< 2 Chroniques 6 >

1 Alors Salomon dit: Le Seigneur a promis qu’il habiterai dans une nuée;
Ndipo Solomoni akasema, “Bwana alisema kwamba ataishi katika giza nene.
2 Et moi j’ai élevé une maison à son nom, afin qu’il y habitât à perpétuité.
Nimejenga Hekalu zuri kwa ajili yako, mahali pako pa kukaa milele.”
3 Et le roi tourna sa face et bénit toute la multitude d’Israël (car toute la foule était debout et attentive), et il dit:
Kusanyiko lote la Israeli lilipokuwa limesimama hapo, mfalme akageuka na kuwabariki.
4 Béni soit le Seigneur Dieu d’Israël, qui a mis à effet ce qu’il promit à David, mon père, disant:
Kisha akasema: “Ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli, ambaye kwa mikono yake mwenyewe ametimiza lile alilomwahidi Daudi baba yangu kwa kinywa chake mwenyewe. Kwa kuwa alisema,
5 Depuis le jour que j’ai retiré mon peuple de la terre d’Égypte, je n’ai point choisi de ville d’entre toutes les tribus d’Israël pour y bâtir une maison à mon nom, et je n’ai choisi aucun autre homme pour qu’il fût chef sur mon peuple Israël;
‘Tangu siku niliyowatoa watu wangu kutoka Misri, sikuchagua mji katika kabila lolote la Israeli ili Hekalu lijengwe humo ili Jina langu lipate kuwamo humo, wala sikumchagua mtu yeyote kuwa kiongozi wa watu wangu Israeli.
6 Mais j’ai choisi Jérusalem pour que mon nom y soit, et j’ai choisi David pour l’établir sur mon peuple Israël.
Lakini sasa nimeuchagua Yerusalemu ili Jina langu lipate kuwamo humo, na nimemchagua Daudi kuwatawala watu wangu Israeli.’
7 Et lorsqu’il fut dans la volonté de David mon père de bâtir une maison au nom du Seigneur Dieu d’Israël,
“Ilikuwa moyoni mwa Daudi baba yangu kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la Bwana, Mungu wa Israeli.
8 Le Seigneur lui dit: Puisque ta volonté a été de bâtir une maison à mon nom, tu as certainement bien fait d’avoir une pareille volonté;
Lakini Bwana akamwambia Daudi baba yangu, ‘Kwa sababu ilikuwa moyoni mwako kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina langu, ulifanya vyema kuwa na jambo hili moyoni mwako.
9 Cependant ce ne sera pas toi qui bâtiras la maison; mais ton fils, qui sortira de tes flancs, bâtira lui-même la maison à mon nom.
Hata hivyo, sio wewe utakayenijengea Hekalu, bali mwanao, ambaye ni nyama yako na damu yako mwenyewe, yeye ndiye atakayejenga Hekalu kwa ajili ya Jina langu.’
10 Le Seigneur accomplit donc sa parole qu’il avait dite: et moi, je me levai à la place de David, mon père; je me suis assis sur le trône d’Israël comme l’a dit le Seigneur, et j’ai bâti la maison au nom du Seigneur Dieu d’Israël.
“Bwana ametimiza ahadi aliyoiweka: Nimeingia mahali pa Daudi baba yangu na sasa ninakikalia kiti cha ufalme cha Israeli, kama vile Bwana alivyoahidi, nami nimejenga Hekalu kwa ajili ya Jina la Bwana, Mungu wa Israeli.
11 J’y ai mis l’arche, dans laquelle est l’alliance du Seigneur qu’il a faite avec les enfants d’Israël.
Nimeliweka humo Sanduku la Agano, ambamo ndani yake kuna lile Agano la Bwana alilofanya na watu wa Israeli.”
12 Il se tint donc devant l’autel du Seigneur, en face de toute la multitude d’Israël, et il étendit ses mains;
Kisha Solomoni akasimama mbele ya madhabahu ya Bwana machoni pa kusanyiko lote la Israeli, naye akakunjua mikono yake.
13 Car Salomon avait fait une estrade d’airain, et il l’avait placée au milieu de la basilique: elle avait cinq coudées de longueur, cinq coudées de largeur et trois coudées de hauteur; et il s’y tint debout; puis, les genoux fléchis en face de toute la multitude d’Israël, et les mains levées au ciel,
Basi Solomoni alikuwa ametengeneza jukwaa la shaba, urefu wake dhiraa tano, na upana wake dhiraa tano na kimo chake dhiraa tatu, naye akaliweka katikati ya ukumbi wa nje. Akapanda juu ya hilo jukwaa kisha akapiga magoti mbele ya kusanyiko lote la Israeli, akanyoosha mikono yake kwelekea mbinguni.
