< 2 Samuel 13 >
1 Or, il arriva après cela, qu’Amnon, fils de David, s’éprit d’amour pour la sœur d’Absalom, fils de David, femme très belle, du nom de Thamar;
Ikawa baada ya hayo kwamba Amnoni mwana wa Daudi, akamtamani sana Tamari dada yake wa kambo aliyekuwa mzuri, alikuwa tumbo moja na Absalome, mwana wingine wa Daudi.
2 Et il l’aimait éperdument, à un tel point, qu’à cause de son amour il était malade, parce que comme elle était vierge, il lui paraissait difficile de rien faire déshonnêtement avec elle.
Amnoni akasononeka sana kiasi cha kuugua kwa ajili ya Tamari dada yake. Tamari alikuwa bikra, na hivyo ilionekana haiwezekani Amnoni kufanya neno lolote kwake.
3 Or, Amnon avait un ami, du nom de Jonadab, fils de Semmaa, frère de David, homme très prudent,
Lakini Amnoni alikuwa na rafiki jina lake Yehonadabu mwana wa Shama, nduguye Daudi.
4 Lequel lui demanda: Pourquoi, fils du roi, maigris-tu ainsi chaque jour? pourquoi ne me le dis-tu point? Et Amnon lui répondit: J’aime Thamar, la sœur de mon frère Absalom.
Yehonadabu alikuwa mtu mwelevu sana. Akamwambia Amnoni, “Kwa nini, mwana wa mfalme, unadhoofika kila siku? Kwa nini uniambii? Ndipo Amnoni akamjibu, “Nampenda Tamari, dada yake Absalome ndugu yangu.”
5 Jonadab lui dit: Couche-toi sur ton lit et feins une maladie; et lorsque ton père viendra pour te visiter, dis-lui: Que Thamar, ma sœur, vienne, je vous prie, afin qu’elle me donne de la nourriture, et qu’elle me fasse un mets, pour que je mange de sa main.
Ndipo Yehonadabu akamwambia, “Lala kitandani mwako na ujifanye kuwa mgonjwa. Wakati baba yako atakapo kuja kukuona, mwambie, Tafadhari mtume dada yangu Tamari aandaye chakula mbele yangu, ili kwamba nikione na kula kutoka mkononi mwake?”
6 C’est pourquoi Amnon se coucha, et commença à feindre d’être malade; et lorsque le roi fut venu pour le visiter, Amnon dit au roi: Que Thamar, ma sœur, vienne, je vous conjure, afin qu’elle fasse sous mes yeux deux petits bouillons, et que je prenne de la nourriture de sa main.
Hivyo Amnoni akalala na kujifanya kuwa mgonjwa. Mfalme alipokuja kumwona, Amnoni akamwambia mfalme, “Tafadhari mtume Tamari dada yangu aandaye chakula kwa ajili ya ugonjwa wangu mbele yangu ili kwamba nikile kutoka mkononi mwake.
7 David donc envoya à la maison de Thamar, disant: Venez à la maison d’Amnon, votre frère, et faites-lui un mets.
Ndipo Daudi katika kasri lake akatuma neno kwa Tamari, kusema, “Nenda katika nyumba ya nduguyo Amnoni na umwandalie chakula. Hivyo
8 Et Thamar vint à la maison d’Amnon, son frère; celui-ci était couché; et elle, prenant de la farine, la pétrit, et la délayant, elle fit cuire sous ses yeux deux petits bouillons.
Tamari akaenda katika nyumba ya Amnoni nduguye alipokuwa amelala. Akachukua donge na kulifinyanga na kuandaa mkate mbele zake, kisha akauoka.
9 Et prenant ce quelle avait fait cuire, elle le versa et le posa devant lui, et il ne voulut pas en manger; et Amnon dit: Faites retirer tout le monde. Et lorsqu’on eut fait retirer tout le monde,
Akachukua kikaangio na kumpa mkate, lakini akakataa kula. Kisha Amnoni akawambia waliokuwepo, “Kila mtu na aondoke.” Hivyo kila mmoja akaondoka.
