< Psaumes 87 >

1 Cantique des fils de Coré. Il a sa résidence sur les montagnes saintes;
Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo. Ameuweka msingi wake katika mlima mtakatifu;
2 l'Éternel aime les portes de Sion plus que toutes les demeures de Jacob.
Bwana anayapenda malango ya Sayuni kuliko makao yote ya Yakobo.
3 Il est dit de toi des choses glorieuses, Cité de Dieu! (Pause)
Mambo matukufu yanasemwa juu yako, ee mji wa Mungu:
4 « Je me vois reconnu par l'Egypte et Babel; voici, la Philistie, et Tyr avec l'Ethiopie, les uns et les autres reçoivent dans Sion une [nouvelle] naissance. »
“Nitaweka kumbukumbu ya Rahabu na Babeli miongoni mwa wale wanaonikubali mimi: Ufilisti pia na Tiro, pamoja na Kushi, nami nitasema, ‘Huyu alizaliwa Sayuni.’”
5 Et il est dit de Sion: « Des hommes et des hommes y reçoivent une [nouvelle] naissance, et Lui-même, le Très-haut, la consolide. »
Kuhusu Sayuni itasemwa hivi, “Huyu na yule walizaliwa humo, naye Aliye Juu Sana mwenyewe atamwimarisha.”
6 L'Éternel énumère les peuples en les inscrivant: « Ceux-ci reçoivent là une [nouvelle] naissance. (Pause)
Bwana ataandika katika orodha ya mataifa: “Huyu alizaliwa Sayuni.”
7 Et les chantres, et les danseurs [s'écrient: ] « Toutes mes sources sont en toi. »
Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba, “Chemchemi zangu zote ziko kwako.”

< Psaumes 87 >