< 2 Chroniques 1 >
1 Salomon, fils de David, fut donc affermi dans la royauté, et le Seigneur son Dieu était avec lui; et le Seigneur l’éleva très haut.
Solomoni mwana wa Daudi alijiimarisha kwenye milango yote! Katika ufalme wake, kwa kuwa Bwana Mungu wake alikuwa pamoja naye, naye akamfanya mkuu mno.
2 Et Salomon donna des ordres à tout Israël, aux tribuns, aux centurions, aux autres chefs, aux magistrats et aux princes des familles;
Ndipo Solomoni akasema na Israeli wote, majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia, waamuzi na viongozi wote katika Israeli, pamoja na wakuu wa jamaa.
3 Et il s’en alla avec toute la multitude au haut lieu de Gabaon, où était le tabernacle de l’alliance de Dieu, que fit Moïse, serviteur de Dieu, dans le désert.
Naye Solomoni na kusanyiko lote wakakwea mpaka mahali pa juu pa kuabudia huko Gibeoni, kwa kuwa huko ndiko Hema la Kukutania la Mungu lilipokuwa, ambalo Mose mtumishi wa Bwana alikuwa amelitengeneza huko jangwani.
4 Quant à l’arche de Dieu, David l’avait amenée de Cariathiarim au lieu qu’il lui avait préparé, et où il lui avait dressé un tabernacle, c’est-à-dire à Jérusalem.
Basi Daudi alikuwa amelipandisha Sanduku la Mungu kutoka Kiriath-Yearimu mpaka mahali alipokuwa amepatengeneza kwa ajili yake, kwa sababu alikuwa amesimamisha hema kwa ajili ya hilo Sanduku huko Yerusalemu.
5 Mais l’autel d’airain qu’avait fait Béséléel fils d’Uri, fils de Hur, était resté là devant le tabernacle du Seigneur; et Salomon alla le chercher, lui et toute l’assemblée.
Lakini yale madhabahu ya shaba ambayo Bezaleli mwana wa Uri, mwana wa Huri, alikuwa ametengeneza yalikuwa huko Gibeoni mbele ya Maskani ya Bwana Mungu, hivyo Solomoni na kusanyiko lote walimtafuta Mungu huko.
6 Et Salomon monta sur l’autel d’airain devant le tabernacle de l’alliance du Seigneur, et il y offrit mille hosties.
Solomoni akapanda huko yalikokuwa madhabahu ya shaba mbele za Bwana katika Hema la Kukutania, na kutoa dhabihu 1,000 za sadaka za kuteketezwa juu yake.
7 Or voilà qu’en cette nuit même Dieu lui apparut, disant: Demande ce que tu veux que je te donne.
Usiku ule Mungu akamtokea Solomoni na kumwambia, “Omba lolote utakalo nikupe.”
8 Alors Salomon dit à Dieu: C’est vous qui avez fait une grande miséricorde à David, mon père, et qui m’avez établi roi à sa place.
Solomoni akamjibu Mungu, “Umemwonyesha baba yangu Daudi fadhili nyingi, nawe umeniweka niwe mfalme mahali pake.
9 Maintenant donc, Seigneur Dieu, qu’elle s’accomplisse, la promesse que vous avez faite à David, mon père: car c’est vous qui m’avez établi roi sur votre peuple, qui est aussi innombrable que la poussière de la terre.
Sasa, Bwana Mungu, ahadi yako kwa baba yangu Daudi na ithibitike, kwa kuwa umenifanya mimi mfalme juu ya watu ambao ni wengi kama mavumbi ya nchi.
10 Donnez-moi de la sagesse et de l’intelligence, enfin que j’entre et sorte devant votre peuple; car qui peut juger dignement ce peuple qui est vôtre, et qui est si grand?
Nakuomba unipe mimi hekima na maarifa, ili niweze kuongoza watu hawa, kwa kuwa ni nani awezaye kutawala hawa watu wako walio wengi hivi?”
11 Alors Dieu répondit à Salomon: Parce que cela a plu de préférence à ton cœur, et que tu ne m’as point demandé des richesses, ni des biens, ni de la gloire, ni les âmes de ceux qui te haïssent, ni des jours de vie très nombreux; mais que tu as demandé de la sagesse et de la science, afin que tu puisses juger mon peuple sur lequel je t’ai établi roi:
Mungu akamwambia Solomoni, “Kwa kuwa jambo hili ndilo shauku ya moyo wako na hukuomba mali, utajiri au heshima, wala kifo kwa ajili ya adui zako, nawe kwa kuwa hukuomba maisha marefu, bali umeomba hekima na maarifa ili kuongoza watu wangu ambao nimekufanya uwe mfalme juu yao,
12 La sagesse et la science te sont données; et quant à des richesses, à des biens, à de la gloire, je t’en donnerai de telle sorte, que nul parmi les rois, ni avant toi, ni après toi, n’aura été semblable à toi.
kwa hiyo utapewa hekima na maarifa. Tena nitakupa pia mali, utajiri na heshima, ambavyo hakuna mfalme yeyote aliyekuwepo kabla yako amewahi kuwa navyo, na hakuna yeyote baada yako atakayekuwa navyo.”
13 Salomon vint donc du haut lieu de Gabaon à Jérusalem, devant le tabernacle d’alliance, et il régna sur Israël.
Ndipo Solomoni akaenda mpaka Yerusalemu kutoka mahali pa juu pa kuabudia huko Gibeoni, kutoka mbele ya Hema la Kukutania. Naye akatawala Israeli.
14 Et il rassembla des chars et des cavaliers; on lui disposa mille quatre cents chariots et douze mille cavaliers, et il les fit mettre dans les villes des quadriges, et près du roi à Jérusalem.
Solomoni akakusanya magari ya vita na farasi. Alikuwa na magari 1,400 na farasi 12,000, ambayo aliyaweka katika miji ya magari na mengine akawa nayo huko Yerusalemu.
15 Et le roi rendit l’or et l’argent communs comme les pierres dans Jérusalem, et les cèdres comme les sycomores qui croissent dans les plaines en grande quantité.
Mfalme akafanya fedha na dhahabu kuwa vitu vya kawaida kama mawe huko Yerusalemu, mierezi akaifanya kuwa mingi kama mikuyu vilimani.
16 Mais les chevaux lui étaient amenés d’Égypte et de Coa par les marchands du roi, qui y allaient et les achetaient,
Farasi wa Solomoni waliletwa kutoka Misri na kutoka Kue. Wafanyabiashara wa mfalme waliwanunua kutoka Kue.
17 Un attelage de quatre chevaux, six cents sicles d’argent, et un cheval, cent cinquante; et c’est ainsi que dans tous les royaumes des Héthéens, et par tous les rois de Syrie, la vente se pratiquait.
Waliagiza magari kutoka Misri kwa bei ya shekeli 600 za fedha, na farasi kwa shekeli 150. Pia waliwauza nje kwa wafalme wote wa Wahiti na wa Waaramu.