< Josué 19 >

1 Et le second lot tiré fut pour Siméon, pour la Tribu des fils de Siméon selon leurs familles, et leur lot était enclavé dans le lot des fils de Juda.
Kura ya pili ikaangukia kabila la Simeoni, ukoo kwa ukoo. Urithi wao ulikuwa ndani ya eneo la Yuda.
2 Et dans leur lot entrait Béer-Séba et Séba et Molada
Ulijumuisha: Beer-Sheba (au Sheba), Molada,
3 et Hatsar-Sual, et Bala et Atsem
Hasar-Shuali, Bala, Esemu,
4 et Eltholad et Bethul et Horma,
Eltoladi, Bethuli, Horma,
5 et Tsiklag et Beth-Marecaboth, et Hatsar-Sussa,
Siklagi, Beth-Markabothi, Hasar-Susa,
6 et Beth-Lebaoth et Saruhen: treize villes et leurs villages;
Beth-Lebaothi na Sharuheni; hii ilikuwa miji kumi na mitatu pamoja na vijiji vyake.
7 Aïn, Rimmon et Ether, et Asan, quatre villes et leurs villages;
Pia Aini, Rimoni, Etheri, na Ashani; hii ilikuwa miji minne na vijiji vyake,
8 et tous les villages aux environs de ces villes jusqu'à Baalath-Beer, Ramath-Négeb. Tel est le lot de la Tribu des fils de Siméon selon leurs familles.
pamoja na vijiji vyote vinavyoizunguka miji hii mpaka Baalath-Beeri (ambayo ndiyo Rama iliyo katika Negebu). Huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Simeoni ukoo kwa ukoo.
9 Le lot des fils de Siméon fut pris sur le territoire des fils de Juda, car la portion des fils de Juda était trop grande pour ceux-ci, et c'est ainsi que les fils de Siméon reçurent un lot enclavé dans celui de Juda.
Urithi wa Wasimeoni ulitolewa kutoka fungu la Yuda, kwa kuwa fungu la Yuda lilikuwa kubwa kuliko walivyohitaji. Hivyo kabila la Simeoni lilipewa urithi wao ndani ya eneo la Yuda.
10 Et le troisième lot tiré fut pour les fils de Zabulon selon leurs familles. Et la limite de leur lot allait jusqu'à Sarid.
Kura ya tatu ikaangukia kabila la Zabuloni, ukoo kwa ukoo: Mpaka wa urithi wao uliendelea hadi Saridi.
11 Et leur frontière montait à l'occident et jusqu'à Mareala et touchait à Dabbeseth et touchait à la rivière qui coule devant Jockneam.
Kuelekea upande wa magharibi ukafika Marala, ukagusa Dabeshethi, na kuendelea mpaka kwenye bonde karibu na Yokneamu.
12 Et de Sarid elle tournait à l'orient vers le levant sur la frontière de Ghisloth-Thabor et continuait jusqu'à Dabrath, puis montait à Japhia.
Ukageuka mashariki, kuanzia Saridi kuelekea mawio ya jua hadi kwenye nchi ya Kisiloth-Tabori, na kwenda hadi Daberathi, kupanda Yafia.
13 Et de là elle passait à l'orient, au levant à Githa-Hépher, Eth-Katsin, puis continuait jusqu'à Rimmon qui se prolonge jusqu'à Nea,
Kisha ukaendelea mashariki hadi Gath-Heferi na kufika Eth-Kasini, ukatokea Rimoni na kugeuka kuelekea Nea.
14 autour de laquelle tournant au nord du côté de Hannathon elle allait aboutir dans la vallée de Jiphthah-El.
Huko mpaka ukazungukia upande wa kaskazini hadi Hanathoni na kuishia katika Bonde la Ifta-Eli.
15 Et Kattath et Nahalal et Simron et Jideala et Beth-Lehem: douze villes avec leurs villages.
Miji mingine iliyojumuishwa ni Katathi, Nahalali, Shimroni, Idala na Bethlehemu. Kulikuwa na miji kumi na miwili pamoja na vijiji vyake.
16 Tel est le lot des fils de Zabulon, selon leurs familles, ces villes et leurs villages.
Miji hii na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa Zabuloni, ukoo kwa ukoo.
