< 1 Chroniques 21 >

1 Or Satan s’éleva contre Israël, et excita David à dénombrer Israël.
Adui akainuka dhidi ya Israeli na kumchochea Daudi kuhesabu Israeli.
2 Et David dit à Joab et aux princes du peuple: Allez, et dénombrez Israël, depuis Bersabée jusqu’à Dan, et apportez-moi le nombre, afin que je le sache.
Daudi akamwabia Yoabu na kwa wakuu wa Jeshi, “Nenda, wahesabu watu wa Israeli kutoka Beerisheba mpaka Dani na uniletee taarifa, ilinijue idadi yao.”
3 Et Joab répondit: Que le Seigneur accroisse son peuple au centuple de ce qu’il est: est-ce, mon seigneur roi, que tous ne sont pas vos serviteurs? Pourquoi mon seigneur recherche-t-il ce qui sera imputé à péché à Israël?
Yoabu akasema, “Yahweh na afanya jeshi lake mara mia zaidi ya lilivyo. Lakini bwana wangu mfalme, kwani wote hawamtumikii bwana wangu? kwa nini bwana wangu anataka hili? Kwa nini ulete hatia kwa Israeli?”
4 Mais la parole du roi prévalut, et Joab sortit et parcourut tout Israël, et il revint à Jérusalem.
Lakini neno la mfalme halikubadilika kwa Yoabu. Hivyo Yoabu akaondoka na kwenda Israeli yote. Kisha akarudi Yerusalemu.
5 Et il donna à David le nombre de tous ceux qu’il avait visités, et le nombre total d’Israël se trouva onze cent mille hommes d’Israël, tous tirant le glaive; mais de Juda, quatre cent soixante-dix mille guerriers.
Yoabu akatoa taarifa ya idadi ya jumla ya wanaume wa mapambano kwa Daudi. Kulikuwa ndani ya Israeli wanaume 1, 100, 000 walio beba upanga. Yuda peke yake kulikuwa na wanajeshi 470, 000.
6 Car, pour Lévi et Benjamin, Joab ne les dénombra point, parce que c’était à regret qu’il exécutait l’ordre du roi.
Lakini Levi na Benjamini hawaku hesabiwa miongoni mwao, kwa kuwa amri ya mfalme ilimuudhi Yoabu.
7 En effet, ce qui avait été commandé déplut à Dieu, et il frappa Israël.
Mungu alikwazika na hili tendo, akashambulia Israeli.
8 Et David dit à Dieu: J’ai péché grièvement en faisant cela. Je vous conjure, effacez l’iniquité de votre serviteur, parce que j’ai agi en insensé.
Daudi akamwambia Mungu, “Nimetenda dhambi kubwa kwa kufanya hili. Sasa chukua hatia ya mtumishi wako, nimetenda kwa ujinga sana.”
9 Alors le Seigneur parla à Gad, le Voyant de David, disant:
Yahweh akamwambia Gadi, nabii wa Daudi,
10 Va et parle à David, et dis-lui: Voici ce que dit le Seigneur: Je te donne l’option de trois choses; choisis celle que tu voudras, et je te la ferai.
“Nenda useme kwa Daudi, “Hili ndilo Yahweh anasema: Ninakupa maamuzi matatu. Chagua moja wapo.”
11 Lors donc que Gad fut venu vers David, il lui dit: Voici ce que dit le Seigneur: Choisis ce que tu voudras:
Hivyo Gadi akaenda kwa Daudi na kusema, “Yahweh anasema hivi, 'Chagua moja ya haya:
12 Ou, durant trois ans, une famine; ou, durant trois mois, fuir devant les ennemis et ne pouvoir pas éviter leur glaive; ou que, pendant trois jours, le glaive du Seigneur et une peste règnent dans le pays, et qu’un ange du Seigneur tue dans tous les confins d’Israël. Maintenant donc, vois ce que je dois répondre à celui qui m’a envoyé.
kati ya miaka mitatu ya ukame, miezi mitatu unakimbizwa na adui zako na kupatwa na upanga wao, au siku tatu za upanga wa Yahweh, yani, pigo katika nchi, malaika wa Yahweh akiharibu nchi yote ya Israeli.' Hivyo sasa, amua jibu gani ni mpelekee yeye aliye nituma.”
