< 1 Thessaloniciens 4 >

1 Au reste, mes frères, nous vous prions et vous conjurons dans le Seigneur Jésus, que, puisque vous avez appris de nous comment il faut que vous marchiez pour plaire à Dieu, vous marchiez en effet de telle sorte, que vous avanciez de plus en plus.
Hatimaye, ndugu zangu, mmejifunza kutoka kwetu namna mnavyopaswa kuishi ili kumpendeza Mungu. Na kweli mmekuwa mnaishi hivyo. Sasa tunawaombeni na kuwasihi kwa jina la Bwana Yesu mfanye vema zaidi.
2 Attendu que vous savez quels préceptes nous vous avons donnés de la part du Seigneur Jésus;
Maana mnayajua yale maagizo tuliyowapeni kwa mamlaka ya Bwana Yesu.
3 Car la volonté de Dieu, c’est votre sanctification, c’est que vous vous absteniez de la fornication;
Mungu anataka ninyi muwe watakatifu na mjiepushe kabisa na maisha ya zinaa.
4 Que chacun de vous sache posséder son corps saintement et honnêtement,
Kila mwanamume anapaswa kujua namna ya kuishi na mkewe kwa utakatifu na heshima,
5 Et non dans la passion de la convoitise, comme les gentils eux-mêmes, qui ignorent Dieu;
na si kwa tamaa mbaya kama watu wa mataifa mengine wasiomjua Mungu.
6 Et que personne n’opprime et ne trompe en cela son frère, parce que le Seigneur est le vengeur de toutes ces choses, comme nous vous l’avons déjà dit et attesté,
Basi, mtu yeyote asimkosee au kumpunja mwenzake kuhusu jambo hili. Tulikwisha waambieni hayo na kuwaonya kwamba Bwana atawaadhibu wanaofanya mambo hayo.
7 Car Dieu ne nous a point appelés à l’impureté, mais à la sanctification.
Mungu hakutuita tuishi maisha ya zinaa, bali tuishi katika utakatifu.
8 Ainsi, celui qui méprise ces préceptes, méprise, non pas un homme, mais Dieu qui nous a donné même son Esprit-Saint.
Kwa hiyo basi, anayedharau mafundisho hayo hamdharau mtu, bali amdharau Mungu mwenyewe anayewapeni Roho wake Mtakatifu.
9 Quant à la charité fraternelle, nous n’avons pas besoin de vous en écrire, puisque vous-mêmes avez appris de Dieu à vous aimer les uns les autres.
Hakuna haja ya kuwaandikieni juu ya kuwapenda ndugu zenu waumini. Ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu namna mnavyopaswa kupendana.
10 Et c’est aussi ce que vous faites à l’égard de tous nos frères dans toute la Macédoine. Mais, mes frères, nous vous exhortons à le faire de plus en plus,
Na mmekuwa mkiwatendea hivyo ndugu zenu wote kila mahali katika Makedonia. Basi, ndugu tunawaombeni mfanye hata zaidi.
11 Et à vous appliquer à vivre en repos, à vous occuper de ce qui vous est propre, à travailler de vos mains, comme nous vous l’avons recommandé; enfin à vous conduire honnêtement envers ceux qui sont dehors, et à ne désirer rien de personne.
Muwe na nia ya kuishi maisha ya utulivu, kila mmoja ashughulikie mambo yake mwenyewe na afanye kazi kwa mikono yake mwenyewe kama tulivyowaagiza pale awali.
12 Mais nous ne voulons pas, mes frères, que vous soyez dans l’ignorance touchant ceux qui dorment, afin que vous ne vous attristiez pas, comme font tous les autres, qui n’ont point d’espérance.
Kwa namna hiyo mtajipatia sifa nzuri kutoka kwa wale wasio Wakristo, na hamtakuwa na lazima ya kuwategemea wengine kwa mahitaji yenu.
13 Car si nous croyons que Jésus est mort et ressuscité, Dieu amènera de même avec Jésus ceux qui se seront endormis en lui.
Ndugu, twataka mjue ukweli kuhusu wale ambao wamekwisha fariki dunia, ili msipatwe na huzuni kama watu wengine wasio na matumaini.
14 Aussi nous vous affirmons sur la parole du Seigneur, que nous qui vivons, et qui sommes réservés pour l’avènement du Seigneur, nous ne préviendrons pas ceux qui se sont déjà endormis.
Sisi tunaamini kwamba Yesu alikufa, akafufuka; na hivyo sisi tunaamini kwamba Mungu atawaleta pamoja na Yesu wale wote waliofariki wakiwa wanamwamini.
15 Car le Seigneur lui-même, au commandement, et à la voix de l’archange, et au son de la trompette de Dieu, descendra du ciel; et ceux qui seront morts dans le Christ ressusciteront les premiers.
Hili tunalowaambieni ni fundisho la Bwana; sisi tulio hai, ambao tutakuwa tumebaki, wakati Bwana atakapokuja, hakika hatutawatangulia wale waliokwisha fariki dunia.
16 Ensuite nous qui vivons, qui sommes restés, nous serons emportés avec eux dans les nuées au-devant du Christ dans les airs; et ainsi nous serons à jamais avec le Seigneur.
Maana patatolewa amri, sauti ya malaika mkuu, sauti ya tarumbeta ya Mungu, naye Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni. Ndipo wale waliokufa wakiwa wanamwamini Kristo watafufuliwa kwanza.
17 Consolez-vous donc les uns les autres par ces paroles.
Kisha sisi tulio hai wakati huo tutakusanywa pamoja nao katika mawingu kumlaki Bwana hewani. Na hivyo tutakuwa daima pamoja na Bwana.
Basi, farijianeni kwa maneno haya.

< 1 Thessaloniciens 4 >