10 Amnon dit à Thamar: Porte le mets dans la chambre, afin que je le mange de ta main. Thamar donc prit les deux petits bouillons qu’elle avait faits, et les porta à Amnon son frère dans la chambre.
Amnoni akamwambia Tamari, “Lete chakula chumbani kwangu nikile katika mkono wako.” Tamari akachukua mkate aliokuwa ameuandaa, na kuuleta katika chumba cha Amnoni kaka yake.
11 Et lorsqu’elle lui eut présenté le mets, il la saisit, et dit: Viens, repose avec moi, ma sœur.
Alipoleta chakula kwake, Amnoni akamshikilia na kumwambia, “Njoo, ulale nami, dada yangu.”
12 Thamar lui répondit: Non, mon frère, ne me fais pas violence; car cela n’est pas permis en Israël; ne fais pas cette folie.
Yeye akamjibu, “Hapana, kaka yangu, usinilazimishe, kwani hakuna jambo kama hili linapaswa kufanyika katika Israeli. Usifanye jambo la aibu kiasi hiki!
13 Car moi, je ne pourrai supporter mon opprobre, et toi, tu seras comme un des insensés en Israël; mais plutôt parle au roi, et il ne me refusera pas à toi.
Nitakwenda wapi ili nijiepushe na aibu ambayo jambo hili litaileta juu ya maisha yangu? Na tendo hili litakuonesha kuwa mpumbavu usiye na aibu katika Israeli yote. Tafadhari, ninakuomba uongee na mfalme. Yeye atakuruhusu unioe.”
14 Or, il ne voulut point acquiescer à ses prières, mais plus fort, il lui fit violence, et il reposa avec elle.
Lakini Amnoni hakuweza kumsikiliza. Kwa kuwa alikuwa zaidi akamkamata na akalala naye.
15 Aussitôt Amnon la prit en très grande haine, de sorte que la haine dont il la haïssait était plus grande que l’amour dont il l’avait aimée auparavant. Aussi Amnon lui dit: Lève-toi et va-t’en.
Kisha Amnoni akamchukia Tamari kwa chuki kuu. Akamchukia zaidi ya jinsi alivyokuwa amemtamani. Amnoni akamwambia, “Inuka na uondoke.”
16 Thamar lui répondit: Le mal que tu fais maintenant en me chassant, est plus grand que celui que tu as fait auparavant. Et il ne voulut pas l’écouter;
Lakini yeye akamjibu, “Hapana! kwa maana uovu wa kunifanya ni uondoke ni mbaya zaidi ya kile ulichonitenda!” Lakini Amnoni hakumsikiliza.
17 Mais, ayant appelé le jeune homme qui le servait, il dit: Eloigne celle-là de moi, fais-la sortir, et ferme la porte après elle.
Badala yake, akamwita mtumishi wake na akasema, “Mwondoe mwanamke huyu mbele yangu, na uufunge mlango nyuma yake.”
18 Thamar était vêtue d’une robe traînante, car c’est de cette sorte de vêtements que les filles du roi, qui étaient vierges, faisaient usage. C’est pourquoi son serviteur la mit dehors, et ferma la porte derrière elle.
Hivyo mtumishi wake akamtoa na kufunga mlango. Tamari alikuwa amevaa vazi lilinakishiwa kwani ndivyo binti za wafalme waliobikra valivyokuwa wakivaa.
19 Thamar, répandant de la cendre sur sa tête, déchirant sa robe traînante, et les mains posées sur sa tête, allait marchant et criant.
Tamari akaweka majivu juu ya kichwa chake na akalirarua vazi lake
20 Or, Absalom, son frère, lui demanda: Est-ce qu’Amnon, ton frère, a dormi avec toi? Mais maintenant, ma sœur, garde le silence, c’est ton frère; n’afflige pas ton cœur pour cela. C’est pourquoi Thamar demeura, se desséchant, dans la maison d’Absalom, son frère.
