< Psaumes 80 >
1 Au maître chantre. En schoschanim-edouth. Cantique d'Asaph. Prête l'oreille, berger d'Israël, toi qui conduis Joseph, comme un troupeau; toi dont les Chérubins portent le trône, apparais! Prête l'oreille, berger d'Israël, toi qui conduis Joseph, comme un troupeau; toi dont les Chérubins portent le trône, apparais!
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi za Agano.” Zaburi ya Asafu. Ee Mchungaji wa Israeli tusikie, wewe umwongozaye Yosefu kama kundi; wewe uketiye katika kiti cha enzi katikati ya makerubi, angaza
2 Devant Ephraïm et Benjamin et Manassé donne essor à ta puissance, et viens à notre aide!
mbele ya Efraimu, Benyamini na Manase. Uamshe nguvu zako, uje utuokoe.
3 O Dieu, rétablis-nous, et fais luire ta face, et nous serons sauvés!
Ee Mungu, uturejeshe, utuangazie uso wako, ili tuweze kuokolewa.
4 Éternel, Dieu des armées, jusques à quand t'irriteras-tu, quand ton peuple prie?
Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, hata lini hasira yako itawaka na kufoka moshi dhidi ya maombi ya watu wako?
5 Tu lui fais manger un pain trempé de larmes, et boire avec larmes une portion mesurée.
Umewalisha kwa mkate wa machozi, umewafanya wanywe machozi bakuli tele.
6 Tu fais de nous une proie que nos voisins se disputent, et nos ennemis nous tournent en dérision.
Tumekuwa chanzo cha ugomvi kwa jirani zetu, na adui zetu wanatudhihaki.
7 Dieu des armées, rétablis-nous, et fais luire ta face, et nous serons sauvés!
Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe; utuangazie uso wako, nasi tuweze kuokolewa.
8 De l'Egypte tu retiras une vigne, tu expulsas les nations, et tu la plantas;
Ulileta mzabibu kutoka Misri, ukawafukuza mataifa, ukaupanda.
9 tu déblayas le sol devant elle, et elle poussa des racines, et remplit le pays;
Uliandaa shamba kwa ajili yake, mizizi ikawa imara, ukajaza nchi.
10 les montagnes furent couvertes de son ombre, et ses pampres égalèrent les cèdres de Dieu;
Milima ilifunikwa kwa kivuli chake, matawi yake yakafunika mierezi mikubwa.
11 elle étendit ses rameaux jusques à la mer, et ses jets jusques au Fleuve.
Matawi yake yalienea mpaka Baharini, machipukizi yake mpaka kwenye Mto.
12 Pourquoi as-tu abattu ses murailles, pour que tous les passants la vendangent?
Mbona umebomoa kuta zake ili wote wapitao karibu wazichume zabibu zake?
13 De la forêt le sanglier vient la ravager, et les bêtes des champs, y brouter.
Nguruwe mwitu wanauharibu na wanyama wa kondeni hujilisha humo.
14 Ah! reviens, Dieu des armées, regarde des Cieux et vois, et visite cette vigne!
Turudie, Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote! Tazama chini kutoka mbinguni na uone! Linda mzabibu huu,
15 Protège ce que ta main a planté, et le fils que tu t'es choisi!
mche ulioupanda kwa mkono wako wa kuume, mwana uliyemlea kwa ajili yako mwenyewe.
16 Elle est brûlée par le feu, elle est coupée: ils périssent à ton air menaçant.
Mzabibu wako umekatwa, umechomwa moto, unapowakemea, watu wako huangamia.
17 Protège de ta main l'homme, ouvrage de ta droite, le fils de l'homme que tu t'es choisi.
Mkono wako na utulie juu ya mtu aliyeko mkono wako wa kuume, mwana wa mtu uliyemlea kwa ajili yako mwenyewe.
18 Alors nous ne te quitterons pas; rends-nous la vie, et nous invoquerons ton nom.
Ndipo hatutakuacha tena, utuhuishe, nasi tutaliitia jina lako.
19 Éternel, Dieu des armées, rétablis-nous, fais luire ta face, et nous serons sauvés!
Ee Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe; utuangazie uso wako, ili tuweze kuokolewa.