17 Le quatrième lot fut tiré pour Issaschar, pour les fils d'Issaschar selon leurs familles.
Kura ya nne ikamwangukia Isakari, ukoo kwa ukoo.
18 Et leur frontière allait jusqu'à Jizréel et Chesulloth et Sunem
Eneo lao lilijumuisha: Yezreeli, Kesulothi, Shunemu,
19 et Hapharaïm et Sîon et Anaharath
Hafaraimu, Shioni, Anaharathi,
20 et Rabbith et Kisèon et Abets,
Rabithi, Kishioni, Ebesi,
21 et Remeth et Ein-Gannim et Ein-Hadda et Beth-Patsets.
Remethi, En-Ganimu, En-Hada na Beth-Pasesi.
22 Et la frontière touchait au Thabor et à Sahatsima et Beth-Semés, et elle aboutissait au Jourdain: seize villes avec leurs villages.
Mpaka ule ukagusa Tabori, Shahasuma na Beth-Shemeshi, na ukaishia kwenye Yordani. Ilikuwa miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake.
23 Tel est le lot de la Tribu des fils d'Issaschar, selon leurs familles, leurs villes et leurs villages.
Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Isakari, ukoo kwa ukoo.
24 Et le cinquième lot tiré fut pour la Tribu des fils d'Asser, selon leurs familles.
Kura ya tano ikaangukia kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo.
25 Et leur frontière était: Helkath et Hali et Beten et Acsaph
Eneo lao lilijumuisha: Helkathi, Hali, Beteni, Akishafu,
26 et Allammélech et Amead et Miseal, et elle touchait au Carmel à l'occident et au Sihor-Libnath,
Alameleki, Amadi na Mishali. Upande wa magharibi mpaka uligusa Karmeli na Shihor-Libnathi.
27 puis elle tournait au levant vers Beth-Dagon et touchait à Zabulon et à la vallée de Jiphthah-El au nord de Beth-Aëmek et de Neïel et se prolongeait vers Chabul à gauche,
Tena ukageuka mashariki kuelekea Beth-Dagoni, ukagusa Zabuloni na Bonde la Ifta-Eli, ukaenda upande wa kaskazini hadi Beth-Emeki na Neyeli, ukipitia Kabul upande wa kushoto.
28 et vers Ebron et Rehob et Hammon et Kana jusqu'à Sidon, la grande;
Ukaendelea hadi Abdoni, Rehobu, Hamoni na Kana, na kufika Sidoni Kuu.
29 puis la frontière tournait vers Rama, jusqu'à la ville forte de Tyr, ensuite tournait vers Hosa et aboutissait à la mer à partir du district vers Achsib.
Mpaka huo ukageukia nyuma kuelekea Rama na kwenda hadi kwenye mji wenye ngome wa Tiro, ukageuka kuelekea Hosa na kutokeza baharini katika eneo la Akzibu,
30 Et Umma et Aphek et Rehob: vingt-deux villes avec leurs villages.
Uma, Afeki na Rehobu. Ilikuwepo miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.
31 Tel est le lot de la Tribu des fils d'Asser, selon leurs familles, ces villes-là et leurs villages.
Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo.
32 Pour les fils de Nephthali fut tiré le sixième lot, pour les fils de Nephthali selon leurs familles.
Kura ya sita ikaangukia kabila la Naftali, ukoo kwa ukoo:
33 Et leur frontière s'étendait depuis Heleph, depuis le chêne près de Tsaenannim et Adami-Nekeb et Jabnéel jusqu'à Laccum pour aboutir au Jourdain.
Mpaka wao uliendelea kutoka Helefi na kwenye mti mkubwa ulio katika Saananimu, ukipitia Adami-Nekebu na Yabineeli hadi Lakumu, na kuishia katika Mto Yordani.
34 Et la frontière tournait à l'occident vers Aznoth-Thabor et de là courait à Huccoc et touchait à Zabulon au midi, et à Asser à l'occident et à Juda sur le Jourdain du côté du levant.
Mpaka ukaendelea magharibi kupitia Aznoth-Tabori na kutokea Hukoki. Ukagusa Zabuloni upande wa kusini, Asheri upande wa magharibi, na Yordani upande wa mashariki.