14 Il dit: Seigneur Dieu d’Israël, il n’est pas un Dieu semblable à vous, dans le ciel et sur la terre; vous qui conservez l’alliance et la miséricorde à vos serviteurs qui marchent devant vous de tout leur cœur;
Akasema: “Ee Bwana, Mungu wa Israeli, hakuna Mungu kama wewe juu mbinguni wala chini duniani, wewe unayetunza Agano lako la upendo na watumishi wanaodumu katika njia yako kwa moyo wote.
15 Vous qui avez exécuté en faveur de votre serviteur David, mon père, toutes les paroles que vous lui aviez dites, et qui avez mis à effet ce que vous lui aviez promis de bouche, comme le présent temps le prouve.
Umetimiza ahadi yako kwa mtumishi wako Daudi baba yangu, kwa kinywa chako uliahidi na kwa mkono wako umetimiza, kama ilivyo leo.
16 Maintenant donc, Seigneur Dieu d’Israël, accomplissez en faveur de votre serviteur, mon père David, tout ce que vous lui avez promis, disant: Il ne manquera pas devant moi d’homme, sorti de toi, qui soit assis sur le trône d’Israël, pourvu cependant que tes fils gardent leurs voies, et qu’ils marchent dans ma loi, comme toi-même tu as marché devant moi.
“Sasa Bwana, Mungu wa Israeli, mtimizie mtumishi wako Daudi baba yangu ahadi zako ulizomwahidi uliposema, ‘Kamwe hutakosa kuwa na mtu atakayeketi mbele zangu kwenye kiti cha ufalme cha Israeli, kama wanao wakiangalia yote wayafanyayo kuenenda mbele zangu kama vile ulivyofanya.’
17 Et maintenant, Seigneur Dieu d’Israël, qu’elle soit confirmée, la parole que vous avez dite à votre serviteur David.
Sasa, Ee Bwana, Mungu wa Israeli, acha neno lako lile ulilomwahidi mtumishi wako Daudi baba yangu litimie.
18 Est-il donc croyable que Dieu habite avec les hommes sur la terre? Si le ciel et les cieux des cieux ne vous contiennent point, combien moins cette maison que j’ai bâtie!
“Lakini kweli, je, Mungu atafanya makao duniani na wanadamu? Mbingu, hata mbingu zilizo juu sana, haziwezi kukutosha wewe. Sembuse Hekalu hili nililojenga!
19 Aussi a-t-elle été faite seulement pour que vous considériez, Seigneur mon Dieu, votre serviteur et ses supplications, et que vous écoutiez les prières que répand devant vous votre serviteur;
Hata hivyo sikiliza dua ya mtumishi wako na maombi yake kwa huruma, Ee Bwana Mungu wangu. Sikia kilio na dua ambayo mtumishi wako anaomba mbele zako siku hii ya leo.
20 Pour que vous ouvriez les yeux sur cette maison pendant les jours et les nuits, sur ce lieu en lequel vous avez promis que votre nom serait invoqué,
Macho yako na yafumbuke kuelekea Hekalu hili usiku na mchana, mahali hapa ambapo ulisema, ‘Jina langu litakuwako humo,’ ili kwamba upate kusikia maombi ambayo mtumishi wako ataomba kuelekea mahali hapa.
21 Et que vous exauceriez la demande que votre serviteur vous y adresse; et pour que vous exauciez les prières de votre serviteur et de votre peuple Israël. Quiconque priera en ce lieu, exaucez-le de votre demeure, c’est-à-dire des cieux, et soyez-lui propice.
Usikie maombi ya mtumishi wako na ya watu wako Israeli wakati wanapoomba kuelekea mahali hapa. Sikia kutoka mbinguni, mahali pa makao yako na usikiapo, samehe.