Absalome, kaka yake, akamwambia, “Amnoni, kaka yako, amekuwa nawe? Lakini sasa nyamaza, dada yangu. Yeye ni kaka yako. Usiliweke hili moyoni.” Hivyo Tamari akakaa peke yake katika nyumba ya Absalomu kaka yake.
21 Mais lorsque le roi David eut appris ces choses, il fut très centriste, et il ne voulut point contrister l’esprit d’Amnon, son fils, car il le chérissait, parce qu’il était son premier-né.
Mfalme Daudi aliposikia haya yote, alikasirika sana.
22 Or, Absalom ne dit rien à Amnon, ni mal, ni bien; car Absalom haïssait Amnon, parce qu’il avait violé Thamar, sa sœur.
Absalome hakusema chochote kwa Amnoni, kwa maana Absalome alimchukia kwa kile alichokifanya, kumdhalilisha Tamari, dada yake.
23 Mais il arriva, après un intervalle de deux ans, qu’on tondait les brebis d’Absalom, à Baalhasor près d’Ephraïm; et Absalom appela tous les fils du roi.
Ikawa baada ya miaka miwili mizima Absalomu akawa na wakatao kondoo manyoya wakifanya kazi huko Baali Hazori, ulioko karibu na Efraim, naye Absalomu akawaarika wana wote wa mfalme kufika huko.
24 Et il vint vers le roi, et lui dit: Voilà qu’on tond les brebis de votre serviteur, je prie le roi qu’il vienne avec ses serviteurs chez son serviteur.
Absalomu akamwendea mfalme na kusema, “Tazama sasa, mtumishi wako anao wakatao kondoo manyoya. Tafadhari, naomba mfalme na watumishi wake waende nami, mtumishi wako.”
25 Et le roi répondit à Absalom: Non, mon fils, ne demande pas que nous venions tous, et que nous te gênions. Mais, comme Absalom le pressait, et qu’il ne voulait pas y aller, il le bénit.
Mfalme akamjibu Absalomu, “hapana mwanangu, tusiende sisi yote kwani tutakuwa mzigo kwako.” Absalomu akamhakikishia mfalme, lakini yeye asikubali kwenda, ila alimbariki Absalomu.
26 Alors Absalom lui dit: Si vous ne voulez pas venir, je vous prie qu’au moins Amnon, mon frère, vienne avec nous. Et le roi lui répondit: Il n’est pas nécessaire qu’il aille avec toi.
Kisha Absalomu akasema, “kama sivyo, basi tafadhari mwache ndugu yangu Amnoni aende nasi.” Mfalme akamuliza, “Kwa nini Amnoni aende nanyi?”
27 C’est pourquoi Absalom lui fit des instances, et David laissa aller avec lui Amnon et tous les fils du roi. Or, Absalom avait préparé un festin comme un festin de roi.
Absalomu akamsihi Daudi, hivyo akamruhusu Amnoni na wana wengine wa mfalme kwenda naye.
28 Et Absalom avait ordonné à ses serviteurs, disant: Faites attention, lorsqu’Amnon sera troublé par le vin, et que je vous dirai: Frappez-le, et le tuez; ne craignez point; car c’est moi qui vous l’ordonne. Fortifiez-vous, et soyez des hommes courageux.
Absalomu akawaamuru watumishi wake kusema, “Sikilizeni kwa makini. Amnoni atakapokuwa amelewa mvinyo, na nitakapowambia, 'Mpigeni Amnoni,' msiogope mwueni. Je siyo mimi niliyewamru? Mwe jasiri na hodari.”
29 Les serviteurs d’Absalom firent donc contre Amnon, comme leur avait ordonné Absalom. Et tous les fils du roi se levant montèrent chacun sur leur mule, et s’enfuirent.
