< 1 Chroniques 22 >
1 Et David dit: C’est la maison de Dieu, et c’est l’autel pour l’holocauste d’Israël.
Kisha Daudi akasema, “Hapo ndipo nyumba ya Yahweh Mungu itakuwepo, na madhabahu ya sadaka za kuteketezwa za Israeli.”
2 Et il ordonna qu’on assemblât tous les prosélytes de la terre d’Israël, et il prit parmi eux des tailleurs de pierre, pour tailler des pierres et les polir, afin que la maison de Dieu fût bâtie.
Hivyo Daudi akaagiza watumishi wake wawakusanye pamoja wageni wote wanao ishi katika nchi ya Israeli. Aliwapangia kuwa wachonga mawe, kuchonga matofali ya mawe, ilikuweza kujenga nyumba ya Mungu.
3 David prépara aussi beaucoup de fer pour les clous des portes et pour les gonds et joints, et un poids d’airain innombrable.
Daudi alisambaza idadi kubwa ya chuma kwa ajili ya misumari na vitasa vya kuweka kwenye malango. Pia alitoa shaba zaidi kushinda kipimo,
4 On ne pouvait de même estimer les bois de cèdre que les Sidoniens et les Tyriens avaient apportés à David.
na miti ya mierezi zaidi ya kipimo. (Wasidoni na Watiria walileta mboa nyingi za mierezi kwa Daudi azihesabu.)
5 Et David dit: Salomon, mon fils, est un enfant très jeune et délicat; et la maison que je veux bâtir au Seigneur doit être telle, qu’on en parle dans tous les pays: je lui préparerai donc toutes les choses nécessaires. Et c’est pour ce motif qu’avant sa mort il prépara toutes les dépenses.
Daudi akasema, “Mwanangu Sulemani ni mdogo na hana uzoefu, na nyumba itayo jengwa kwa Yahweh lazima iwe maridadi, ilikwamba iwe maarufu na ya utukufu kwa nchi zingine. Hivyo nitaanda ujenzi wake.” Hivyo Daudi akafanya maandalizi ya kina kabla ya mauti yake.
6 Et il appela Salomon, son fils, et lui ordonna de bâtir une maison au Seigneur Dieu d’Israël.
Akaagiza Sulemani mwanae kuitwa na kumuamuru ajenge nyumba ya Yahweh, Mungu wa Israeli.
7 David dit donc à Salomon: Mon fils, il a été dans ma volonté de bâtir une maison au nom du Seigneur mon Dieu;
Daudi akasema kwa Sulemani, “Mwanangu, ilikuwa dhamira yangu kujenga nyumba mwenyewe, kwa ajili ya jina la Yahweh Mungu wangu.
8 Mais la parole du Seigneur s’est fait entendre à moi, disant: Tu as versé beaucoup de sang, et tu as combattu un grand nombre de combats: tu ne pourras pas bâtir une maison à mon nom, tant de sang ayant été versé devant moi.
Lakini Yahweh alikuja kwangu na kusema, 'Wewe umemwaga damu nyingi na umepigana mapambono mengi. Hauta jenga nyumba kwa jina langu, kwasababu umemwaga damu nyingi kwenye ardhi machoni pangu.
9 Un fils qui te naîtra sera un homme très tranquille; car je le mettrai en repos du côté de tous ses ennemis d’alentour; et pour ce motif il sera appelé Pacifique; et je donnerai en Israël paix et repos durant tous ses jours.
Walakini, utapata mwana ambaye atakuwa mtu wa amani. Nitampa kupumzika na maadui zake kwa kila upande. Kwa kuwa jina lake litaitwa Sulemani, na nitatoa amani na utulivu kwa Israeli katika siku zake.
10 C’est lui qui bâtira une maison à mon nom; lui sera mon fils, et moi, je serai son père, et j’affermirai le trône de son royaume sur Israël pour toujours.
