< Proverbes 22 >
1 Mieux vaut bonne réputation que grande richesse, et bienveillance, qu'argent et or.
Jina jema huchaguliwa dhidi ya utajiri mwingi na fadhila ni bora kuliko fedha na dhahabu.
2 Le riche et le pauvre se rencontrent; leur créateur à tous, c'est l'Éternel.
Watu matajiri na masikini wanafanana katika hili - Yehova ni muumba wao wote.
3 Le prudent voit la calamité, et se cache; les inconsidérés vont en avant, et sont punis.
Mtu mwenye hekima huiona taabu na kujificha mwenyewe, bali mjinga huendelea mbele na huumia kwa ajili yake.
4 Le prix de l'humilité, de la crainte de l'Éternel, c'est richesse, honneur et vie.
Thawabu ya unyenyekevu na kumcha Yehova ni utajiri, heshima na uzima.
5 Des ronces et des pièges sont sur la route du pervers; qui veut préserver sa vie, s'en éloigne.
Miiba na mitego hulala katika njia ya wakaidi; yeye anayelinda maisha yake atakuwa mbali navyo.
6 Forme le jeune homme selon la voie qu'il doit suivre; même s'il vieillit, il n'en déviera point.
Mfundishe mtoto njia inayompasa na wakati akiwa mzee hatayaacha mafundisho hayo.
7 Le riche commande aux pauvres; et le débiteur est l'esclave du créancier.
Watu matajiri huwatawala watu masikini na mwenye kukopa ni mtumwa wa yule anayekopesha.
8 Qui sème le vice, récoltera le malheur; et la verge pour le punir est prête.
Yule anayepanda udhalimu atavuna taabu na fimbo ya hasira yake itanyauka.
9 Le compatissant sera béni, car il donne de son pain au pauvre.
Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa, maana anashiriki mkate wake pamoja na masikini.
10 Expulse le moqueur, et les querelles fuiront, et les rixes et les insultes cesseront.
Mfukuze mbali mwenye dhihaka, na ugomvi utaondoka, mashindano na matukano yatakoma.
11 L'homme qui aime la pureté de cœur, et possède la grâce du langage, a pour ami le roi.
Anayependa moyo safi na mwenye maneno ya neema, atakuwa rafiki yake mfalme.
12 Le regard de l'Éternel protège la sagesse, mais Il déjoue les propos du perfide.
Macho ya Yehova huyaangalia maarifa, bali huyapindua maneno ya wadanganyifu.
13 Le lâche dit: « Un lion est là dehors, au milieu de la rue; je serais égorgé! »
Mtu mvivu husema, “Kuna simba mtaani! Nitauwawa sehemu za njia.”
14 Bouche des étrangères, fosse profonde, où tombe celui contre qui l'Éternel s'irrite.
Kinywa cha malaya ni shimo lenye kina kirefu; hasira ya Yehova huchochewa dhidi ya yule anayetumbukia ndani yake.
15 Quelqu'adhérente que soit la folie au cœur de l'enfant, la verge correctrice l'en détache.
Upumbavu umefungwa katika moyo wa mtoto, lakini marudi ya fimbo huutoa.
16 Tel opprime le pauvre qui le fait devenir riche; donnez au riche, il n'arrive qu'à l'indigence.
Anayewanyanyasa watu masikini ili kuongeza mali yake, au kuwapa matajiri, atakuwa masikini.
17 Prête l'oreille et écoute les discours des sages, et sois attentif à mes leçons!
Tega sikio lako na usikilize maneno ya wenye busara na utumia moyo wako katika maarifa yangu,
18 Car il est beau que tu les gardes en ton cœur, et que sur tes lèvres tu les aies toujours prêtes.
maana itakuwa furaha kwako kama utayaweka ndani yako, kama yote yatakuwa katika midomo yako.
19 C'est à mettre ta confiance dans l'Éternel, que je veux te former aujourd'hui, oui, toi.
Basi tumaini lako liwe kwa Yehova, ninayafundisha kwako leo- hata kwako.
20 Voici, dès longtemps j'ai écrit pour toi sur les conseils et la prudence,
Sijakuandikia wewe misemo thelathini ya mafundisho na maarifa,
21 pour t'inculquer des préceptes vrais et sûrs, afin que tu répondes fidèlement à celui qui te donnera une mission.
kwa kukufundisha kweli katika maneno haya yenye uaminifu, ili uwe na majibu yenye kutegemewa kwa waliokutuma?
22 Ne dépouille pas le faible, parce qu'il est faible, et ne foule pas le misérable à la Porte;
Usimwibie masikini kwa sababu ni masikini, au kumponda kwenye lango,
23 car l'Éternel soutient sa cause, et à ses ravisseurs Il ôte la vie.
maana Yehova ataitetea kesi yao, na atawaibia uzima wale waliowaibia masikini.
24 Ne vis pas en société avec l'homme colère, n'aie aucune relation avec l'homme qui s'échauffe,
Usifanye urafiki na mtu mwenye kutawaliwa na hasira na wala usiambatane pamoja na mwenye hasira kali,
25 de peur que tu ne t'habitues à suivre sa voie, et que tu n'en remportes un piège contre ton âme.
au utajifunza njia zake na utakuwa chambo kwa nafsi yako.
26 Ne te trouve pas entre ceux qui frappent dans la main, qui cautionnent pour des dettes.
Usiwe miongoni mwao wapigao mikono, mwenye kuahidi madeni.
27 Si tu n'as pas de quoi payer, pourquoi ferais-tu qu'on vienne prendre ton lit sous toi?
Kama umekosa njia za kulipa, nini kitaweza kuzuia mtu kuchukua kitanda chako chini yako?
28 Ne déplace pas la borne antique, que tes pères ont posée!
Usiondoe jiwe la mpaka la wahenga ambalo baba zako wameweka.
29 Vois-tu cet homme actif dans ce qu'il fait? Il sera le ministre des rois, et non le ministre des gens obscurs.
Je umemwona mtu aliyeuwawa kwenye kazi yake? Atasimama mbele ya wafalme; hatasimama mbele ya watu wa kawaida.