< Psaumes 60 >

1 Au maître chantre. Sur Schouschan-Edouth. Ecrit didactique de David, quand il faisait la guerre aux Syriens de Mésopotamie et aux Syriens de Zoba, et que Joab revint, et battit les Edomites dans la vallée du sel, au nombre de douze mille. O Dieu, tu nous as rejetés, nous as dispersés; tu étais irrité: rends-nous ton amour!
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Shushani Eduthi.” Utenzi wa Daudi wa kufundisha. Wakati alipopigana na Waaramu kutoka Aramu-Naharaimu na Aramu-Soba, naye Yoabu akarudi nyuma na kuwaua Waedomu 12,000 katika Bonde la Chumvi. Ee Mungu, umetukataa na kutokea ghafula juu yetu, umekasirika: sasa turejeshe upya!
2 Tu as ébranlé, déchiré le pays: guéris ses blessures, car il est chancelant!
Umetetemesha nchi na kuipasua; uiponye mavunjiko yake, kwa maana inatetemeka.
3 Tu as fait sentir la rigueur à ton peuple, tu nous a fait boire le vin du vertige.
Umewaonyesha watu wako nyakati za kukata tamaa; umetunywesha mvinyo unaotuyumbisha.
4 Tu as donné à tes fidèles une bannière, afin qu'ils se lèvent au nom de la vérité. (Pause)
Kwa wale wanaokucha wewe, umewainulia bendera, ili iweze kutwekwa dhidi ya upinde.
5 Pour que tes bien-aimés soient sauvés, aide-les de ta droite, et nous exauce!
Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume, ili wale uwapendao wapate kuokolewa.
6 Dieu l'a promis par sa sainteté: je veux m'en réjouir! « Je vous partagerai Sichem, et vous distribuerai la Vallée de Succoth;
Mungu amenena kutoka patakatifu pake: “Nitaigawa Shekemu kwa ushindi na kulipima Bonde la Sukothi.
7 Galaad est à moi, Manassé est à moi, Ephraïm est le rempart de ma tête, et Juda, mon sceptre royal;
Gileadi ni yangu na Manase ni yangu; Efraimu ni kofia yangu ya chuma, nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.
8 Moab est le bassin où je me baigne, et sur Edom je jette ma chaussure; pour moi, Philistie, élève tes acclamations! »
Moabu ni sinia langu la kunawia, juu ya Edomu natupa kiatu changu; nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”
9 Qui me conduira dans la ville forte? qui me mènera jusqu'en Edom?
Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome? Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?
10 N'est-ce pas toi, ô Dieu, toi qui nous rejetas, et ne marchas plus, ô Dieu, avec nos armées?
Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi, na hutoki tena na majeshi yetu?
11 Donne-nous ton aide pour sortir de la gêne, puisque le secours de l'homme est une vanité!
Tuletee msaada dhidi ya adui, kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.
12 Avec Dieu, nous serons vainqueurs, et c'est Lui qui foulera nos ennemis.
Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi, naye atawaponda adui zetu.

< Psaumes 60 >