22 Si quelqu’un pèche contre son prochain, et qu’il vienne prêt à jurer contre lui, et qu’il se lie par la malédiction devant l’autel dans cette maison,
“Mtu anapomkosea jirani yake na akatakiwa kuapa, akija na kuapa mbele ya madhabahu yako ndani ya Hekalu hili,
23 Vous écouterez du ciel, et vous jugerez vos serviteurs, de telle sorte que vous rameniez la voie de l’homme inique sur sa propre tête, et que vous vengiez le juste, lui rendant selon sa justice.
basi, sikia kutoka mbinguni na ukatende. Hukumu kati ya watumishi wako, ukimwadhibu yule mwenye hatia kwa kuleta juu ya kichwa chake yale aliyoyatenda. Umtangazie mwenye haki kwamba hana hatia, hivyo ukathibitishe kuwa haki kwake.
24 Si le peuple d’Israël est vaincu par ses ennemis (car ils pécheront contre vous), et que, convertis, ils fassent pénitence, invoquent votre nom, et prient en ce lieu,
“Wakati watu wako Israeli watakapokuwa wameshindwa na adui kwa sababu ya dhambi walizofanya dhidi yako, watakapokugeukia na kulikiri jina lako, wakiomba na kufanya dua kwako katika Hekalu hili,
25 Vous l’exaucerez du ciel; pardonnez le péché de votre peuple Israël, et ramenez-les dans la terre que vous leur avez donnée, à eux et à leurs pères.
basi usikie kutoka mbinguni, ukasamehe dhambi ya watu wako Israeli na kuwarudisha katika nchi uliyowapa baba zao.
26 Si, le ciel fermé, il ne tombe point de pluie à cause des péchés du peuple; s’ils prient en ce lieu et qu’ils rendent gloire à votre nom, et se convertissent de leurs péchés, lorsque vous les aurez affligés,
“Wakati mbingu zitakapokuwa zimefungwa kusiwe na mvua kwa sababu watu wako wametenda dhambi dhidi yako, watakapoomba kuelekea mahali hapa na kulikiri jina lako nao wakageuka kutoka dhambi zao kwa sababu umewaadhibu,
27 Exaucez-les du ciel, Seigneur, et pardonnez les péchés de vos serviteurs et de votre peuple Israël; enseignez-leur la bonne voie par laquelle ils doivent marcher, et donnez de la pluie à la terre que vous avez donnée à votre peuple pour la posséder.
basi usikie kutoka mbinguni na usamehe dhambi ya watumishi wako, watu wako Israeli. Wafundishe njia sahihi ya kuishi na ukanyeshe mvua juu ya nchi uliyowapa watu wako kuwa urithi.
28 S’il se lève sur la terre une famine, une peste, la rouille, l’aridité, la sauterelle et la chenille, et que les ennemis, après avoir ravagé les contrées, assiègent les portes de la ville, et que toute sorte de plaies et d’infirmités nous accable;
“Wakati njaa au tauni vikija juu ya nchi, au koga au kawa, nzige au panzi, au wakati adui atakapowazingira katika mji wao wowote, maafa ya namna yoyote au ugonjwa wowote unaoweza kuwajia,
29 Si quelqu’un de votre peuple Israël prie, reconnaissant sa plaie et son infirmité, et qu’il étende ses mains en cette maison,
wakati dua au maombi yatakapofanywa na mmojawapo wa watu wako Israeli, kila mmoja akitambua taabu zake na uchungu wake, naye akainyoosha mikono yake kuelekea Hekalu hili,
30 Vous l’exaucerez du ciel, c’est-à-dire de votre demeure élevée; soyez propice, et rendez à chacun selon ses voies, que vous savez qu’il a en son cœur (car vous seul vous connaissez les cœurs des enfants des hommes);
basi usikie kutoka mbinguni, katika makao yako. Usamehe na utende, umpe kila mtu kulingana na matendo yake, kwa kuwa unaujua moyo wake (kwa kuwa ni wewe peke yako ujuaye mioyo ya watu wote),
31 Afin qu’ils vous craignent et qu’ils marchent dans vos voies, pendant tous les jours qu’ils vivent sur la face de la terre que vous avez donnée à nos pères.
ili wakuogope kwa wakati wote watakaoishi katika nchi uliyowapa baba zetu.
