< 1 Chroniques 15 >
1 Il se construisit aussi des maisons dans la cité de David, et il bâtit un lieu pour l’arche de Dieu, et il lui dressa un tabernacle.
Daudi akajingea nyumba zake katika mji wa Daudi. Akaanda sehemu kwa ajili ya sanduku la Mungu na hema lake.
2 Et il dit: Il n’est pas permis que l’arche de Dieu soit portée par d’autres que par les Lévites que le Seigneur a choisis pour la porter et pour le servir à jamais.
Kisha Daudi akasema, “Walawi pekee ndio watabeba sanduku la Mungu, kwa kuwa walichaguliwa na Yahweh kubeba sanduku la Yahweh, na kumtumikia milele.”
3 Et il assembla tout Israël à Jérusalem, afin que l’arche de Dieu fût portée en son lieu qu’il lui avait préparé.
Kisha Daudi akakusanya Israeli yote Yerusalemu, kuleta sanduku la Yahweh sehemu aliyo iandaa.
4 Il assembla aussi les fils d’Aaron et les Lévites.
Daudi akakusanya uzao wa Aruni na Walawi pamoja.
5 D’entre les fils de Caath, ce fut Uriel, le prince, et ses frères, au nombre de cent vingt.
Kutoka uzao wa Kohathi, palikuwa na Urieli kiongozi na ndugu zake, wanaume 120.
6 D’entre les fils de Mérari, Asaïa, le prince, et ses frères, au nombre de deux cent vingt.
Kutoka uzao wa Merari, palikuwa na Asaia kiongozi na ndugu zake, wanaume 220.
7 D’entre les fils de Gersom, Joël, le prince, et ses frères, au nombre de cent trente.
Kutoka uzao wa Gerishomu, palikuwa na Yoeli kiongozi na ndugu zake, wanaume 130.
8 D’entre les fils d’Elisaphan, Séméias, le prince, et ses frères, au nombre de deux cents.
Kutoka uzao wa Elizafani, palikuwa na Shemaia kiongozi na ndugu zake, wanaume 200.
9 D’entre les fils d’Hébron, Eliel, le prince, et ses frères, au nombre de quatre-vingts.
Kutoka uzao wa Hebroni, palikuwa na Elieli kiongozi na ndugu zake, wanaume themanini.
10 D’entre les fils d’Oziel, Aminadab, le prince, et ses frères, au nombre de cent douze.
Kutoka uzao wa Uzieli, palikuwa na Aminadabu kiongozi na ndugu zake, wanaume 112.
11 David appela donc Sadoc et Abiathar, prêtres, et les Lévites Uriel, Asaïa, Joël, Séméias, Eliel et Aminadab,
Daudi akaagiza Zadoki kuitwa na Abiathari kuhuani, na Walawi Urieli, Asaia, Yoeli, Shemaia, Elieli, na Aminadabu.
12 Et il leur dit: Vous qui êtes les princes des familles de Lévi, sanctifiez-vous avec vos frères, et apportez l’arche du Seigneur Dieu d’Israël au lieu qui lui a été préparé;
Akasema, “Nyinyi ni viongozi wa familia za Kilawi. Jiwekeni wakfu, nyie na ndugu zenu, ilikwamba mlete sanduku la Yahweh, Mungu wa Israeli, kwenye sehemu niliyo iandaa.
13 De peur que, comme la première fois, le Seigneur nous frappa, parce que vous n’étiez pas présents, il n’arrive aussi maintenant de même, si nous faisons quelque chose qui n’est point permis.
Mara ya kwanza hamkubeba. Ndio maana Yahweh Mungu wetu akawa na hasira kwetu, kwa kuwa hatuku mtafuta wala kutii amri yake.”
14 Les prêtres se sanctifièrent donc, et les Lévites, afin de porter l’arche du Seigneur Dieu d’Israël.
Hivyo makuhani na Walawi waka jiweka wakfu iliwaweze kuleta sanduku la Yahweh, Mungu wa Israeli.
15 Et les fils de Lévi portèrent l’arche de Dieu, comme l’avait ordonné Moïse, d’après la parole du Seigneur, sur leurs épaules, avec les leviers.
Walawi wakabeba sanduku la Mungu katika mabega yao na nguzo, kama Musa alivyo amuru-kwa kufuata sheria zilizo tolewa na Yahweh.
16 Et David dit aux princes des Lévites d’établir d’entre leurs frères les chantres avec des instruments de musique; savoir, des nables, des lyres et des cymbales, afin que retentît bien haut un bruit de joie.
Daudi akazungumza na viongozi wa Walawi kuwapangia ndugu zao kuwa wana muziki wenye vyombo vya muziki, vyombo vya uzi, vinubi na upatu, kwa kupiga kwa sauti na furaha wakipaza sauti zao.
