< 2 Chroniques 5 >
1 Salomon donc apporta tout ce qu’avait voué David, son père, l’argent, l’or et tous les vases, et il les mit dans les trésors de la maison de Dieu.
Wakati ilipomalizika kazi aliyofanya Selemani kwa ajili ya Yahwe, Selemani akapeleka vitu ndani, ambavyo Daudi, baba yake, aliviweka wakifu kwa kusudi hilo, pamoja na zile fedha, dhahabu, na vyombo vyote akavileta ndani ya hazina ya nyumba ya Mungu.
2 Après quoi, il assembla les anciens d’Israël, tous les princes des tribus et les chefs des familles des enfants d’Israël à Jérusalem, pour amener l’arche de l’alliance du Seigneur de la cité de David, qui est Sion.
Kisha Selemanai akawakusanya wazee wa Israeli, wakuu wa makabila yote, na viongozi wa familia za watu wa Israeli, katika Yerusalemu, ili walilete sanduku la agano la Yahwe kutoka mji wa Daudi, ambao ni Sayuni.
3 C’est pourquoi tous les hommes d’Israël vinrent auprès du roi au jour solennel du septième mois.
Wanaume wote wa Israeli wakakusanyika mbele za mfalme katika sikukuu, ambayo ilikuwa katika mwezi wa saba.
4 Et lorsque tous les anciens d’Israël furent venus, les Lévites enlevèrent l’arche,
Wazee wote wa Israeli wakaja, na Walawi wakalichukua sanduku.
5 Et l’apportèrent avec tous les ornements du tabernacle. Mais les vases du sanctuaire, qui étaient dans le tabernacle, ce furent les prêtres qui les portèrent avec les Lévites.
Wakalileta sanduku, hema ya kukutania, na vyombo vitakatifu vyote ambavyo vilikuwa ndani ya hema. Makuhani waliokuwa wa kabila la Lawi wakavileta vtu hivyo.
6 Or le roi Salomon, tout le peuple d’Israël, et tous ceux qui s’assemblèrent devant l’arche, immolaient des béliers et des bœufs sans nombre: tant était grande, en effet, la multitude des victimes.
Mfalme Selemanai na kusanyiko lote la Israeli wakaja pamoja, mbele ya sanduku, wakitoa sadaka za kondoo na maksai ambao hawakuweza kuhesabika.
7 Les prêtres portèrent donc l’arche de l’alliance du Seigneur en son lieu, c’est-à-dire, dans l’oracle du temple, dans le Saint des saints, sous les ailes des chérubins;
Makuhani wakalileta sanduku la anago la Yahwe ndani mahali pake, katika chumba cha ndani cha nyumba, kwenye patakatifu pa patakatifu, chini ya mabawa ya makerubi.
8 En sorte que les chérubins étendaient leurs ailes sur le lieu dans lequel l’arche avait été mise, et la couvraient elle-même avec ses leviers.
Kwa kuwa makerubi walitandaza mabawa yao juu ya mahali pa sanduku, na walilifunika sanduku na na miti yake ya kulibebea.
9 Quant aux leviers avec lesquels on portait l’arche, parce qu’ils étaient un peu plus longs, leurs têtes paraissaient devant le sanctuaire; mais si quelqu’un était un peu en dehors, il ne pouvait pas les voir. Ainsi l’arche a été là jusqu’au présent jour.
Miti ilikuwa mirefu sana kwamba ncha zake zlionekana kutoka ile sehemu takatifu mbele ya chumba cha andani, lakini hazikuweza kuonekana kutoka nje. Zipo hapo hadi leo.
10 Il n’y avait rien dans l’arche, si ce n’est les deux tables que Moïse y mit à Horeb, quand le Seigneur donna sa loi aux enfants d’Israël sortant d’Égypte.
Hapakuwa na kitu katika sanaduku isipokuwa zile meza mbili ambazo Musa aliziweka humo huko Horebu, wakati Mungu alipofanya agano na watu wa Israeli, walipotoka nje ya Misri.
11 Or les prêtres étaient sortis du sanctuaire (car tous les prêtres qui purent se trouver là furent sanctifiés; et en ce temps-là les classes et l’ordre des ministères n’avaient pas été encore distribués entre eux),
Ilikuwa makuhani walipotoka nje ya sehemu takatifu. Makuhanai wote wliokuwepo wakajiweka wakifu wenyewe kwa Yahwe, bila kujiamuru wenyewe kulingana na sehemu zao.
12 Tant les Lévites que les chantres, c’est-à-dire ceux qui étaient sous Asaph, sous Héman, sous Idithun, leurs fils et leurs frères, revêtus de fin lin, faisaient retentir des cymbales, des psaltérions et des harpes, se tenant au côté oriental de l’autel; et avec eux cent vingt prêtres sonnaient des trompettes.
Pia makuhani waliokuwa waimbaji, wote kwa ujumla wao, pamoja na Asafu, Hemani, Yeduthuni, na wana wao na ndugu zao, wakiwa wamevalia kitani safi na wakipiga matoazi, vinanda, na vinubi, wakaasimama upande wa mashariki wa mwisho wa madhabahu. Pamoja nao palikuwa na makuhuni 120 wakipuliza tarumbeta.
13 Ainsi tous ensemble chantant avec des trompettes, des voix, des cymbales, des orgues et d’autres instruments de divers genres, et élevant la voix dans les airs, un bruit s’entendait au loin, en sorte que, lorsqu’ils eurent commencé à louer le Seigneur, et à dire: Rendez gloire au Seigneur, parce qu’il est bon, parce que sa miséricorde est éternelle, la maison de Dieu fut remplie d’une nuée;
Ikawa kwamba wapuruza tarumbeta na waimbaji wakafanya mziki pamoja, wakifanya sauti moja isikike kwa ajili ya kumsifu na kumshukuru Yahwe. Walipaza sauti zao kwa tarumbeta, toazi na vyombo vingine, na wakamsifu Yahwe. Wakaimba, “Kwa maana Yeye ni mwema, kwa kuwa uaminifu wa agano lake wadumu milele.” Kisha nyumba, ile nyumba ya Yahwe, ikajawa na wingu.
14 En sorte que les prêtres ne pouvaient s’y tenir, ni remplir leur ministère à cause de la nuée; car la gloire du Seigneur avait rempli la maison de Dieu.
Makuhani hawakuweza kusimama ili wahudumu kwa sababu ya lile wingu, kwa maana utukufu wa Yahwe uliijaza nyumba yake.