< 2 Chroniques 14 >
1 Abia dormit ensuite avec ses pères, et on l’ensevelit dans la cité de David, et son fils Asa régna en sa place; et, durant ses jours, la terre se reposa pendant dix ans.
Abiya kalala pamoja na babu zake, na wakamzika kataika maji wa Daudi. Asa, mwanaye, akawa mfalme katika nafasi yake. Katika siku yake nchi ilikuwa na miaka kumi.
2 Or Asa fit ce qui était bon et agréable en la présence de son Dieu: il détruisit les autels du culte étranger et les hauts lieux;
Asa alifanya yaliyomema na sahihi katika macho ya Yahwe Mungu wake,
3 Il brisa aussi les statues, coupa les bois sacrés;
kwa maana aliziondosha mbali madhabahu za kigeni na sehemu za juu. Akaziangusha chini nguzo za mawe na kuzikata nguzo za Maashera.
4 Et commanda à Juda de chercher le Seigneur Dieu de leurs pères, et d’observer la loi et tous les commandements.
Akawaamuru Yuda kumtafuta Yahwe, Mungu wa babu zao, na kuzishika sheria na amri.
5 Et il enleva de toutes les villes de Juda les autels et les temples, et il régna en paix.
Pia akaziondosha mbali sehemu za juu na madhabahu za kufukiza kutoka miji yote ya Yuda. Ufalme ulikuwa na pumziko chini yake.
6 Il bâtit aussi des villes fortifiées dans Juda, parce qu’il était tranquille, et qu’aucune guerre ne s’était élevée de son temps, le Seigneur lui accordant la paix.
Akajenga miji ya ngome katika Yuda, kwa maana nchi ilikuwa tulivu, na hakuwa na vita katika miaka hiyo, kwa sababu Yahwe alikuwa amempa amani.
7 C’est pourquoi il dit à Juda: Bâtissons ces villes, entourons-les de murs, et fortifions-les de tours, de portes et de serrures, pendant que tout est en repos du côté des guerres, parce que nous avons cherché le Seigneur Dieu de nos pères, et qu’il nous a donné la paix tout autour. Ils bâtirent donc, et, pendant la construction, il n’y eut aucun empêchement.
Kwa maana Asa aliwaambia Yuda, “Tuijenge miji hii na kuizungushia kuta, na minara, mageti, na makomeo; nchi bado yetu kwa sababu tumemtafuta Yahwe Mungu wetu. Tumemtafuta yeye, na ametupa amani katika kila upande.” Kwa hiyo walijenga na wakafanikiwa.
8 Or Asa eut dans son armée trois cent mille hommes de Juda, portant des boucliers et des piques; mais de Benjamin deux cent quatre-vingt mille scutaires et archers: tous ces hommes étaient très vaillants.
Asa alikuwa na jeshi ambalo lilibeba ngao na mikuki; kutoka Yuda alikuwa na wanaume 300, 000, na kutoka Benyamini, wanaume 280, 000 waliobeba ngao na kuvuta pinde.
9 Cependant Zara, l’Ethiopien, sortit contre eux avec son armée d’un million d’hommes et trois cents chariots, et il vint jusqu’à Marésa.
Zera Mwethiopia akaja juu yao na jeshi la wanajeshi milioni moja na magari mia tatu; akaja Maresha.
10 Mais Asa alla au-devant de lui, et rangea son armée en bataille dans la vallée de Séphata, qui est près de Marésa;
Kisha Asa akatoka nje kukutana naye, na wakapanga mistari ya vita ya mapigano katika bonde la Sefatha huko Maresha.
11 Et il invoqua le Seigneur son Dieu, et dit: Seigneur, il n’y a pour vous aucune différence de secourir avec un petit nombre ou un très grand nombre: secourez-nous, Seigneur notre Dieu, car c’est en vous et en votre nom qu’ayant confiance, nous sommes venus contre cette multitude. Seigneur, vous êtes notre Dieu; qu’un homme ne l’emporte pas sur vous.
Asa kamlilia Yahwe, Mungu wake, na akasema, “Yahwe, hakuna aliye kama wewe lakini ni wewe wa kumsaidia mtu asiye na nguvu anapokutana na mengi. Tusaidie, Yahwe, Mungu wetu, kwa maana tunakutegemea wewe, na katika jina lako tumekuja kupambana na idadi hii kubwa ya adui. Yahwe, wewe ni Mungu wetu; usimuache mtu akushinde.”
12 C’est pourquoi le Seigneur épouvanta les Ethiopiens devant Asa et Juda; et les Ethiopiens s’enfuirent.
Kwa hiyo Yahwe akawapiga Waethiopia mbele za ASa na Yuda; Waethiopia wakakimbia.
13 Et Asa les poursuivit, ainsi que le peuple qui était avec lui, jusqu’à Gérare; et les Ethiopiens périrent jusqu’à une entière extermination, parce qu’ils furent brisés, le Seigneur les taillant en pièces, pendant que l’armée d’Asa combattait. Ainsi les Israélites remportèrent beaucoup de dépouilles,
Asa pamoja na wanajeshi waliokuwa pamoja naye wakawafukuza hadi Gerari. Kwa hiyo Waethiopia wengi wakajeruhiwa kiasi kwamba hawakuweza kupona, kwa maana waliangamizwa kabisa mbele za Yahwe na jeshi lake. Jeshsi likachukua mateka wengi sana.
14 Et ils frappèrent toutes les villes autour de Gérare; car une grande terreur avait saisi tout le monde; et ils pillèrent les villes, et emportèrent un grand butin.
Jeshi likaviangamiza vijiji vyote jirani na Garari, kwa kuwa hofu ya Yahwe ilikuwa imekuja juu ya wakaaji. Jeshi likateka vijiji vyote, na vilikuwa na hazina nyingi sana ndani yake.
15 Mais détruisant même les parcs de brebis, ils prirent une multitude infinie de menu bétail et de chameaux, et ils revinrent à Jérusalem.
Jeshi pia likaipiga hema ya makazi yawachungaji; wakabeba kondoo kwa wingi, ngamia vile vile, na kisha wakarudi Yerusalemu.