17 Ils établirent donc les Lévites, Héman, fils de Joël; et, d’entre ses frères, Asaph, fils de Barachias; mais, d’entre les fils de Mérari et d’entre leurs frères, Ethan, fils de Casaïa,
Hivyo Walawi wakamchagua Hemani mwana wa Yoeli na mmoja wa kaka zake, Asafu mwana wa Berekia. Pia walimchagua ndugu wa uzao wa Merari na Ethani mwana wa Kushaia.
18 Et avec eux leurs frères; et au second rang, Zacharie, Ben, Jaziel, Sémiramoth, Jahiel, Ani, Eliab, Banaïas, Maasias, Mathathias, Eliphalu, Macénias, Obédédom et Jéhiel, portiers.
Pamoja nao walikuwa ndugu wa daraja la pili: Zekarai, Yaazieli, Shemiramothi, Yehieli, Uni, Eliabu, Benaia, Maasaeia, Matithia, Elifelehu, Mikineaia, Obedi Edomu, na Yeieli, mlinzi wa lango.
19 Or les chantres, Héman, Asaph et Ethan, jouaient des cymbales d’airain.
Wanamuziki Hemani, Asafu, na Ethani walichaguliwa kupiga upatu wa shaba.
20 Mais Zacharie, Oziel, Sémiramoth, Jahiel, Ani, Eliab, Maasias et Banaïas, chantaient sur des nables les choses mystérieuses;
Zekaria, Azieli, Shemiramothi, Yehieli, Uni Eliabu, Maaseia, na Benaia walicheza vyombo vya uzi.
21 Et Mathathias, Eliphalu, Macénias, Obédédom, Jéhiel et Ozaziu, chantaient sur des harpes, pour l’octave, un chant de victoire.
Matithia, Elifelehu, Mikineia, Obedi Edomu, Yeieli, na Azazia waliongoza njia na vinubi.
22 Quant à Chonénias, prince des Lévites, il présidait à la prophétie, pour commencer le premier la symphonie; car il était très habile.
Kenania, kiongozi wa Walawi, aliongoza uimbaji sababu alikuwa mwalimu wa muziki.
23 Barachias et Elcana étaient portiers de l’arche.
Berekia na Elikana walikuwa walinzi wa sanduku.
24 Sébénias, Josaphat, Nathanaël, Amasaï, Zacharie, Banaïas et Eliézer, prêtres, sonnaient des trompettes devant l’arche de Dieu: Obédédom aussi et Jéhias étaient portiers de l’arche.
Shebania, Yoshafati, Nethanieli, Amasai, Zekaria, Benaia, na Eliezeri, makuhani, walikuwa wa kupuliza matarumbeta mbele ya sanduku la Mungu. Obedi Edomu na Yehia walikuwa walinzi wa sanduku.
25 Ainsi David et tous les anciens d’Israël, et les tribuns, allèrent pour transporter l’arche de l’alliance du Seigneur, de la maison d’Obédédom à Jérusalem, avec allégresse.
Hivyo Daudi, wazee wa Israeli, na wakuu wa maelfu wakaenda kuchukua sanduku la agano la Yahweh kutoka nyumba ya Obedi Edomu kwa shangwe.
26 Et, comme Dieu avait aidé les Lévites qui portaient l’arche de l’alliance du Seigneur, on immola sept taureaux et sept béliers.
Wakati Mungu alipo wasaidia Walawi kubeba sanduku la agano la Yahweh, walitoa ng'ombe saba na mbuzi
27 Or David était revêtu d’une robe de fin lin, ainsi que tous les Lévites qui portaient l’arche, et les chantres, et Chonénias, le prince de la prophétie au milieu des chantres; mais David avait de plus un éphod de lin.
Daudi alivishwa joho safi la maridadi, pamoja na Walawi walio beba sanduku, waimbaji, na Kenania, kiongozi wa nyimbo na waimbaji. Daudi alivaa juu ya joho lake naivera.
28 Et tout Israël conduisait l’arche d’alliance du Seigneur, avec des cris de joie, faisant retentir le son d’un clairon, et des trompettes, ainsi que des cymbales, des nables et des harpes.
Hivyo Israeli yote wakaleta sanduku la agano la Yahweh na kelele za shangwe, na sauti za tarumbeta, ngoma za saani, na vyombo vya uzi na vinubi.
29 Et, lorsque l’arche de l’alliance du Seigneur fut arrivée jusqu’à la cité de David, Michol, fille de Saül, regardant par la fenêtre, vit le roi David dansant et jouant, et elle le méprisa en son cœur.
Lakini sanduku la Yahweh lilivyokuja kwa mji wa Daudi, Mikali binti wa Sauli, alitazama nje ya dirisha, Akamuona Mfalme Daudi akicheza na kusherehekea. Kisha akamdharau moyoni mwake.