32 Même l’étranger qui n’est point de votre peuple Israël, s’il vient d’une terre lointaine à cause de votre grand nom, et à cause de votre main puissante, de votre bras étendu, et qu’il vous adore en ce lieu,
“Kwa habari ya mgeni ambaye si miongoni mwa watu wako Israeli, lakini amekuja kutoka nchi ya mbali kwa sababu ya jina lako kuu na mkono wako wenye nguvu ulionyooshwa, atakapokuja kuomba kuelekea Hekalu hili,
33 Vous l’exaucerez du ciel, votre demeure inébranlable, et vous ferez toutes les choses pour lesquelles cet étranger vous invoquera, afin que tous les peuples de la terre sachent votre nom, et qu’ils vous craignent comme le fait votre peuple Israël, et qu’ils reconnaissent que votre nom a été invoqué sur cette maison que j’ai bâtie.
basi na usikie kutoka mbinguni, mahali pa makao yako, ukafanye lolote ambalo mgeni huyo anakuomba, ili mataifa yote ya dunia wapate kujua jina lako na wakuogope kama wafanyavyo watu wako Israeli nao wapate pia kujua kwamba nyumba hii niliyoijenga imeitwa kwa Jina lako.
34 Si votre peuple sort pour la guerre contre ses ennemis, et que dans la voie dans laquelle vous les aurez envoyés, ils vous adorent, tournés vers la voie dans laquelle est cette ville que vous avez choisie, et la maison que j’ai bâtie à votre nom,
“Wakati watu wako watakapokwenda vitani dhidi ya adui zao, popote utakapowapeleka, wakati watakapoomba kwa Bwana kuelekea mji ambao umeuchagua, na Hekalu nililolijenga kwa ajili ya Jina lako,
35 Vous exaucerez du ciel leurs prières et leurs supplications, et veuillez les venger.
basi usikie dua na maombi yao kutoka mbinguni, ukawatetee haki yao.
36 Que s’ils pèchent contre vous (car il n’y a point d’homme qui ne pèche), que si vous êtes irrité contre eux, et que vous les livriez à leurs ennemis, et que ceux-ci les emmènent captifs dans une terre lointaine, ou bien qui est proche,
“Watakapotenda dhambi dhidi yako, kwa kuwa hakuna mtu yeyote ambaye hatendi dhambi, nawe ukachukizwa nao na kuwakabidhi kwa adui, ambaye atawachukua utumwani katika nchi iliyo mbali au karibu
37 Et que, convertis en leur cœur, dans la terre dans laquelle ils auront été emmenés captifs, ils fassent pénitence, et vous prient dans la terre de leur captivité, disant: Nous avons péché, nous avons fait l’iniquité, et nous avons agi injustement,
na kama watabadilika mioyo yao katika nchi wanakoshikiliwa mateka, nao wakatubu na kukulilia katika nchi ya utumwa na kusema, ‘Tumetenda dhambi, tumefanya makosa na tumetenda uovu’;
38 Et qu’ils reviennent à vous en tout leur cœur et en toute leur âme dans la terre de leur captivité, dans laquelle ils ont été emmenés, et qu’ils vous adorent, tournés du côté de la terre que vous avez donnée à leurs pères, de la ville que vous avez choisie, et de la maison que j’ai bâtie à votre nom,
kama wakikugeukia kwa moyo wao wote na nafsi zao katika nchi ya adui zao ambao waliwachukua mateka, wakakuomba kuelekea nchi uliyowapa baba zao, kuelekea mji uliouchagua na Hekalu nililolijenga kwa ajili ya Jina lako,
39 Vous exaucerez du ciel, c’est-à-dire de votre demeure stable, leurs prières; veuillez faire justice, et pardonner votre peuple, quoique pécheur:
basi kutoka mbinguni, mahali pa makao yako, usikie dua yao na maombi yao na kuitetea haki yao. Uwasamehe watu wako, waliotenda dhambi dhidi yako.
40 Car vous êtes mon Dieu. Que vos yeux soient ouverts, je vous en conjure, et que vos oreilles soient attentives à la prière qui se fait en ce lieu.
“Sasa, Mungu wangu, macho yako na yafumbuke na masikio yako yasikie maombi yaombwayo mahali hapa.
41 Maintenant donc, levez-vous, Seigneur Dieu, pour établir ici votre repos, vous et l’arche de votre puissance; que vos prêtres, Seigneur Dieu, soient revêtus de salut, et que vos saints se réjouissent en vos biens.
“Sasa inuka, Ee Bwana Mungu,
42 Seigneur mon Dieu, ne détournez pas la face de votre christ: souvenez-vous des miséricordes de David, votre serviteur.
Ee Bwana Mungu, usimkatae

< 2 Chroniques 6 >