35 Villes fortes: Tsiddim, Tser et Hammath, Raccath et Chinnereth
Miji yenye ngome ilikuwa Sidimu, Seri, Hamathi, Rakathi, Kinerethi,
36 et Adama et Rama et Hatsor
Adama, Rama, Hazori,
37 et Kédès, Edreï et Ein-Hatsor
Kedeshi, Edrei, na En-Hasori,
38 et Jiréon et Migdal-El, Horem et Beth-Anath et Beth-Semès: dix-neuf villes avec leurs villages.
Ironi, Migdal-Eli, Horemu, Beth-Anathi na Beth-Shemeshi. Kulikuwa na miji kumi na tisa na vijiji vyake.
39 Tel est le lot de la Tribu des fils de Nephthali selon leurs familles, les villes et leurs villages.
Miji hiyo pamoja na vijiji vyake ndio iliyokuwa urithi wa kabila la Naftali, ukoo kwa ukoo.
40 Le septième lot fut tiré pour la Tribu des fils de Dan selon leurs familles.
Kura ya saba ikaangukia kabila la Dani, ukoo kwa ukoo.
41 Et la frontière de leur lot était Tsorea et Esthaol et Ir-Semes,
Eneo la urithi wao lilijumuisha: Sora, Eshtaoli, Iri-Shemeshi,
42 et Sahélabbim et Ajalon et Jithla
Shaalabini, Aiyaloni, Ithla,
43 et Elon et Thimnata et Ecron
Eloni, Timna, Ekroni,
44 et Elthékè et Gibethon et Baalath
Elteke, Gibethoni, Baalathi,
45 et Jehud et Bnei-Berak et Gath-Rimmon
Yehudi, Bene-Beraki, Gath-Rimoni,
46 et Mei-Jarcon et Rakkon avec le territoire vis-à-vis de Japho.
Me-Yarkoni na Rakoni, pamoja na eneo linalotazamana na Yafa.
47 Et le territoire des fils de Dan s'étendit au delà de leurs limites, et les fils de Dan se mirent en campagne, et ils attaquèrent Lesem et la prirent, et ils la frappèrent avec le tranchant de l'épée, et en prirent possession et s'y établirent et l'appelèrent Lesem-Dan, du nom de Dan, leur père.
(Lakini Wadani walipata shida kulimiliki eneo lao; kwa hiyo walipanda kuishambulia Leshemu, wakaitwaa, wakawaua watu wake kwa upanga na kuukalia. Walikaa Leshemu na kuuita Dani kufuatana na jina la baba yao.)
48 Tel est le lot de la Tribu des fils de Dan, selon leurs familles, ces villes-là et leurs villages.
Miji hii na vijiji vyake ndio iliyokuwa urithi wa kabila la Dani, ukoo kwa ukoo.
49 Et lorsqu'ils eurent achevé de répartir le pays selon ses limites, les enfants d'Israël donnèrent à Josué, fils de Nun, une propriété au milieu d'eux.
Walipomaliza kugawanya nchi katika migawo kulingana na sehemu zao zilizowaangukia, Waisraeli wakampa Yoshua mwana wa Nuni urithi katikati yao,
50 Sur l'ordre de l'Éternel, ils lui donnèrent la ville qu'il demandait, Thimnath-Sera, dans la montagne d'Ephraïm. Et il rebâtit la ville et s'y établit.
kama vile Bwana alivyokuwa ameamuru. Walimpa mji alioutaka, ambao ni Timnath-Sera ulio katika nchi ya vilima ya Efraimu. Naye akajenga mji, akakaa huko.
51 Tels sont les lots que distribuèrent le Prêtre Eléazar et Josué, fils de Nun, et les Chefs de famille des Tribus des enfants d'Israël par le sort à Silo devant l'Éternel à l'entrée de la Tente du Rendez-vous, et ainsi fut terminé le partage du pays.
Haya ndiyo maeneo ambayo kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa koo za kabila za Israeli waliyoyagawanya kwa kura huko Shilo mbele za Bwana penye ingilio la Hema la Kukutania. Hivyo wakamaliza kuigawanya nchi.

< Josué 19 >