< 1 Timothée 2 >

1 Je t'exhorte, avant tout, à faire faire des prières, supplications, intercessions, actions de grâces pour tous les hommes,
Kwanza kabisa, basi naomba dua, sala, maombi na sala za shukrani zitolewe kwa Mungu kwa ajili ya watu wote,
2 pour les rois, pour tous ceux qui sont au pouvoir, afin que nous puissions vivre paisiblement, tranquillement, en toute piété et honnêteté.
kwa ajili ya wafalme na wote wenye mamlaka, ili tupate kuishi maisha ya utulivu na amani pamoja na uchaji wa Mungu na mwenendo mwema.
3 C'est une bonne chose et qui est agréable à Dieu, notre Sauveur,
Jambo hili ni jema na lampendeza Mungu Mwokozi wetu,
4 qui veut que tous les hommes soient sauvés et parviennent à la connaissance de la vérité.
ambaye anataka watu wote waokolewe na wapate kuujua ukweli.
5 Il n'y a, en effet, qu'un seul Dieu; il n'y a aussi qu'un seul médiateur entre Dieu et les hommes, un homme, Jésus-Christ, qui s'est donné en rançon pour tous;
Maana yuko Mungu mmoja, na pia yuko mmoja anayewapatanisha watu na Mungu, binadamu Kristo Yesu,
6 ce fait s'est passé au temps, marqué.
ambaye alijitoa mwenyewe kuwakomboa watu wote. Huo ulikuwa uthibitisho, wakati ufaao ulipowadia.
7 Quant à moi, j'ai été désigné pour en être le héraut et l'apôtre (je dis la vérité, je ne mens pas) et pour enseigner aux païens la foi et la vérité.
Kwa sababu hiyo mimi nilitumwa niwe mtume na mwalimu wa watu wa mataifa, niutangaze ujumbe wa imani na ukweli. Nasema ukweli; sisemi uongo!
8 Je veux donc que, partout, les hommes prient, qu'ils lèvent au ciel des mains pures, sans colère, sans arrière-pensées.
Basi, popote mnapokutana kufanya ibada nataka wanaume wasali, watu waliojitolea kweli na ambao wanaweza kuinua mikono yao wakisali bila hasira wala ubishi.
9 Les femmes, de même; et qu'elles aient une tenue convenable; qu'elles se fassent une parure de leur pudeur et de leur modestie; ni tresses, ni or, ni perles, ni vêtements coûteux,
Hali kadhalika, nawataka wanawake wawe wanyofu na wenye busara kuhusu mavazi yao; wavae sawasawa na si kwa urembo wa mitindo ya kusuka nywele, kujipamba kwa dhahabu, lulu au mavazi ya gharama kubwa,
10 mais seulement de bonnes oeuvres; voilà ce qui convient à des femmes qui font profession de piété.
bali kwa matendo mema kama iwapasavyo wanawake wamchao Mungu.
11 La femme doit se laisser instruire en silence et avec une entière soumission.
Wanawake wanapaswa kukaa kimya na kuwa wanyenyekevu wakati wa kujifunza.
12 Je ne permets à la femme ni d'enseigner, ni de s'émanciper de l'autorité de l'homme; qu'elle garde le silence.
Mimi simruhusu mwanamke amfundishe au amtawale mwanamume; anapaswa kukaa kimya.
13 Car c'est Adam qui fut créé le premier, puis ce fut le tour d'Ève;
Maana Adamu aliumbwa kwanza, halafu Hawa.
14 et ce n'est pas Adam qui a été séduit, c'est la femme qui s'est laissé séduire et a commis la faute.
Na wala si Adamu aliyedanganywa; bali mwanamke ndiye aliyedanganywa, akaivunja sheria ya Mungu.
15 Cependant elle sera sauvée par la maternité, si elle persiste sagement dans la foi, dans la charité, et dans la sanctification.
Hata hivyo, mwanamke ataokolewa kwa kupata watoto, kama akidumu katika imani, upendo, utakatifu na unyofu.

< 1 Timothée 2 >