< Jérémie 37 >
1 Et Sédécias, fils de Josias, succéda comme roi à Chonia, fils de Jéhojakim: Nébucadnézar, roi de Babel, l'avait fait roi du pays de Juda.
Sasa Sedekia mwana wa Yosia alitawala kama mfalme badala ya Yehoyachin mwana wa Yehoyakimu. Nebukadreza mfalme wa Babeli alikuwa amemfanya Sedekia mfalme juu ya nchi ya Yuda.
2 Et il n'obéit, non plus que ses serviteurs, ni le peuple du pays, aux paroles que l'Éternel prononça par l'entremise de Jérémie, le prophète.
Lakini Sedekia, wajakazi wake, na watu wa nchi hawakusikiliza maneno ya Yahwe ambayo alitangaza kwa mkono wa Yeremia nabii.
3 Et le roi Sédécias envoya Jouchal, fils de Sélémia, et Sophonie, fils de Mahaséïa, le sacrificateur, à Jérémie, le prophète, pour lui dire: Prie pour nous l'Éternel, notre Dieu!
Kwa hiyo Mfalme Sedekia, Yehukali mwana wa Shelemia, na Zefania mwana wa Maaseia kuhani alituma ujumbe kwa Yeremia nabii. Walisema, “Omba kwa niaba kwa Yahwe Mungu wetu.”
4 Or Jérémie entrait et sortait encore librement parmi le peuple, et on ne l'avait pas encore incarcéré.
Sasa Yeremia alikuwa anakuja na kwenda miongoni mwa watu, kwa kuwa alikuwa bado hajawekwa ndani ya gereza.
5 Et l'armée de Pharaon était sortie de l'Egypte, et les Chaldéens qui assiégeaient Jérusalem, en ayant appris la nouvelle, s'étaient retirés de Jérusalem.
Jeshi la Farao lilitoka Misri, na Wakaldayo waliozingira Yerusalem walisikia habari kuhusu wao na kuondoka Yerusalem.
6 Alors la parole de l'Éternel fut adressée à Jérémie, le prophète, en ces mots:
Kisha neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia nabii na kusema,
7 Ainsi parle l'Éternel, Dieu d'Israël: Ainsi parlez au roi de Juda qui vous envoie vers moi pour me consulter: Voici, l'armée de Pharaon qui s'avance à votre secours, retournera dans son pays, en Egypte;
“Yahwe, Mungu wa Israel, asema hivi: Hiki ndivyo utakavyosema kwa mfalme wa Yuda, kwa sababu amekutuma wewe kutafuta ushauri toka kwangu, 'Ona, jeshi la Farao, ambalo lilikuja kukusaidia, liko tayari kurudi Misri, kwenye nchi yao.
8 et les Chaldéens reviendront assiéger cette ville, et ils la prendront, et la brûleront par le feu.
Wakaldayo watarudi. Watapigana dhidi ya mji huu, kuuteka, na kuuchoma.'
9 Ainsi parle l'Éternel: Ne vous abusez pas vous-mêmes en disant: Les Chaldéens vont s'éloigner de nous! car ils ne s'en iront point.
Yahwe asema hivi: Msidaganyane kwa kusema, “Hakika Wakaldayo wanatuacha sisi,' kwa kuwa hawatatuacha.
10 Car eussiez-vous défait toute l'armée des Chaldéens qui vous assiègent, et ne restât-il d'eux que des hommes percés, ils se lèveront chacun de leur tente, et brûleront cette ville par le feu.
Hata kama mmelishinda jeshi la Wakaldayo lote ambalo linapigana nanyi ili kwamba wanaume waliojeruhiwa walibakizwa katika mahema yao, wangeweza kunyanyuka na kuchoma mji huu.”
11 Et lorsque l'armée des Chaldéens se retirait de Jérusalem devant l'armée de Pharaon,
Basi ilikuwa wakati jeshi la Wakaldayo lilipoondoka Yerusalem wakati jeshi la Farao lilikuwa linakuja,
12 Jérémie sortit de Jérusalem, pour se rendre dans le pays de Benjamin, afin d'y recueillir un héritage, au milieu du peuple.
kisha Yeremia alienda toka Yerusalem kwenda nchi ya Benjamini. Alitaka kumiliki njia ya nchi huko miongoni mwa watu wake.