13 Et David dit à Gad: De toutes parts les angoisses me pressent; mais il vaut mieux pour moi que je tombe dans les mains du Seigneur (parce que ses miséricordes sont sans nombre), que dans les mains des hommes,
Kisha Daudi akamwambia Gadi, “Nipo katika shida kubwa sana. Acha nianguke katika mikono ya Yahweh kuliko kuangukia mikono ya mwanadamu, sababu matendo yake ya rehema ni makubwa mno.”
14 Le Seigneur envoya donc une peste en Israël, et il mourut d’Israël soixante-dix mille hommes.
Hivyo Yahweh akatuma pigo Israeli, na watu elfu sabini wakafa.
15 Il envoya aussi un ange à Jérusalem pour la frapper; et, lorsqu’elle était frappée, le Seigneur le vit, et fut touché de compassion à cause de la grandeur du mal; il commanda donc à l’ange qui frappait: Il suffit; qu’à l’instant ta main s’arrête. Or l’ange du Seigneur se tenait alors près de l’aire d’Ornan, le Jébuséen.
Mungu akatuma malaika Yerusalemu kuiharibu. Wakati alipo taka kuiharibu, Yahweh akatazama na kubadili nia yake kuhusu shambulio. Akasema kwa malaika wa uharibifu, “Imetosha! Rudisha mkono wako.” Wakati huo malaika wa Yahweh alikua amesimama eneo la kupeta la Orinani Myebusi.
16 Et David, levant ses yeux, vit l’ange du Seigneur debout entre le ciel et la terre, et un glaive nu en sa main, et tourné contre Jérusalem; alors lui aussi bien que les anciens, revêtus de cilices, tombèrent inclinés vers la terre.
Daudi akatazama juu na kuona malaika wa Yahweh amesimama kati ya nchi na mbingu, akiwa na upanga mkonono mwake akiuelekeza Yerusalemu. Kisha Daudi na wazee, wakiwa wamevaa magunia, wakalala chini uso ukiwa kwenye ardhi.
17 Et David dit à Dieu: N’est-ce pas moi qui ai commandé de dénombrer le peuple? C’est moi qui ai péché; c’est moi qui ai fait le mal; mais ce troupeau, qu’a-t-il mérité? Seigneur mon Dieu, je vous conjure, que votre main se tourne contre moi et contre la maison de mon père; mais que votre peuple ne soit pas frappé.
Daudi akamwambia Mungu, “Sio mimi niliye amuru jeshi kuhesabiwa? Nimefanya hichi kitu kiovu. Lakini hawa kondoo, wamefanya nini? Yahweh Mungu wangu! Acha mkono wako unipige mimi na familia yangu, lakini usiache pigo iliendelee kubaki kwa watu wako.”
18 Or l’ange du Seigneur ordonna à Gad de dire à David qu’il montât et dressât un autel au Seigneur Dieu dans l’aire d’Ornan, le Jébuséen.
Hivyo malaika wa Yahweh akamuamuru Gadi kusema kwa Daudi, kwamba Daudi aende juu na kujenga madhabahu ya Yahweh katika eneo la kupeta la Oranani Myebusi.
19 David monta donc, suivant la parole que Gad lui avait dite au nom du Seigneur.
Daudi akaenda kama Gadi alivyo muelekeza cha kufanya kwa jina la Yahweh.
20 Mais lorsqu’Ornan eut levé les yeux, et qu’il eut vu l’ange du Seigneur, ainsi que ses quatre fils, ils se cachèrent; car, en ce moment-là, il battait du blé dans son aire.
Wakati Orinani akipepeta ngano, aligeuka na kumuona malaika. Yeye na wana wake wanne wakajificha.
