< Amos 3 >
1 Ecoutez la parole que le Seigneur a dite sur vous, fils d’Israël, et sur toute la famille que j’ai retirée de la terre d’Egypte.
Sikieni neno la Yahwe aliloongea juu yenu, watu wa Israeli, juu ya familia nzima ambayo niliwatoa kutoka nchi ya Misri,
2 C’est seulement vous que j’ai connus de toutes les familles de la terre; c’est pour cela que je visiterai en vous toutes vos iniquités.
“Nimewachagua ninyi tu kutoka familia zote za dunia. Kwa hiyo nitawaadhibu kwa dhambi zenu zote.”
3 Est-ce que deux hommes marcheront ensemble, si cela ne leur convient pas?
Je wawili wanaweza kutembea pamoja isipokuwa wamekubaliana?
4 Est-ce qu’un lion rugira dans la forêt, s’il n’a pas une proie? est-ce que le petit d’un lion fera entendre sa voix de sa tanière, s’il n’a rien saisi?
Je simba huunguruma msituni wakati hakuna mawindo? Je mwana simba ataunguruma kutoka pangoni mwake kama hajakamata kitu?
5 Est-ce qu’un oiseau tombera dans un lacs posé sur la terre, sans qu’un oiseleur l’ait tendu? est-ce qu’on enlèvera un lacs de dessus la terre, avant qu’il ait rien pris?
Je ndege ataanguka kwenye mtego aridhini wakati hakuna chambo kimewekwa kwa ajili yake? Je mtego utafyatuka juu aridhini wakati hakuna kitu cha kukamata?
6 Si une trompette sonne, le peuple ne sera-t-il pas épouvanté? Y aurait-il un mal dans une cité, que le Seigneur n’aura pas fait?
Je tarumbeta itapigwa mjini na watu wasitetemeke? Je janga laweza kuja mjini lisiyoletwa na Yahwe?
7 Car le Seigneur Dieu n’a rien fait, s’il n’a auparavant révélé son secret à ses serviteurs les prophètes.
Hakika Bwna Yahwe hatafanya kitu vinginevyo amewafunulia mpango watumishi wake manabii.
8 Un lion rugira, qui ne craindra? le Seigneur Dieu a parlé, qui ne prophétisera?
Simba ameshaunguruma; nani hatoogopa? Bwana Yahwe amekwisha ongea; nani hatotabiri?
9 Faites-le entendre sur les édifices d’Azot et sur les édifices de la terre d’Egypte, et dites: Assemblez-vous sur les montagnes de Samarie, voyez des folies nombreuses au milieu d’elle, et ceux qui souffrent l’oppression dans son enceinte.
Tangaza hii katika ngome huko Ashdodi, na katika ngome za nchi ya Misri; sema, “Kusanyikeni kwenye milima ya Samaria na oneni vile mchafuko ulivyomkubwa kwake, na ukandamizaji uliopo katika yeye.
10 Et ils n’ont pas su faire le bien, dit le Seigneur, thésaurisant l’iniquité et la rapine dans leurs maisons.
Kwa kuwa hawajui jinsi ya kufanya haki -hivi ndivyo Yahwe asemavyo- hao watunzao nguvu na uharibifu katika ngome zao.”
11 À cause de cela, voici ce que dit le Seigneur Dieu: La terre sera pressurée et cernée; et ta force te sera ôtée, et tes édifices seront pillés.
Kwa hiyo, hivi ndivyo Yahwe asemavyo, “Adui ataizunguka nchi. Atazivuta chini nguvu zako na ngome zenu zitatekwa nyara.”
12 Voici ce que dit le Seigneur: Comme si le pasteur arrachait de la gueule du lion deux jambes ou un bout d’oreille, ainsi seront arrachés des mains de l’ennemi les fils d’Israël qui habitent dans Samarie sur le coin d’un petit lit et sur un grabat de Damas.
Hivi ndivyo Yahwe asemavyo,” Kama mchungaji aokoavyo miguu miwili tu kwenye mdomo wa simba, au kipande cha sikio, ndivyo wana wa Israeli watakavyookolewa wale waishio katika Samaria, pamoja na pembe ya kulalia, au pembe ya kitanda.”
13 Ecoutez, et déclarez à la maison de Jacob, dit le Seigneur Dieu des armées,
Sikieni na kushudia juu ya nyumba ya Yakobo -hivi ndivyo Yahwe asemavyo, Mungu wa majeshi,
14 Disant: Au jour où je commencerai à visiter les prévarications d’Israël, et les autels de Béthel, alors seront arrachées les cornes de l’autel et elles tomberont par terre.
“Kwa kuwa katika siku ambayo nimeadhibu dhambi za Israeli, pia nitaziadhibu madhabahu za Betheli. Pembe za madhabahu zitakatwa na kuanguka chini.
15 Et je frapperai la maison d’hiver avec la maison d’été, et les maisons d’ivoire périront, et des édifices nombreux seront détruits, dit le Seigneur.
Nitaiharibu nyumba ya baridi pamoja na nyumba ya hari. Nyumba za pembe zitaangamia, na nyumba kubwa zitatoweka, -hivi ndivyo Yahwe asemavyo.”