13 Et il se trouvait dans la porte de Benjamin, et là celui qui en avait l'inspection et dont le nom était Jérija, fils de Sélémia, fils d'Ananias, arrêta Jérémie, le prophète, en disant: Tu passes aux Chaldéens.
Kama alivyokuwa katika mlango wa Benjamini, mlinzi mkuu aliyekuwa hapo. Jina lake lilikuwa Yeria mwana wa Shelemia mwana wa Hanania. Alimshika kwa kumnyakua Yeremia nabii na kusema, “Mnatoka jangwani kwa Wakaldayo.”
14 Et Jérémie dit: C'est une fausseté! je ne passe point aux Chaldéens. Mais Jérija, sans l'écouter, arrêta Jérémie et le conduisit aux princes.
Lakini Yeremia alisema, “Hiyo si kweli. Siendi jangwani kwa Wakaldayo.” Lakini Yeria hakumsikiliza. Alimchukua Yeremia na kumleta kwa maafisa.
15 Et les princes s'irritèrent contre Jérémie, et le frappèrent, et le mirent en prison dans la maison de Jonathan, le scribe; car ils en avaient fait une prison.
Maafisa walikuwa wamemkasirikia Yeremia. Walimpiga na kumweka gerezani, ambayo ilikuwa nyumba ya Yonathani mwandishi, kwa kuwa waligeuza kuwa gereza.
16 Et lorsque Jérémie fut venu dans le cachot, et dans les cellules, et qu'il y fut resté longtemps,
Kwa hiyo Yeremia alikuwa amewekwa kwenye kifungo cha chini, ambako alikuwa huko kwa siku nyingi.
17 le roi Sédécias envoya et le fit chercher. Et le roi l'interrogea dans sa maison en secret et lui dit: Y a-t-il une parole de par l'Éternel? Et Jérémie dit: Il y en a une. Et il dit: Tu seras livré entre les mains du roi de Babel.
Kisha mfalme Sedekia alimtuma mtu mmoja aliyemleta kwenye ikulu. Kwenye nyumba yake, mfalme alimuuliza binafsi, “Kuna neno: Utatiwa kwenye mkono wa mfalme wa Babeli.”
18 Et Jérémie dit au roi Sédécias: En quoi ai-je péché contre toi ou tes serviteurs ou ce peuple, que vous m'avez mis en prison?
Kisha Yeremia alisema kwa mfalme Sedekia, “Kwa namna gani nimekutenda dhambi, mjakazi wako, au watu hawa kwamba umeniweke mimi kwenye gereza?
19 Et où sont vos prophètes qui vous prophétisaient disant: Le roi de Babel ne marchera pas contre vous, ni contre ce pays?
Wako wapi nabii wako, wale waliotabiri kwa ajili yako na kusema mfalme wa Babeli hatakuja dhidi yako au dhidi ya nchi hii?
20 Et maintenant, écoute, ô roi, mon Seigneur, je t'en prie, reçois mon humble prière, et ne me fais pas rentrer dans la maison de Jonathan, le scribe, pour que je n'y meure pas!
Lakini sasa sikiliza, bwana wangu mfalme! Acha ombi langu liwe mbele yako. Usinirudie mimi kwenye nyumba ya Yonathani mwandishi, au nitakufa huko.”
21 Alors le roi Sédécias ordonna qu'on déposât Jérémie dans le vestibule de la prison, et qu'on lui donnât chaque jour un pain de la rue des boulangers, jusqu'à ce que tout le pain fût consommé dans la ville. Ainsi Jérémie demeura dans le vestibule de la prison.
Kwa hiyo mfalme Sedekia alitoa amri. Wajakazi wake walimwekea mipaka Yeremia katika uwanja wa walinzi. Alipewa mkate kila siku kutoka mtaa wa waokaji mkate, mpaka mkate wote mjini uliisha. Basi Yeremia alibaki kwenye uwanja walinzi.