< 1 Chroniques 3 >

1 Or voici les fils qu’eut David, qui lui naquirent à Hébron: l’aîné, Amnon, fils d’Achinoam de Jezrahel; le second, Daniel, fils d’Abigaïl du Carmel;
Sasa hawa ndio wana wa Daudi waliozaliwa kwake huko Hebroni: mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni, kwa Ahinoamu kutoka Yezreeli; wa pili alikuwa Danieli, kwa Abigaili kutoka Karmeli;
2 Le troisième, Absalom, fils de Maacha, fille de Tholmaï, roi de Gessur; le quatrième, Adonias, fils d’Aggith;
watatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa ni Maaka, binti wa Talmai mfalme wa Geshuri. Wanne alikuwa ni Adoniya mwana wa Hagithi;
3 Le cinquième, Saphatias, qu’il eut d’Abital; le sixième, Jéthraham, fils d’Egla, sa femme.
watano alikuwa ni Shefatia kwa Abitali, wasita alikuwa ni Ithraeamu kwa Egla mkewe.
4 Il lui naquit donc six fils à Hébron, où il régna sept ans et un mois. Mais il régna trente-trois ans à Jérusalem.
Hawa sita walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni, alipo tawala miaka saba na miezi sita. Kisha akatawala miaka thelathini na mitatu huko Yerusalemu.
5 Or, à Jérusalem, voici les fils qui lui naquirent: Simmaa, Sobab, Nathan, Salomon, quatre qu’il eut de Bethsabée, fille d’Ammiel;
Hawa wana wa nne, kwa Bathshua binti wa Amieli, walizaliwa kwake huko Yerusalemu: Shamua, Nathani, na Sulemani.
6 De plus Jébaar et Elisama,
Wana tisa wengine wa Daudi walikuwa ni: Ibhari, Elishua, Elipeleti,
7 Eliphaleth, Nogé, Népheg et Japhia,
Noga, Nefegi, Yafia,
8 Comme aussi Elisama, Eliada et Eliphéleth: en tout, neuf.
Elishama, na Elifeleti.
9 Ce sont là tous les fils de David, outre les fils de ses femmes du second rang; et ils eurent une sœur, Thamar.
Hawa walikuwa wana wa Daudi, pasipo kuwehesababu wana wa masuria wake. Tamari alikuwa dada yao.
10 Or le fils de Salomon fut Roboam, dont le fils Abia engendra Asa; de celui-ci aussi est né Josaphat,
Mwana wa Sulemani alikuwa ni Rehoboamu. Mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya. Mwana wa Abiya alikuwa Asa. Mwana wa Asa alikuwa Yehoshafati.
11 Père de Joram, qui engendra Ochozias, duquel est né Joas;
Mwana wa Yehoshafati alikuwa Yoramu. Mwana wa Yoramu alikuwa Ahazia. Mwana wa Ahazia alikuwa Yoashi.
12 Dont le fils Amasias engendra Azarias. Or le fils d’Azarias, Joathan,
Mwana wa Yoashi alikuwa Amazia. Mwana wa Amazia alikuwa Azaria. Mwana wa Azaria alikuwa Yothamu.
13 Procréa Achaz, père d’Ezéchias, dont naquit Manassé.
Mwana wa Yothamu alikuwa Ahazi. Mwana wa Ahazi alikuwa Hezekia. Mwana wa Hezekia alikuwa Manase.
14 Mais Manassé aussi engendra Amon, père de Josias.
Mwana wa Manase alikuwa Amoni. Mwana wa Amoni alikuwa Yosia.
15 Or les fils de Josias furent: le premier-né, Johanan; le second, Joakim; le troisième, Sédécias; le quatrième, Sellum.
Wana wa Yosia aliyekuwa mzaliwa wake wa kwanza ni Yohana, wapili Yehoyakimu, mwanae watatu Sedekia, na mwanae wanne Shalumu.
16 De Joakim naquit Jéchonias, puis Sédécias.
Wana wa Yehoyakimu walikuwa Yehoyakini na Sedekia.
17 Les fils de Jéchonias furent Asir, Salathiel,
Wana wa YehoYakini, mateka, walikuwa Shealtieli,
18 Melchiram, Phadaïa, Sennéser et Jécémia, Sama et Nadabia.
Malkiramu, Pedaya, Shenezari, Yekamia, Hoshama, na Nedabia.
19 De Phadaïa sont nés Zorobabel et Séméi. Zorobabel engendra Mosollam, et Hananias et Salomith leur sœur;
Wana wa Pedaya walikuwa Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa Meshulamu na Hanania; Shelomithi alikuwa dada yao.
20 Et encore, Hasabas, Ohol, Barachias, Hasadias et Josabhesed: en tout, cinq.
Wanae watano walikuwa Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia, na Yushabu Hesedi.
21 Or le fils d’Hananias fut Phaltias, père de Jéséias, dont le fils fut Raphaïa, et le fils de celui-ci, Arnan, duquel naquit Obdia, dont le fils fut Séchénias;
Wana wa Hanania walikuwa Pelatia na Yeshaya. Mwanawe alikuwa Refaya, na uzao wake zaidi walikuwa ni Arnani, Obadia, na Shekania.
22 Le fils de Séchénias, Séméia, dont les fils furent Hattus, Jégaal, Baria, Naaria et Saphat; au nombre de six.
Mwana wa Shekania alikuwa Shemaya. Wana wa Shemaya walikuwa Hatushi, Igali, Baria, Nearia, na Shafati.
23 Les fils de Naarias, Elioénaï, Ezéchias et Ezricam; trois.
Wana watatu wa Nearia walikuwa Elioenai, Hizekia, na Azrikamu.
24 Les fils d’Elioénaï: Oduïa, Eliasub, Phéléia, Accub, Johanan, Dalaïa et Anani; sept.
Wana saba wa Elioenai walikuwa Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohana, Delaya, na Anani.

< 1 Chroniques 3 >