Ata jenga nyumba kwa jina langu. Ata kuwa mwana wangu, na nitakuwa baba yake. Nitaimarisha kiti cha enzi cha ufalme wake juu ya Israeli.
11 Maintenant donc, mon fils, que le Seigneur soit avec toi, prospère, et bâtis une maison au Seigneur ton Dieu, comme il l’a dit de toi.
Sasa, mwanangu, Yahweh awe nawe na kukuwezesha kufanikiwa. Uweze kujenga nyumba ya Yahweh Mungu wako, kama alivyo sema utajenga.
12 Que le Seigneur te donne aussi la sagesse et l’intelligence, afin que tu puisses régir Israël et garder la loi du Seigneur ton Dieu;
Yahweh tu akupe uwelewa na ufahamu, ili utii sheria ya Yahweh Mungu wako, ata kapokuweka kiongozi juu ya Israeli.
13 Car tu pourras profiter, alors que tu garderas les commandements et les ordonnances que le Seigneur a prescrit à Moïse d’enseigner à Israël: fortifie-toi, et agis courageusement; ne crains point, et ne t’épouvante pas.
Kisha utafanikiwa, kama tu ukitii maagizo na amri Yahweh alizo mpa Musa kuhusu Israeli. Kuwa hodari na mshujaa. Usiogope wala kufadhaika.
14 Voilà que moi, dans ma pauvreté, j’ai préparé, pour les dépenses de la maison du Seigneur, cent mille talents d’or et un million de talents d’argent; mais il n’y a pas de poids pour l’airain et pour le fer; car la quantité surpasse tout calcul: j’ai préparé des bois et des pierres pour tous les usages.
Sasa, ona, kwa bidii kubwa nimeandaa kwa ajili ya nyumba ya Yahweh talanta 100, 000 za dhahabu, talanta milioni moja za fedha, na shaba na chuma katika idadi kubwa. Pia nimetoa mbao na mawe. Lazima uongeze zaidi katika haya.
15 Tu as aussi un grand nombre d’ouvriers, de tailleurs de pierres, de maçons, et des ouvriers en bois et de tous les métiers, très habiles à faire des ouvrages
Una wafanya kazi wengi: wachonga mawe, maseremala, wanaume wenye ujuzi mbali mbali,
16 En or, en argent, en airain et en fer, qui sont sans nombre. Lève-toi donc, et fais, et le Seigneur sera avec toi.
wenye uwezo wa kufanya kazi na dhahabu, fedha, shaba, na nishati. Hivyo anza kufanya kazi, na Yahweh awe nawe.
17 David ordonna aussi à tous les princes d’Israël d’aider Salomon, son fils.
Daudi akawaagiza viongozi wote Waisraeli wamsaidie Sulemani mwanae, akisema,
18 Vous voyez, dit-il, que le Seigneur votre Dieu est avec vous, et qu’il vous a donné le repos alentour, qu’il a livré tous vos ennemis en vos mains, et que la terre est soumise devant le Seigneur et devant son peuple.
“Yahweh Mungu wenu yupo nanyi na amewapa amani kila pande. Amewakabidhi mikononi mwangu wenyeji wote mkoa. Mkoa umetiishwa mbele za Yahweh na watu wake.
19 Disposez donc vos cœurs et vos âmes à chercher le Seigneur votre Dieu: levez-vous, et bâtissez le sanctuaire au Seigneur Dieu, afin que l’arche de l’alliance du Seigneur et les vases consacrés au Seigneur soient transportés dans la maison qui sera bâtie au nom du Seigneur.
Sasa mtafuteni Yahweh Mungu wenu kwa moyo wenu wote na nafsi. Simameni na mjenge sehemu takatifu ya Yahweh Mungu. Kisha mwaweza kuleta sanduku la agano la Yahweh na vitu vya Mungu ndani ya nyumba iliyo jengwa kwa ajili ya jina la Yahweh.