21 Lors donc que David venait vers Ornan, Ornan l’aperçut, et s’avança de l’aire au-devant de lui, puis se prosterna devant lui, incliné vers la terre.
Wakati Daudi alipo kuja kwa Orinani, Orinani akatazama na kumuona Daudi. Aliacha eneo la kupeta na akamuinamia Daudi uso wake ukiwa kwenye ardhi.
22 Et David lui dit: Donne-moi la place de ton aire, afin que j’y bâtisse un autel au Seigneur; en sorte que tu reçoives autant d’argent qu’elle vaut, et que la plaie soit détournée du peuple.
Kisha Daudi akasema kwa Orinani, “Niuzie hili eneo la kupeta, iliniweze kumjenga Yahweh madhabahu. Nitalipa gharama yote, ili pigo liondolewe kwa watu.”
23 Or Ornan répondit à David: Prenez, et que mon seigneur le roi fasse ce qui lui plaît: et je lui donne aussi les bœufs pour l’holocauste, les herses pour le bois, et le blé pour le sacrifice; je lui donne tout cela avec plaisir.
Orinani wakwambia Daudi, “Chukuwa kama lako, bwana wangu mfalme. Fanya nalo linalo kupendeza. Tazama, nitakupa ng'ombe kwa sadaka ya kuteketeza, vifaa vya kupeta kwa ajili ya mbao, na ngano kwa sadaka ya mbegu; nitakupa yote wewe.”
24 Et le roi David lui dit: Pas du tout, la chose ne se fera point ainsi, mais je donnerai autant d’argent qu’elle en vaut; car je ne dois pas te l’ôter, et offrir ainsi au Seigneur des holocaustes qui ne me coûtent rien.
Mfalme Daudi akamwambia Orinani, “Hapana, nina sisitiza kununua kwa bei yote. Sitachukua kilicho chako na kutoa kama sadaka ya kuteketeza kwa Yahweh kama haitanighramu chochote.”
25 David donna donc à Ornan, pour la place de l’aire, six cents sicles d’or d’un poids très juste.
Hivyo Daudi akalipa shekeli mia sita ya dhahabu kwa hilo eneo.
26 Et il bâtit là un autel au Seigneur, et il offrit des holocaustes et des sacrifices pacifiques; et il invoqua le Seigneur, qui l’exauça par le moyen du feu descendu du ciel sur l’autel de l’holocauste.
Daudi akajenga madhabahu ya Yahweh pale na kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za ushirika. Akamuita Yahweh, aliye mjibu kwa moto kutoka mbinguni kwenye madhabahu ya sadaka za kuteketezwa.
27 Et le Seigneur ordonna à l’ange, et il remit son glaive dans le fourreau.
Kisha Yahweh akampa agizo malaika, na malaika akarudisha upanga kwenye mfuko wake.
28 Aussitôt donc David, voyant que le Seigneur l’avait exaucé dans l’aire d’Ornan, le Jébuséen, immola dans ce lieu des victimes.
Daudi alipo ona kuwa Yahweh amemjibu kwenye eneo la kupeta la Orinani Myebusi, alitoa dhabihu pale pale kwa wakati huo.
29 Mais le tabernacle du Seigneur que Moïse avait fait dans le désert, et l’autel des holocaustes, étaient à cette époque au haut lieu de Gabaon.
Sasa kwa wakati huo, hema la kuabudia la Yahweh, ambalo Musa alilitengeneza nyikani, na madhabahu ya sadaka za kuteketezwa, zilikuwa sehemu ya juu huko Gibeoni.
30 Et David n’eut pas la force d’aller jusqu’à l’autel pour y prier Dieu, parce qu’il avait été frappé d’une trop grande crainte en voyant le glaive de l’ange du Seigneur.
Walakini, Daudi hakuweza kwenda huko kumuliza Mungu muelekeo, kwa kuwa alikuwa anaogopa upanga wa malaika wa Yahweh.

< 1 Chroniques 21 >