< 2 Chroniques 22 >

1 Or les habitants de Jérusalem établirent roi, en sa place, Ochozias, le plus jeune de ses fils; car tous les aînés qui étaient avant lui, les voleurs Arabes qui avaient fait une irruption dans le camp, les avaient tués: ainsi régna Ochozias, fils de Joram, roi de Juda.
Wakaaji wa Yersusalemu wakamfanya Ahazia, mwana mdodgo wa Yehoramu, mfalme katika nafasi yake, kwa maana kundi la watu ambalo lilikuja na Waarabu katika ngome lilikuwa limewauwa wanaye wakubwa wote. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akawa mfalme.
2 Ochozias avait quarante-deux ans lorsqu’il commença à régner et il ne régna qu’un an à Jérusalem; et le nom de sa mère était Athalie, fille d’Amri.
Ahazia alikuwa na umri wa mika arobaini na mbili alipoanza kutawala; alitawala kwa mwaka mmoja katika Yerusalemu. Jina la mama yake aliitwa Athalia; alikuwa binti Omri.
3 Mais ce prince aussi entra dans les voies de la maison d’Achab; car sa mère le porta à se conduire d’une manière impie.
Pia Ahazia alitembea katika njia za nyumba ya Ahabu kwa maana mama yake alikuwa mshauri katika kufanya mamabo maovu.
4 Il fit donc le mal en la présence du Seigneur, comme la maison d’Achab; car ceux-mêmes qui y appartenaient furent ses conseillers après la mort de son père, pour sa perte.
Ahazia alifanya yaliyokuwa maovu katika macho ya Yahwe, kama nyumba ya Ahabu walivyokuwa wakifanya, kwa maana walikuwa washauri wake baada ya kifo cha baba yake, hadi kuangamia kwake.
5 Et il marcha selon leurs conseils, et il alla avec Joram, fils d’Achab, roi d’Israël, à la guerre contre Hazaël, roi de Syrie, à Ramoth-Galaad; et les Syriens blessèrent Joram,
Pia aliufuata ushauri wao; akaenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu, mfalme wa Israeli, kwa ajili ya kupigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Aramu, huko Ramothi-gileadi. Waaramu wakamjeruhi Yoramu.
6 Qui revint pour se faire guérir à Jezrahël; car il avait reçu beaucoup de blessures dans le susdit combat. Ainsi Ochozias, fils de Joram, roi de Juda, descendit pour voir Joram, malade à Jezrahël.
Yoramu akaraudi Yezreeli kwa ajili ya kuponywa majeraha ambayo walipa huko Rama, alipopigana dhidi ya Hazaeli, mfalme wa Aramu. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akaenda chini Yezreeli ili kumuona Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu Yoramu alikuwa amejeruhiwa.
7 Car il fut dans la volonté de Dieu contre Ochozias, qu’il vint vers Joram; et, lorsqu’il fut venu, il sortit avec lui contre Jéhu, fils de Namsi, que le Seigneur avait oint pour détruire la maison d’Achab.
Sasa uharibifu wa Ahazia ulikuwa umeletwa na Mungu kupitia kutembelewa na Yoramu. Alipokuwa amewasiri, alienda pamoja na Yeharamu ili kumvamia Yehu mwana wa Nimshi, ambaye Yahwe alikuwa amemchagua kwa ajili ya kuingamiza nyumba ya Ahabu.
8 Comme donc Jéhu s’en allait pour détruire la maison d’Achab, il trouva les princes de Juda et les fils des frères d’Ochosias qui le servaient, et il les tua.
Ikawa kwamba, Yehu alikuwa akichukua hukumu ya Mungu juu ya nyumba ya Ahabu, kwamba aliwakuta viongozi wa Yuda na wana wa ndugu zake Ahazia wakimtumikia Ahazia. Yehu akawauwa.
9 Et cherchant aussi Ochosias lui-même, il le surprit caché dans Samarie; et, après qu’on le lui eut amené, il le tua: or on l’ensevelit, parce qu’il était fils de Josaphat, qui avait cherché le Seigneur en tout son cœur; mais il n’y avait plus d’espérance qu’il régnât quelqu’un de la race d’Ochosias,
Yehu akamtafuta Ahazia; Wakamkamata akiwa amejificha katika Samaraia, wakamleta kwa Yehu, na wakamuuwa. Kisha wakamzika, kwa maana walisema, “Ni mwana wa Yehoshafati, ambaye alimtafuta Yahwe kwa moyo wake wote.” Kwa hiyo nyumba ya Ahazia haikuwa na nguvu zaidi kwa ajili ya kuutawala ule ufalme.
10 Attendu qu’Athalie, sa mère, voyant que son fils était mort, se leva, et tua toute la race royale de la maison de Joram.
Sasa Athalia, mama wa Ahazia, akaoana kwamba mwanaye alikuwa amekufa, akaianuka na kuwauwa watoto wote wa kifalme katika nyumba ya Yehu.
11 Mais Josabeth, fille du roi, prit Joas, fils d’Ochosias, et le déroba du milieu des enfants du roi, lorsqu’on les massacrait, et elle le cacha, avec sa nourrice, dans la chambre des lits: or Josabeth, qui l’avait caché, était fille de Joram, femme de Joïada, le pontife, et sœur d’Ochosias; et c’est pour cela qu’Athalie ne fit pas mourir Joas.
Lakini Yehoshaba, binti wa mfalme, akamchukua Yoashi, mwana wa Ahazia, na akamvutia mbali kutoka miongoni mwa wana wa mfalme ambao waliuawa. Akamuweka yeye na mlezi wake katika chumba cha kulala. Kwa hiyo Yehoshaba, binti wa mfalme Yehoramu, mke wa Yehoiada kuhani (kwa maana alikuwa dada yake Ahazia), akamficha asimuone Athalia, kwa hiyo Athalia hakumuuwa.
12 Ce prince fut caché avec eux dans la maison de Dieu, durant les six années que régna Athalie sur la terre de Juda.
Alikuwa pamoja nao, wakiwa wamejificha katika nyumba ya Mungu kwa miaka sita, Athalia alipotawala juu ya Yuda.

< 2 Chroniques 22 >