< Josué 12 >

1 Suivent les rois du pays vaincus par les enfants d'Israël qui conquirent leur pays au delà du Jourdain du côté du soleil levant depuis la rivière d'Arnon jusqu'au mont Hermon, et toute la plaine orientale:
Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Waisraeli waliwashinda na kuitwaa nchi yao upande wa mashariki mwa Yordani, kuanzia Bonde la Arnoni mpaka Mlima Hermoni, pamoja na eneo lote la upande wa mashariki ya Araba:
2 Sihon, Roi des Amoréens résidant à Hesbon, dont l'autorité s'étendait depuis Aroër sur les bords de l'Arnon à partir du milieu du ravin et sur la moitié de Galaad jusqu'à la rivière de Jabboc, frontière des Ammonites,
Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni. Alitawala kuanzia Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kuanzia katikati ya bonde, hadi kwenye Mto Yaboki, ambao ni mpaka wa Waamoni. Hii ilijumlisha nusu ya Gileadi.
3 et sur la partie orientale de la plaine d'un côté jusqu'au lac de Kinnéroth, de l'autre jusqu'à la Mer de la plaine, la Mer Salée à l'orient vers Beth-Jesimoth, et au midi au pied des versants du Pisga.
Pia alitawala Araba ya mashariki kuanzia Bahari ya Kinerethi hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), hadi Beth-Yeshimothi, kisha kuelekea kusini chini ya materemko ya Pisga.
4 [Ils conquirent] aussi les États de Og, Roi de Basan, l'un des restes des Rephaïms, qui résidait à Astaroth et à Edreï.
Nayo nchi ya Ogu mfalme wa Bashani, aliyekuwa mmoja wa mabaki ya Warefai, aliyetawala Ashtarothi na Edrei.
5 Et il avait sous sa domination la chaîne de l'Hermon et Salcha et tout Basan jusqu'à la frontière des Gessurites et des Maachatites, et la moitié de Galaad jusqu'aux confins de Sinon, Roi de Hesbon.
Naye alitawala katika Mlima Hermoni, Saleka, Bashani yote hadi mpaka wa watu wa Geshuri, na watu wa Maaka na nusu ya Gileadi, hadi kwenye mpaka wa Sihoni mfalme wa Heshboni.
6 Moïse, serviteur de l'Éternel, et les enfants d'Israël les défirent, et Moïse, serviteur de l'Éternel, donna cette contrée en propriété aux Rubénites et aux Gadites et à la demi-Tribu de Manassé.
Mose, mtumishi wa Bwana, na Waisraeli wakawashinda. Naye Mose mtumishi wa Bwana akawapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase nchi ya hao wafalme ili iwe milki yao.
7 Suivent les rois du pays vaincus par Josué et les enfants d'Israël en deçà du Jourdain à l'occident depuis Baal-Gad dans la vallée du Liban jusqu'à la croupe nue qui monte vers Séir. Et Josué donna cette contrée aux Tribus d'Israël en propriété d'après leurs divisions,
Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi mwa Yordani, kuanzia Baal-Gadi katika Bonde la Lebanoni hadi kufikia Mlima Halaki, unaoinuka ukielekea Seiri. (Yoshua alitoa nchi zao kwa makabila ya Israeli iwe urithi wao sawasawa na mgawanyiko wa makabila yao:
8 et la Montagne et le Pays-bas et la Plaine et les versants et le Désert et le Midi, les pays des Héthiens, des Amoréens et des Cananéens et des Périzzites, des Hévites et des Jébusites.
nchi ya vilima, shefela, upande wa magharibi, Araba, materemko ya milima, jangwa, na Negebu; nchi za Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi):
9 Le Roi de Jéricho, un; le Roi d'Aï à côté de Béthel, un;
mfalme wa Yeriko mmoja mfalme wa Ai (karibu na Betheli) mmoja
10 le Roi de Jérusalem, un; le Roi de Hébron, un;
mfalme wa Yerusalemu mmoja mfalme wa Hebroni mmoja
11 le Roi de Jarmuth, un; le Roi de Lachis, un;
mfalme wa Yarmuthi mmoja mfalme wa Lakishi mmoja
12 le Roi de Eglon, un; le Roi de Gézer, un;
mfalme wa Egloni mmoja mfalme wa Gezeri mmoja
13 le Roi de Debir, un; le Roi de Géder, un;
mfalme wa Debiri mmoja mfalme wa Gederi mmoja
14 le Roi de Horma, un; le Roi de Arad, un;
mfalme wa Horma mmoja mfalme wa Aradi mmoja
15 le Roi de Libna, un; le Roi de Adullam, un;
mfalme wa Libna mmoja mfalme wa Adulamu mmoja
16 le Roi de Makkéda, un; le Roi de Béthel, un;
mfalme wa Makeda mmoja mfalme wa Betheli mmoja
17 le Roi de Thappuah, un; le Roi de Hépher, un;
mfalme wa Tapua mmoja mfalme wa Heferi mmoja
18 le Roi de Aphek, un; le Roi de Lassaron, un;
mfalme wa Afeki mmoja mfalme wa Lasharoni mmoja
19 le Roi de Madon, un; le Roi de Hatsor, un;
mfalme wa Madoni mmoja mfalme wa Hazori mmoja
20 le Roi de Simron-Meron, un; le Roi de Achsaph, un;
mfalme wa Shimron-Meroni mmoja mfalme wa Akishafu mmoja
21 le Roi de Thaanach, un; le Roi de Megiddo, un;
mfalme wa Taanaki mmoja mfalme wa Megido mmoja
22 le Roi de Kedès, un; le Roi de Jockneam au Carmel, un;
mfalme wa Kedeshi mmoja mfalme wa Yokneamu katika Karmeli mmoja
23 le Roi de Dor, aux hauteurs de Dor, un; le Roi des Gentils à Guilgal, un;
mfalme wa Dori (katika Nafoth-Dori) mmoja mfalme wa Goimu katika Gilgali mmoja
24 le Roi de Thirtsa, un; total des Rois, trente-un.
mfalme wa Tirsa mmoja wafalme jumla yao ilikuwa thelathini na mmoja.

< Josué 12 >