Hivyo watumishi wa Absalome wakamtendea Amnoni kama walivyoamriwa. Kisha wana wote wa mfalme wakainuka na kila mmoja akapanda nyumbu wake akakimbia.
30 Et comme ils poursuivaient encore leur chemin, le bruit en vint jusqu’à David; on dit: Absalom a tué tous les fils du roi; il n’en est pas resté même un seul.
Hata ikawa wakati wakiwa njiani habari zikafika kwa Daudi kusema, “Absalomu ameua wana wote wa mfalme na hakuna hata mmoja aliyesalia.”
31 C’est pourquoi le roi se leva, et déchira ses vêtements, et tomba sur la terre; et tous ses serviteurs qui étaient près de lui déchirèrent leurs vêtements.
Kisha mfalme akainuka na kurarua mavazi yake na kujilaza juu ya sakafu; watumishi wake wote wakasimama karibu naye mavazi yao yameraruriwa.
32 Or, Jonadab, fils de Semmaa, frère de David, prenant la parole, dit: Que mon seigneur le roi ne croie pas que tous les jeunes hommes fils du roi aient été tués: Amnon seul est mort, parce qu’il avait été mis dans la bouche d’Absalom, depuis le jour qu’il fit violence à Thamar, sa sœur.
Yehonadabu mwana wa Shama, nduguye Daudi, akajibu na kusema, “Bwana wangu asidhani kuwa vijana wote ambao ni wana wa mfalme wameuawa, kwa maana ni Amnoni pekee ndiye aliyeuawa. Absalomu alilipanga jambo hili tangu siku ile Amnoni alivyomwaribu Tamari, dada yake.
33 Maintenant donc, que mon seigneur le roi ne mette point cela en son esprit, disant: Tous les fils du roi ont été tués, puisqu’Amnon seul est mort.
Kwa hiyo basi, bwana wangu mfalme asiiweke taarifa hii moyoni, kudhani kwamba wana wote wa mfalme wameuawa, kwani aliyeuawa ni Amnoni peke yake.”
34 Mais Absalom s’enfuit, et la jeune sentinelle leva ses yeux, et regarda; et voilà qu’un peuple nombreux venait par un chemin détourné du côté de la montagne.
Absalomu akakimbia. Mtumishi aliyekuwa akiangalia akainua macho yake na kuona watu wengi wakija njiani kando ya kilima upande wake wa magharibi.
35 Or. Jonadab dit au roi: Voici les fils du roi qui viennent: selon la parole de votre serviteur, ainsi il est arrivé.
Kisha Yehonadabu akamwambia mfalme, “Tazama, wana wa mfalme wanakuja. kama mtumishi wako alivyosema.”
36 Et lorsqu’il eut cessé de parler, parurent les fils du roi; et, entrant, ils élevèrent leurs voix et pleurèrent; mais le roi aussi et tous ses serviteurs pleurèrent d’un très grand pleur.
Ikawa mara alipomaliza kusema wana wa mfalme wakafika, wakainua sauti zao na kulia. Na mfalme pamoja na watumishi wake wote pia wakalia kwa uchungu.
37 Ainsi Absalom fuyant s’en alla auprès de Tholomaï, fils d’Ammiud, roi de Gessur. David pleura donc son fils, tous les jours.
Lakini Absalomu akakimbia na kwenda kwa Talmai mwana wa Amihudi, mfalme wa Geshuri. Mfalme akaomboleza kila siku kwa ajili ya mwanaye.
38 Or Absalom, lorsqu’il se fut enfui, et qu’il fut venu à Gessur, fut là pendant trois ans.
Hivyo Absalomu akakimbia na kwenda Geshuri na akakaa huko kwa miaka mitatu.
39 Et le roi David cessa de poursuivre Absalom, parce qu’il s’était consolé de la mort d’Amnon.
Moyo wa mfalme Daudi ukatamani kwenda kumwona Absalomu, kwa maana alikuwa amefarijika kwa habari ya kifo cha Amnoni.