< Psaumes 1 >
1 Heureux l'homme qui ne suit point le conseil des impies, et ne pratique point la voie des pécheurs, et ne prend point place au cercle des moqueurs;
Heri mtu yule ambaye haendi katika shauri la watu waovu, wala hasimami katika njia ya wenye dhambi, au kuketi katika baraza la wenye mizaha.
2 mais qui fait son plaisir de la loi de l'Éternel, et médite sa loi le jour et la nuit!
Bali huifurahia sheria ya Bwana, naye huitafakari hiyo sheria usiku na mchana.
3 Il est comme un arbre planté près d'une eau courante, qui donne son fruit en sa saison, et dont la feuille ne se flétrit point: tout ce qu'il fait, est suivi de succès.
Mtu huyo ni kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji, ambao huzaa matunda kwa majira yake na majani yake hayanyauki. Lolote afanyalo hufanikiwa.
4 Tels ne sont point les impies, mais ils sont comme la balle dissipée par le vent:
Sivyo walivyo waovu! Wao ni kama makapi yapeperushwayo na upepo.
5 aussi ne tiennent-ils pas devant le jugement, non plus que les pécheurs dans l'assemblée des justes;
Kwa hiyo waovu hawatastahimili hukumu, wala wenye dhambi katika kusanyiko la wenye haki.
6 car l'Éternel a l'œil sur la voie des justes, mais la voie des impies mène à la ruine.
Kwa maana Bwana huziangalia njia za mwenye haki, bali njia ya waovu itaangamia.