskini wa nchi,
5 Disant: Quand sera passé le mois, alors nous vendrons nos marchandises; et quand sera passé le Sabbat, alors nous ouvrirons nos greniers de blé, afin que nous diminuions la mesure, et que nous augmentions le sicle, et que nous substituions des balances trompeuses,
mkisema, “Ni lini Mwezi Mwandamo utakapopita ili tupate kuuza nafaka, na Sabato itakwisha lini ili tuweze kuuza ngano?” Mkipunguza vipimo, na kuongeza bei, na kudanganya kwa mizani zisizo sawa,
6 Afin d’avoir en notre possession, pour de l’argent, des indigents et des pauvres, pour des chaussures, et que nous vendions le rebut du blé.
mkiwanunua maskini kwa fedha, na wahitaji kwa jozi ya viatu, na mkiuza hata takataka za ngano pamoja na ngano.
7 Le Seigneur a juré contre l’orgueil de Jacob: Si j’oublierai jamais aucune de leurs œuvres.
Bwana ameapa kwake mwenyewe, aliye Kiburi cha Yakobo: “Kamwe sitasahau chochote ambacho wamefanya.
8 Est-ce que sur cela la terre ne sera pas ébranlée, et que tous ses habitants ne seront pas dans le deuil? et que tous entièrement ne monteront pas comme le fleuve, et qu’ils ne seront pas chassés, et qu’ils ne s’écouleront pas comme le fleuve d’Egypte?
“Je, nchi haitatetemeka kwa ajili ya hili, nao wote waishio ndani mwake hawataomboleza? Nchi yote itainuka kama Naili; itapanda na kushuka kama mto wa Misri.
9 Et il arrivera en ce jour-là, dit le Seigneur Dieu, que le soleil se couchera à midi, et je ferai que la terre se couvrira de ténèbres en un jour de lumière.
“Katika siku ile,” asema Bwana Mwenyezi, “Nitalifanya jua litue alasiri na kuifanya dunia iwe giza wakati wa mchana mwangavu.
10 Et je convertirai vos fêtes en deuil, et tous vos cantiques en lamentations; et je mettrai sur tous vos reins un cilice, et sur toutes vos têtes la calvitie; et je plongerai Israël dans le deuil, comme à la mort d’un fils unique, et ses derniers moments seront comme un jour amer.
Nitageuza sikukuu zenu za kidini kuwa maombolezo, na kuimba kwenu kote kuwe kilio. Nitawafanya ninyi nyote mvae nguo ya gunia na kunyoa nywele zenu. Nitaufanya wakati ule uwe kama wa kuombolezea mwana wa pekee, na mwisho wake kama siku ya uchungu.
11 Voilà que des jours viennent, dit le Seigneur, et j’enverrai la faim sur la terre, non la faim du pain, ni la soif de l’eau, mais d’entendre la parole du Seigneur.
“Siku zinakuja,” asema Bwana Mwenyezi, “wakati nitakapotuma njaa katika nchi yote: si njaa ya chakula wala kiu ya maji, lakini njaa ya kusikia maneno ya Bwana.
12 Et ils seront dans le trouble depuis une mer jusqu’à l’autre, et depuis l’aquilon jusqu’à l’orient; ils iront de tous côtés, cherchant la parole du Seigneur, et ils ne la trouveront pas.
Wanaume watayumbayumba kutoka bahari hadi bahari na kutangatanga kutoka kaskazini mpaka mashariki, wakitafuta neno la Bwana, lakini hawatalipata.
13 En ce jour-là, les vierges dans leur beauté et les jeunes hommes défaudront par la soif.
“Katika siku ile “wasichana wazuri na vijana wanaume wenye nguvu watazimia kwa sababu ya kiu.
14 Ceux qui jurent par le péché de Samarie et disent: Il vit, ton Dieu, Dan! et elle vit, la voie de Bersabée! tomberont et ne se relèveront plus.
Wale waapao kwa aibu ya Samaria, au kusema, ‘Hakika kama miungu yenu iishivyo, ee Dani,’ au ‘Hakika kama mungu wa Beer-Sheba aishivyo’: wataanguka, wala hawatasimama tena.”

< Amos 8 >